CHADEMA officially ni CCM 'B'

CHADEMA officially ni CCM 'B'

Mugisher

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
411
Reaction score
360
Wandungu-

Naomba niseme hivi, kweli nyani haoni kundule. Kipindi cha nyuma ndugu zetu wa CDM waliwashambulia sana ndugu zetu waCUF kwa kuingia katika serikali ya umoja na CCM kule Zanzibar. CUF waliitwa kila aina ya majina mpaka ikapelekea CDM kukataa kuungana nao mjengoni. Sasa mimi najiuliza, kwa wakati ule kosa la CUF lilikuwa ni lipi hasa ukilinganisha na yanaotokea leo?

Hebu sasa turudi yanayotokea leo. Kwa wakati huu tunaona wimbi la MAKAPI ya CCM yakitoka CCM na kuja CDM. Cha ajabu kwa wale MAKAPI vigogo, wengi wao sifa zao walishazidekia matapishi siku nyingi, hawa ni kama wakina Mahanga, Mgenja, Guninita, Ole Medeye n.k. watu hawa hawana thamani kisiasa. Sasa najiuliza, kwa wimbi hili je CDM sio ndio inageuka kuwa CCM B kwakujaza wanacham mareject ya CCM? Kati ya dhambi mbaya iliyofanywa na CUF na hii ya CDM, ipi kweli inafaa kukifananisha chama kimoja wapo na CCM B?

Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata? Kwa mimi binafsi ningeogopa kama nikisikia kada kama Mwapachu (nimechukua mfano wake kwani yeye ni team Lowasa damu) ameondoka, kwani yeye anaheshima yake nzuri tu. Sio hao wakina Mgenja na Mahanga. Unajua oil chafu kweli inaweza kuwa na faida yake, ila sasa ikiwa chafu sana inakuwa haina nguvu tena yakuua wadudu kwenye mbao.

CDM wasipoaangalia watakuja kujikuta Makapi wote wamehamia kwao-na haita kuwa na tofauti kimuundo na kimtazamo kama CCM. (mfano mzuri tumeona leo Mgenja anahama chama huku akiwa na vazi la CCM).

KOSA KUBWA LA CDM NI KUWA KILA MWANACHAMA/MSHABIKI WAKE NI MJUAJI. Kuanzia viongozi wake, mashabiki wake mpaka Makapi waliowasajili. Mfano tuu mdogo huku JF, watu wanapiga kelele za mapema wakati mechi yenyewe bado. Naomba niseme kwa kingereza, IT DOESN'T MATTER HOW YOU START THE RACE-WHAT MATTERS IS HOW YOU FINISH IT.

Mchuano wa Magufuli na Lowasa nauona ni kama Mayweather na Pacquaio. Nyie wote ni watu wazima mnajua mshindi ni nani. TEAM MONEY. Purukushani zote za CDM kama tunavoziona sasa hivi na kama alizozionyesha Pacquaio hazitawaletea tija.
 
Sawa, tatizo ni nini kwako kwani itikadi zao zinatofauti sana.Utakufa bure!!!
 
kwa hiyo wewe boya ACT ni chadema B maana wanaotoka chadema wanaenda act ...acheni uboya mtu kuhama chama ni hiari yake halazimishwi ......mbona mnaweweseka hivyo
 
Unachokisema kiko sahihi lakini Siasa siyo vita.Ndiyo vizuri mbons,inaonyesha nchi tulivyo wamoja.!!!!!
 
Mkuu kuna ndimu,zinasaidia kuondoa kichefuchefu
 
Haitawezekana kwan wanaohama ni wale waliokuwa shida ndani ya chama ko CCM tunapunguziwa mizigo tu
 
Na mie ninaomba niseme kwa kiswahili chepesi kabisa.. iwe ccm b, au c, d, potelea mbali..! mradi ccm a itoke tu madarakani..

Tunatafuta platform hapa ya kuanza tena maisha..
 
Wandungu-

Naomba niseme hivi...kweli nyani haoni kundule. Kipindi cha nyuma ndugu zetu wa CDM waliwashambulia sana ndugu zetu waCUF kwa kuingia katika serikali ya umoja na CCM kule Zanzibar. CUF waliitwa kila aina ya majina mpaka ikapelekea CDM kukataa kuungana nao mjengoni. Sasa mimi najiuliza, kwa wakati ule kosa la CUF lilikuwa ni lipi hasa ukilinganisha na yanaotokea leo?

Hebu sasa turudi yanayotokea leo. Kwa wakati huu tunaona wimbi la MAKAPI ya CCM yakitoka CCM na kuja CDM. Cha ajabu kwa wale MAKAPI vigogo, wengi wao sifa zao walishazidekia matapishi siku nyingi, hawa ni kama wakina Mahanga, Mgenja, Guninita, Ole Medeye n.k. watu hawa hawana thamani kisiasa. Sasa najiuliza, kwa wimbi hili je CDM sio ndio inageuka kuwa CCM B kwakujaza wanacham mareject ya CCM? Kati ya dhambi mbaya iliyofanywa na CUF na hii ya CDM, ipi kweli inafaa kukifananisha chama kimoja wapo na CCM B?

Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata? Kwa mimi binafsi ningeogopa kama nikisikia kada kama Mwapachu (nimechukua mfano wake kwani yeye ni team Lowasa damu) ameondoka, kwani yeye anaheshima yake nzuri tu. Sio hao wakina Mgenja na Mahanga. Unajua oil chafu kweli inaweza kuwa na faida yake, ila sasa ikiwa chafu sana inakuwa haina nguvu tena yakuua wadudu kwenye mbao.

CDM wasipoaangalia watakuja kujikuta Makapi wote wamehamia kwao-na haita kuwa na tofauti kimuundo na kimtazamo kama CCM. (mfano mzuri tumeona leo Mgenja anahama chama huku akiwa na vazi la CCM).

KOSA KUBWA LA CDM NI KUWA KILA MWANACHAMA/MSHABIKI WAKE NI MJUAJI. Kuanzia viongozi wake, mashabiki wake mpaka Makapi waliowasajili. Mfano tuu mdogo huku JF, watu wanapiga kelele za mapema wakati mechi yenyewe bado. Naomba niseme kwa kingereza, IT DOESN'T MATTER HOW YOU START THE RACE-WHAT MATTERS IS HOW YOU FINISH IT.

Mchuano wa Magufuli na Lowasa nauona ni kama Mayweather na Pacquaio. Nyie wote ni watu wazima mnajua mshindi ni nani. TEAM MONEY. Purukushani zote za CDM kama tunavoziona sasa hivi na kama alizozionyesha Pacquaio hazitawaletea tija.

Usiwe na hofu kijana CCM kushinda ni lazima.
Walifanya mbwembwe na maigizo ya kutuaminisha wana power kuliko yeyote ndani wakiwa ndani,tukawaamini na tukasema kama hali ndo hii kweli haya ni mafuriko na hakuna atakae yazuia ndani ya CCM.Chaajabu pamoja na mbwembwe walikatwa na kale kajamaa walikotuaminisha hakana jeuri na hapakuchimbika,wakaishia kufyata mkia na kuhamia kwa mchepuko.

Kama haka kajamaa kaliwakata huku,huko ndo wasahau kabisa na nakuhakikishia hapatachimbika wala kuandamana.Ni kelele na maigizo tu kiuhalisia Mamvi ni mwepesi sana.
Hivi kati ya watawala na wanainchi kundi lipi ndo huweka viongozi katika nchi zetu za kibepali?
 
Join Date : 12th July 2015
Posts : 125
Rep Power : 330
Likes Received97
Likes Given24

Tatizo lako liko hapo juu
 
Wandungu-

Naomba niseme hivi...kweli nyani haoni kundule. Kipindi cha nyuma ndugu zetu wa CDM waliwashambulia sana ndugu zetu waCUF kwa kuingia katika serikali ya umoja na CCM kule Zanzibar. CUF waliitwa kila aina ya majina mpaka ikapelekea CDM kukataa kuungana nao mjengoni. Sasa mimi najiuliza, kwa wakati ule kosa la CUF lilikuwa ni lipi hasa ukilinganisha na yanaotokea leo?

Hebu sasa turudi yanayotokea leo. Kwa wakati huu tunaona wimbi la MAKAPI ya CCM yakitoka CCM na kuja CDM. Cha ajabu kwa wale MAKAPI vigogo, wengi wao sifa zao walishazidekia matapishi siku nyingi, hawa ni kama wakina Mahanga, Mgenja, Guninita, Ole Medeye n.k. watu hawa hawana thamani kisiasa. Sasa najiuliza, kwa wimbi hili je CDM sio ndio inageuka kuwa CCM B kwakujaza wanacham mareject ya CCM? Kati ya dhambi mbaya iliyofanywa na CUF na hii ya CDM, ipi kweli inafaa kukifananisha chama kimoja wapo na CCM B?

Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata? Kwa mimi binafsi ningeogopa kama nikisikia kada kama Mwapachu (nimechukua mfano wake kwani yeye ni team Lowasa damu) ameondoka, kwani yeye anaheshima yake nzuri tu. Sio hao wakina Mgenja na Mahanga. Unajua oil chafu kweli inaweza kuwa na faida yake, ila sasa ikiwa chafu sana inakuwa haina nguvu tena yakuua wadudu kwenye mbao.

CDM wasipoaangalia watakuja kujikuta Makapi wote wamehamia kwao-na haita kuwa na tofauti kimuundo na kimtazamo kama CCM. (mfano mzuri tumeona leo Mgenja anahama chama huku akiwa na vazi la CCM).

KOSA KUBWA LA CDM NI KUWA KILA MWANACHAMA/MSHABIKI WAKE NI MJUAJI. Kuanzia viongozi wake, mashabiki wake mpaka Makapi waliowasajili. Mfano tuu mdogo huku JF, watu wanapiga kelele za mapema wakati mechi yenyewe bado. Naomba niseme kwa kingereza, IT DOESN'T MATTER HOW YOU START THE RACE-WHAT MATTERS IS HOW YOU FINISH IT.

Mchuano wa Magufuli na Lowasa nauona ni kama Mayweather na Pacquaio. Nyie wote ni watu wazima mnajua mshindi ni nani. TEAM MONEY. Purukushani zote za CDM kama tunavoziona sasa hivi na kama alizozionyesha Pacquaio hazitawaletea tija.

aliyeonyesha sifa ni Mayweather na alishinda. kwa maelezo yako basi na CCM ni chadema b kwà kumchukua Leticia nyerere.
 
Chadema...wangekuwa ccm b...leo mgombea wao asingezuiwa kwenda msibani....
 
..................................................................................[deleted]
Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata?

Huwa tunajibizana bila kufanhamu viwango vya elimu zetu. Sijui umemaliza kidato cha ngapi? Usiniambie una digrii, pse!
Uchambuzi wako haueleweki kabisa! Yaani watu hao wamekuwa makapi baada ya kuhama au walikuwa hivyo?

Jambo dogo unalotakiwa kuelewa ni ubora duni wa wana CCM wengi. Tangu ngazi ya juu hadi ya chini. Walio bora ni wacahache sana. Hiyo ndo siasa za CCM, Walipokwenda Dodoma, ni wachache waliofahamu kinachotokea na kupanga matukio. Waliowengi walikuwa wakisubiri yatokee halafu wanengue.

Mimi nina matumaini makubwa sana na siasa za nchi hii baada ya kuona watu wakihama CCM. Hata kama itagawanyika na kuwa na CCM B that will be very fine with us, Tanzanians. Najua B haitakuwa sawa na A.
 
Remba urembavyo ita hata ccm A1.Tunazidi kusisitiza na mtuelewe.Hakuns cha sera wala barabara ya lami au kutitirisha maji toka angani.Mmeanza kunadi lap top kwa walimu ambao mmeshindwa hata kuwalipa hela yao ya kujikimu ambayo ni shs 25x7=175,000 mtaweza kununua lap top ambapo gharama ya lap top mojs sawa na posho ya walimu watatu.2015 hakuna wa kudanganywa.Nenda kawambie wenzio kwamba badala ya kumaliza miti kujenga majukwaa wapeleke hizo kuni magereza.Narudia tena tumeshadanganywa miaka 53 inatosha sasa.
 
Wandungu-

Naomba niseme hivi...kweli nyani haoni kundule. Kipindi cha nyuma ndugu zetu wa CDM waliwashambulia sana ndugu zetu waCUF kwa kuingia katika serikali ya umoja na CCM kule Zanzibar. CUF waliitwa kila aina ya majina mpaka ikapelekea CDM kukataa kuungana nao mjengoni. Sasa mimi najiuliza, kwa wakati ule kosa la CUF lilikuwa ni lipi hasa ukilinganisha na yanaotokea leo?

Hebu sasa turudi yanayotokea leo. Kwa wakati huu tunaona wimbi la MAKAPI ya CCM yakitoka CCM na kuja CDM. Cha ajabu kwa wale MAKAPI vigogo, wengi wao sifa zao walishazidekia matapishi siku nyingi, hawa ni kama wakina Mahanga, Mgenja, Guninita, Ole Medeye n.k. watu hawa hawana thamani kisiasa. Sasa najiuliza, kwa wimbi hili je CDM sio ndio inageuka kuwa CCM B kwakujaza wanacham mareject ya CCM? Kati ya dhambi mbaya iliyofanywa na CUF na hii ya CDM, ipi kweli inafaa kukifananisha chama kimoja wapo na CCM B?

Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata? Kwa mimi binafsi ningeogopa kama nikisikia kada kama Mwapachu (nimechukua mfano wake kwani yeye ni team Lowasa damu) ameondoka, kwani yeye anaheshima yake nzuri tu. Sio hao wakina Mgenja na Mahanga. Unajua oil chafu kweli inaweza kuwa na faida yake, ila sasa ikiwa chafu sana inakuwa haina nguvu tena yakuua wadudu kwenye mbao.

CDM wasipoaangalia watakuja kujikuta Makapi wote wamehamia kwao-na haita kuwa na tofauti kimuundo na kimtazamo kama CCM. (mfano mzuri tumeona leo Mgenja anahama chama huku akiwa na vazi la CCM).

KOSA KUBWA LA CDM NI KUWA KILA MWANACHAMA/MSHABIKI WAKE NI MJUAJI. Kuanzia viongozi wake, mashabiki wake mpaka Makapi waliowasajili. Mfano tuu mdogo huku JF, watu wanapiga kelele za mapema wakati mechi yenyewe bado. Naomba niseme kwa kingereza, IT DOESN'T MATTER HOW YOU START THE RACE-WHAT MATTERS IS HOW YOU FINISH IT.

Mchuano wa Magufuli na Lowasa nauona ni kama Mayweather na Pacquaio. Nyie wote ni watu wazima mnajua mshindi ni nani. TEAM MONEY. Purukushani zote za CDM kama tunavoziona sasa hivi na kama alizozionyesha Pacquaio hazitawaletea tija.

Mi nilifikiri utaomba Tibaijuka,Chenge,Muhongo na Ngereja wakatwe sababu ya Escrow kumbe wala hauna wazo hilo.Haya tueleze hawa wafuatao wamekuwa makapi kutokana na nn ? MGEJA,GUNINITA,NANGOLE,MSINDAI maana wao hawakuwa kwenye kinyang.anyilo chochote na nakuhakikishia kufikia kesho kutwa jumamosi na ww utakuwa umehamia cdm kwa maana hakuna aliyekuwa msema hovyo kama Said Nkumba je umeamini kuwa naye yuko cdm ? Tafakari chukua hatua na je UNAANDIKA LAKINI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom