CHADEMA officially ni CCM 'B'

CHADEMA officially ni CCM 'B'

Kama CHADEMA ni CCM B

Basi CCM ni CHADEMA D!

Bora CHADEMA original kuliko CHADEMA D (CCM)
 
Ikiwa mtu anahamia mahali fulani na kwa ajili fulani tu na sio sera sahihi basi akihama atakuwa amehama kwa manufaa tu na akienda kule ataenda na yake na kutaka kubadili mambo ya kule alipokwenda na sio kufanya matakwa ya chama husika....hivyo wabunge waliohamia kipindi hiki ndio hao...
Hii sio mimi bali ni sayansi tu ya kawaida...na wote hao watakuja kuwa chadema ileee ya kina mh. Shibu....kukubaliana tena kwa maswala fulani hakutakuwepo...tusubiri wala sio muda mrefu
 
Haa kumbe tangu uingie Jamii forum una kamwezi sasa sikujua, Siyo mbaya endelea kujifunza. Ukishajifunza tutakukaribisha kwenye mijadala ya mizito ya maslahi ya taifa siyo haya unayotumwa na wenzako huko nje.
Join Date : 11th July 2015
Posts : 125

Rep Power : 330

Likes Received
98
Likes Given
24
 
Mwaka Huu Mtazungumza Kila Lugha Lakini Ccm Lazima Itoke Madarakani.
 
CCM B, yes! tena ajabu kuna mweu mmoja wa sikonge anaitwa Nkumba huyu ni bomu jimbo zima anafahamika, mwaka. 2010 alinunua ushindi kwa Cuf ..yaani hajiwezi kabisa, pale jimboni kwake wakati wenzake wanawekeza kwao yeye kaenda kajenga klabu ya muziki basis ..hajawahi kufanya chochote hata kuwasaidia ndugu zake zaidi ya uchawi na visasi, sasa nashangaa eti naye leo kaenda CDM, CDM imegeuka kuwa kama wale wasichana wanaitwa jamvi la wageni yaani kila mtu akitaka pia tu kwake, hii ndo CDM ya leo ilikofika, wamefungua madirisha yote sahivi inaingia kila aina ya hewa na kila aina ya uchafu ..hongereni CCM B kwa kukibadirisha chama chenu ila mtarajie adhabu pia.
 
yani jinsi nnavowachukia ccm ata wewe mugisha ukigombea urais kutumia chama cha chako cha CHAWAPUTA(chama cha wapiga puchu Tanzani) mimi ntakuchagua wewe against CCM
 
Wandungu-

Naomba niseme hivi, kweli nyani haoni kundule. Kipindi cha nyuma ndugu zetu wa CDM waliwashambulia sana ndugu zetu waCUF kwa kuingia katika serikali ya umoja na CCM kule Zanzibar. CUF waliitwa kila aina ya majina mpaka ikapelekea CDM kukataa kuungana nao mjengoni. Sasa mimi najiuliza, kwa wakati ule kosa la CUF lilikuwa ni lipi hasa ukilinganisha na yanaotokea leo?

Hebu sasa turudi yanayotokea leo. Kwa wakati huu tunaona wimbi la MAKAPI ya CCM yakitoka CCM na kuja CDM. Cha ajabu kwa wale MAKAPI vigogo, wengi wao sifa zao walishazidekia matapishi siku nyingi, hawa ni kama wakina Mahanga, Mgenja, Guninita, Ole Medeye n.k. watu hawa hawana thamani kisiasa. Sasa najiuliza, kwa wimbi hili je CDM sio ndio inageuka kuwa CCM B kwakujaza wanacham mareject ya CCM? Kati ya dhambi mbaya iliyofanywa na CUF na hii ya CDM, ipi kweli inafaa kukifananisha chama kimoja wapo na CCM B?

Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata? Kwa mimi binafsi ningeogopa kama nikisikia kada kama Mwapachu (nimechukua mfano wake kwani yeye ni team Lowasa damu) ameondoka, kwani yeye anaheshima yake nzuri tu. Sio hao wakina Mgenja na Mahanga. Unajua oil chafu kweli inaweza kuwa na faida yake, ila sasa ikiwa chafu sana inakuwa haina nguvu tena yakuua wadudu kwenye mbao.

CDM wasipoaangalia watakuja kujikuta Makapi wote wamehamia kwao-na haita kuwa na tofauti kimuundo na kimtazamo kama CCM. (mfano mzuri tumeona leo Mgenja anahama chama huku akiwa na vazi la CCM).

KOSA KUBWA LA CDM NI KUWA KILA MWANACHAMA/MSHABIKI WAKE NI MJUAJI. Kuanzia viongozi wake, mashabiki wake mpaka Makapi waliowasajili. Mfano tuu mdogo huku JF, watu wanapiga kelele za mapema wakati mechi yenyewe bado. Naomba niseme kwa kingereza, IT DOESN'T MATTER HOW YOU START THE RACE-WHAT MATTERS IS HOW YOU FINISH IT.

Mchuano wa Magufuli na Lowasa nauona ni kama Mayweather na Pacquaio. Nyie wote ni watu wazima mnajua mshindi ni nani. TEAM MONEY. Purukushani zote za CDM kama tunavoziona sasa hivi na kama alizozionyesha Pacquaio hazitawaletea tija.

Unajiaibisha mhaya gani wewe,utawabeba hao ma ccm hadi kibiongo kitakutoka mwaka huu
 
Huwa tunajibizana bila kufanhamu viwango vya elimu zetu. Sijui umemaliza kidato cha ngapi? Usiniambie una digrii, pse!
Uchambuzi wako haueleweki kabisa! Yaani watu hao wamekuwa makapi baada ya kuhama au walikuwa hivyo?

Jambo dogo unalotakiwa kuelewa ni ubora duni wa wana CCM wengi. Tangu ngazi ya juu hadi ya chini. Walio bora ni wacahache sana. Hiyo ndo siasa za CCM, Walipokwenda Dodoma, ni wachache waliofahamu kinachotokea na kupanga matukio. Waliowengi walikuwa wakisubiri yatokee halafu wanengue.

Mimi nina matumaini makubwa sana na siasa za nchi hii baada ya kuona watu wakihama CCM. Hata kama itagawanyika na kuwa na CCM B that will be very fine with us, Tanzanians. Najua B haitakuwa sawa na A.[/QUO

Ndugu yangu uchambuzi wangu usingekuwa haueleweki usingejisumbua kuujibu kama ulivofanya. Kukandia kuhusu elimu yangu kumeonyesha dhahiri wewe elimu yako haijakukomboa bado. Si lazima mtu awe na elimu ndio awe na hoja. Ingekuwa hivi JF ingebaki wewe na house girl wako. When you read rubbish you don't waste your time to respond. Sio unakandia then unarespond kwa hoja uliyoikandia. Sio lazima kila kitu ucomment kwa mapenzi ya kufata upepo ambayo mimi nayaheshimu.
 

Attachments

  • 1439476661529.jpg
    1439476661529.jpg
    30.7 KB · Views: 53
  • 1439476694303.jpg
    1439476694303.jpg
    39.1 KB · Views: 50
yani jinsi nnavowachukia ccm ata wewe mugisha ukigombea urais kutumia chama cha chako cha CHAWAPUTA(chama cha wapiga puchu Tanzani) mimi ntakuchagua wewe against CCM

Ccm ni chanzo cha kichefuchefu
 
Mi nilifikiri utaomba Tibaijuka,Chenge,Muhongo na Ngereja wakatwe sababu ya Escrow kumbe wala hauna wazo hilo.Haya tueleze hawa wafuatao wamekuwa makapi kutokana na nn ? MGEJA,GUNINITA,NANGOLE,MSINDAI maana wao hawakuwa kwenye kinyang.anyilo chochote na nakuhakikishia kufikia kesho kutwa jumamosi na ww utakuwa umehamia cdm kwa maana hakuna aliyekuwa msema hovyo kama Said Nkumba je umeamini kuwa naye yuko cdm ? Tafakari chukua hatua na je UNAANDIKA LAKINI

Mkuu hivi nkumba yuko wapi maana sijamsikia kabisa!
 
Ikiwa mtu anahamia mahali fulani na kwa ajili fulani tu na sio sera sahihi basi akihama atakuwa amehama kwa manufaa tu na akienda kule ataenda na yake na kutaka kubadili mambo ya kule alipokwenda na sio kufanya matakwa ya chama husika....hivyo wabunge waliohamia kipindi hiki ndio hao...
Hii sio mimi bali ni sayansi tu ya kawaida...na wote hao watakuja kuwa chadema ileee ya kina mh. Shibu....kukubaliana tena kwa maswala fulani hakutakuwepo...tusubiri wala sio muda mrefu

Tunachohitaji ni kuing'oa ccm madarakani tu,na jiandae kutawaliwa na rais lowasa
 
Haa kumbe tangu uingie Jamii forum una kamwezi sasa sikujua, Siyo mbaya endelea kujifunza. Ukishajifunza tutakukaribisha kwenye mijadala ya mizito ya maslahi ya taifa siyo haya unayotumwa na wenzako huko nje.
Join Date : 11th July 2015
Posts : 125

Rep Power : 330

Likes Received
98
Likes Given
24

Wewe unawakilisha wengi huku pamoja na MchambuZI ambao hamna CONTENT kwenye like mnachoandika.
 
Ikiwa mtu anahamia mahali fulani na kwa ajili fulani tu na sio sera sahihi basi akihama atakuwa amehama kwa manufaa tu na akienda kule ataenda na yake na kutaka kubadili mambo ya kule alipokwenda na sio kufanya matakwa ya chama husika....hivyo wabunge waliohamia kipindi hiki ndio hao...
Hii sio mimi bali ni sayansi tu ya kawaida...na wote hao watakuja kuwa chadema ileee ya kina mh. Shibu....kukubaliana tena kwa maswala fulani hakutakuwepo...tusubiri wala sio muda mrefu

Imekula kwako hiyo cdm hiypoooooooooooooooo
 
Mugisher chama cha siasa ni wanachama.....
kuna takataka milioni nyingi tu CCM, nyingiii sanaaa, naona huzioni
 
Last edited by a moderator:
We mwenyewe kilaza,kasome political science.upinzani huwa unaanzia ndani ya chama ukija nje nikudhilisha kilicho kuwa ndani.kama kusingekuwa na matatizo ndani upinzani uliopo ungekuwa dhaifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom