CHADEMA na CUF washindwa kulipa deni la Mafuta ya Bodaboda Tabora

ray jay

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
1,084
485
Katika muendelezo wa matukio ya aibu yanayoikumba kambi ya Upinzani chini ya Ujemedari wa Lowassa na Mbowe ni pamoja na kushindwa kuratibu shughuli za maandalizi na mapokezi ya mikutano yao ya hadhara kwa umakini hali iliyopelekea viongozi wa ngazi za chini za Mikoa na wilaya kuingia kwenye madeni makubwa ambayo hawana uhakika wa kuyalipa katika kugharamia mikutano ya kampeni ya Mgombea Urais wa UKAWA ndg Edward Lowassa.

Aibu ya kwanza ilikuwa maandamano ya Mtwara na Lindi ambapo viongozi wa UKAWA walishindwa kuwalipa fedha yao ya mafuta na posho ya elfu kumi na tano waliyowaahidi waendesha mabodaboda.

Aibu Nyingine ni hii ya tabora ambapo Viongozi wa CHADEMA na CUF, Ndugu Anderson Mukono na Issa Mtende wako kwenye wakati mgumu wakikabiliwa na deni la shilingi 692,100/= ambayo walikopa mafuta ya Boda boda zaidi ya mia tatu kwa ajili ya mapokezi ya mgombea wa UKAWA ndg Edward Ngoyai Lowassa.

NB: Sheria mpya ya TCRA na Vigezo vimezingatiwa...!!

attachment.php
 
Katika muendelezo wa matukio ya aibu yanayoikumba kambi ya Upinzani chini ya Ujemedari wa Lowassa na Mbowe ni pamoja na kushindwa kuratibu shughuli za maandalizi na mapokezi ya mikutano yao ya hadhara kwa umakini hali iliyopelekea viongozi wa ngazi za chini za Mikoa na wilaya kuingia kwenye madeni makubwa ambayo hawana uhakika wa kuyalipa katika kugharamia mikutano ya kampeni ya Mgombea Urais wa UKAWA ndg Edward Lowassa.

Aibu ya kwanza ilikuwa maandamano ya Mtwara na Lindi ambapo viongozi wa UKAWA walishindwa kuwalipa fedha yao ya mafuta na posho ya elfu kumi na tano waliyowaahidi waendesha mabodaboda.

Aibu Nyingine ni hii ya tabora ambapo Viongozi wa CHADEMA na CUF, Ndugu Anderson Mukono na Issa Mtende wako kwenye wakati mgumu wakikabiliwa na deni la shilingi 692,100/= ambayo walikopa mafuta ya Boda boda zaidi ya mia tatu kwa ajili ya mapokezi ya mgombea wa UKAWA ndg Edward Ngoyai Lowassa.

Mods nitendeeni haki na UTHIBITISHO ni huu,

NB: Sheria mpya ya TCRA na Vigezo vimezingatiwa...!!

attachment.php

Duuuu,elimu ya Tanzania ni zaidi ya kituko,yaani hiyo ndio news alert?kazi ipo kweli
 
Aibu ya mwaka...masikini MUKONO na MTENDE wameingia cha kike..

"leo hii CHADEMA imekuwa chama cha kukodi watu kuhudhuria kwenye mikutano yake, watu wanaletwa na malori, hii CHADEMA ya namna gani..? - Dr Slaa, Serena Hotel.
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Aibu ya mwaka...masikini MUKONO na MTENDE wameingia cha kike..

"leo hii CHADEMA imekuwa chama cha kukodi watu kuhudhuria kwenye mikutano yake, watu wanaletwa na malori, hii CHADEMA ya namna gani..? - Dr Slaa, Serena Hotel.
Piki piki mia tatu zikajazwa lita mia tatu za petrol !!! Kila Piki piki lita moja !!!
 
Katika muendelezo wa matukio ya aibu yanayoikumba kambi ya Upinzani chini ya Ujemedari wa Lowassa na Mbowe ni pamoja na kushindwa kuratibu shughuli za maandalizi na mapokezi ya mikutano yao ya hadhara kwa umakini hali iliyopelekea viongozi wa ngazi za chini za Mikoa na wilaya kuingia kwenye madeni makubwa ambayo hawana uhakika wa kuyalipa katika kugharamia mikutano ya kampeni ya Mgombea Urais wa UKAWA ndg Edward Lowassa.

Aibu ya kwanza ilikuwa maandamano ya Mtwara na Lindi ambapo viongozi wa UKAWA walishindwa kuwalipa fedha yao ya mafuta na posho ya elfu kumi na tano waliyowaahidi waendesha mabodaboda.

Aibu Nyingine ni hii ya tabora ambapo Viongozi wa CHADEMA na CUF, Ndugu Anderson Mukono na Issa Mtende wako kwenye wakati mgumu wakikabiliwa na deni la shilingi 692,100/= ambayo walikopa mafuta ya Boda boda zaidi ya mia tatu kwa ajili ya mapokezi ya mgombea wa UKAWA ndg Edward Ngoyai Lowassa.

Mods nitendeeni haki na UTHIBITISHO ni huu,

NB: Sheria mpya ya TCRA na Vigezo vimezingatiwa...!!

attachment.php
Yaani upumbavu unapozidi hauwezi kujielewa kamwe hivi wakati unaweka hii thread ulifanya upembuzi na tafakuri ya kina? Kwa ulichokiweka kinaonyesha kila pikipiki iliwekewa Lita moja je kuna uhalisia hapo?
 
Ndio madhara ya chama kuingia kwenye kampeni bila katibu mkuu. Hakuna mtu wa kusimamia ulipaji wa madeni na organization kwa ujumla wake.
 
Piki piki mia tatu zikajazwa lita mia tatu za petrol !!! Kila Piki piki lita moja !!!

Kituko kingine ni kuwa aliye andika karatasi hiyo ndiye aliye saini kama shahidi, wanunuzi na muuzaji... aibu yako mleta uzi!
 
Nchi hii aitaisha madeni; kama ata raia wanamdai mgombea uraisi .

Deni la nchi ukiongeza la taifa , kazi hipo
 
Yaani upumbavu unapozidi hauwezi kujielewa kamwe hivi wakati unaweka hii thread ulifanya upembuzi na tafakuri ya kina? Kwa ulichokiweka kinaonyesha kila pikipiki iliwekewa Lita moja je kuna uhalisia hapo?
Kwani pikipiki ili itembee inahitaji lita ngapi..??? tena sio route maalum ni kuzunguka tu mjini na kuelekea kwenye mkutano..
 
kituko kingine ni kuwa aliye andika karatasi hiyo ndiye aliye saini kama shahidi, wanunuzi na muuzaji... Aibu yako mleta uzi!

poa kwani viwanja tunauzianeje???????????????

Huku vituka vija walikataa MKOPO WA FEDHA ndo maana mgombea mwenza duni kakosa watu MWEMBEYANGA .
 
Mbona muuzaji ambae ni gbp hajaongea kitu? Hivi lita moja kweli inatosha nini?
 
Mmh cjawahi piga kura... nikasema mwaka hui wacha niwapigie hawa ukawa bt kwa aibu hii noo bora ata nisipige kura
 
Back
Top Bottom