CHADEMA officially ni CCM 'B'

CHADEMA officially ni CCM 'B'

Mtu anao uhuru wakujiunga chama chochote akipendacho HIYO kauli ya MAKAPI ni kauli ya mkosaji,kwani mkiwaita jina zuri watapungukiwa nn,hapo ndio mnaonyesha kuishiwa hoja,haina haja ya kupaniki ustaarabu ni muhimu

Makapi kwa sababu wote wanatoka baada ya kukosa kura za kutosha katika nafasi walizoomba,kuanzia udiwani mpaka urais.
 
yani jinsi nnavowachukia ccm ata wewe mugisha ukigombea urais kutumia chama cha chako cha CHAWAPUTA(chama cha wapiga puchu Tanzani) mimi ntakuchagua wewe against CCM

Nawe tulia sasa! Avatar safi, lakini unaandika kwa kusita sita na kufanya habari isimuingie muhusika. Tulia kabisaaaa!!
 
CUF ktk ushirikiano wao na ccm walikuwa wanatekeleza ilani ya CUF au CCM?.

Hawa waliohamia CDM wamepewa nafasi ipi ktk CDM tofauti na EL, Lembeli na Bulaya?.

Chama hakikatai wanachama kaka na ninakuomba ufurahie kukua kwa chadema na kuanguka kwa ccm
 
Duh! hata wewe umebanduka,mimi nilijua labda hadi ubanduliwe na Nape.
Inaonekana u mpenzi wa kubanduliwa, ndio maana mwanzo ulijiita , P.U.M.B.U MAJARIBU, Ila moderators wakaona si busara wakafupisha!
 
Palikuwa name mfalme mmoja jima lake aliitwa farao mfalme Hutu Mungu Alimuagiza awaachie Israel wakamtumikie lakn akawa mbishi, Mungu akamuonyesha uweza wake ili awaachie wanna Israel lakini hakuwaachia japo adhabu ya Mwisho alikibal kuwaachia wanna Israel. Baada yakuwaachia kuondoka jamaa akatafakari akasema ngoja niwafuwate kumbe ndio ilikuwa kiama chao wrote wakazama ndano ya maji. Inawezekana Munguameweka moyo mgumu ndani ya lowasa ili anguko lla Mwisho ndani ya ukawa asisimame tena... Pole3
 
Habari yako inaweza kuwa kweli kabisa. Wakati kama huu sasa Mungu hujinyanyua ili kuonyesha yeye ndiye superpower. Na nadhani sasa baada ya utabiri wa Mwl Nyerere mara ya kwanza mwaka 1995, utabiri wake sasa utatimia mwaka huu. Maana aliambiwa akaendelea kuwa mbishi. Anguko la shetani laja tujiandae
 
Habari yako inaweza kuwa kweli kabisa. Wakati kama huu sasa Mungu hujinyanyua ili kuonyesha yeye ndiye superpower. Na nadhani sasa baada ya utabiri wa Mwl Nyerere mara ya kwanza mwaka 1995, utabiri wake sasa utatimia mwaka huu. Maana aliambiwa akaendelea kuwa mbishi. Anguko la shetani laja tujiandae

Bado unaamini katika mizimu?
 
Mjinga mpuuze. Maana kusoma hajui, lakini hata akiona picha anajifanya mpofu.
 
ccm walichobaki nacho ni kutegemea kubebwa na vyombo vya dola tu basi. hawana jingine
 
Wandungu-

Naomba niseme hivi, kweli nyani haoni kundule. Kipindi cha nyuma ndugu zetu wa CDM waliwashambulia sana ndugu zetu waCUF kwa kuingia katika serikali ya umoja na CCM kule Zanzibar. CUF waliitwa kila aina ya majina mpaka ikapelekea CDM kukataa kuungana nao mjengoni. Sasa mimi najiuliza, kwa wakati ule kosa la CUF lilikuwa ni lipi hasa ukilinganisha na yanaotokea leo?

Hebu sasa turudi yanayotokea leo. Kwa wakati huu tunaona wimbi la MAKAPI ya CCM yakitoka CCM na kuja CDM. Cha ajabu kwa wale MAKAPI vigogo, wengi wao sifa zao walishazidekia matapishi siku nyingi, hawa ni kama wakina Mahanga, Mgenja, Guninita, Ole Medeye n.k. watu hawa hawana thamani kisiasa. Sasa najiuliza, kwa wimbi hili je CDM sio ndio inageuka kuwa CCM B kwakujaza wanacham mareject ya CCM? Kati ya dhambi mbaya iliyofanywa na CUF na hii ya CDM, ipi kweli inafaa kukifananisha chama kimoja wapo na CCM B?

Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata? Kwa mimi binafsi ningeogopa kama nikisikia kada kama Mwapachu (nimechukua mfano wake kwani yeye ni team Lowasa damu) ameondoka, kwani yeye anaheshima yake nzuri tu. Sio hao wakina Mgenja na Mahanga. Unajua oil chafu kweli inaweza kuwa na faida yake, ila sasa ikiwa chafu sana inakuwa haina nguvu tena yakuua wadudu kwenye mbao.

CDM wasipoaangalia watakuja kujikuta Makapi wote wamehamia kwao-na haita kuwa na tofauti kimuundo na kimtazamo kama CCM. (mfano mzuri tumeona leo Mgenja anahama chama huku akiwa na vazi la CCM).

KOSA KUBWA LA CDM NI KUWA KILA MWANACHAMA/MSHABIKI WAKE NI MJUAJI. Kuanzia viongozi wake, mashabiki wake mpaka Makapi waliowasajili. Mfano tuu mdogo huku JF, watu wanapiga kelele za mapema wakati mechi yenyewe bado. Naomba niseme kwa kingereza, IT DOESN'T MATTER HOW YOU START THE RACE-WHAT MATTERS IS HOW YOU FINISH IT.

Mchuano wa Magufuli na Lowasa nauona ni kama Mayweather na Pacquaio. Nyie wote ni watu wazima mnajua mshindi ni nani. TEAM MONEY. Purukushani zote za CDM kama tunavoziona sasa hivi na kama alizozionyesha Pacquaio hazitawaletea tija.

Oct anaingia mpangaji mpya kutoka monduli. Tulieni dawa ingie.
 
Wandungu-

Naomba niseme hivi, kweli nyani haoni kundule. Kipindi cha nyuma ndugu zetu wa CDM waliwashambulia sana ndugu zetu waCUF kwa kuingia katika serikali ya umoja na CCM kule Zanzibar. CUF waliitwa kila aina ya majina mpaka ikapelekea CDM kukataa kuungana nao mjengoni. Sasa mimi najiuliza, kwa wakati ule kosa la CUF lilikuwa ni lipi hasa ukilinganisha na yanaotokea leo?

Hebu sasa turudi yanayotokea leo. Kwa wakati huu tunaona wimbi la MAKAPI ya CCM yakitoka CCM na kuja CDM. Cha ajabu kwa wale MAKAPI vigogo, wengi wao sifa zao walishazidekia matapishi siku nyingi, hawa ni kama wakina Mahanga, Mgenja, Guninita, Ole Medeye n.k. watu hawa hawana thamani kisiasa. Sasa najiuliza, kwa wimbi hili je CDM sio ndio inageuka kuwa CCM B kwakujaza wanacham mareject ya CCM? Kati ya dhambi mbaya iliyofanywa na CUF na hii ya CDM, ipi kweli inafaa kukifananisha chama kimoja wapo na CCM B?

Pamoja na vigogo Makapi, wafuasi wengine wamehama kwasababu walishindwa kwenye kura za maoni. Hili si ajabu kwani hata safari ya Dr. Slaa ilianzia hapo kuja CDM. Sasa najiuliza, ukichanganya na uchafu wa Vigogo waliotimkia CDM, hivi CDM hawadhani ni faida kwa CCM kwa watu hawa kujitoa, zaidi ya CDM kuwapata? Kwa mimi binafsi ningeogopa kama nikisikia kada kama Mwapachu (nimechukua mfano wake kwani yeye ni team Lowasa damu) ameondoka, kwani yeye anaheshima yake nzuri tu. Sio hao wakina Mgenja na Mahanga. Unajua oil chafu kweli inaweza kuwa na faida yake, ila sasa ikiwa chafu sana inakuwa haina nguvu tena yakuua wadudu kwenye mbao.

CDM wasipoaangalia watakuja kujikuta Makapi wote wamehamia kwao-na haita kuwa na tofauti kimuundo na kimtazamo kama CCM. (mfano mzuri tumeona leo Mgenja anahama chama huku akiwa na vazi la CCM).

KOSA KUBWA LA CDM NI KUWA KILA MWANACHAMA/MSHABIKI WAKE NI MJUAJI. Kuanzia viongozi wake, mashabiki wake mpaka Makapi waliowasajili. Mfano tuu mdogo huku JF, watu wanapiga kelele za mapema wakati mechi yenyewe bado. Naomba niseme kwa kingereza, IT DOESN'T MATTER HOW YOU START THE RACE-WHAT MATTERS IS HOW YOU FINISH IT.

Mchuano wa Magufuli na Lowasa nauona ni kama Mayweather na Pacquaio. Nyie wote ni watu wazima mnajua mshindi ni nani. TEAM MONEY. Purukushani zote za CDM kama tunavoziona sasa hivi na kama alizozionyesha Pacquaio hazitawaletea tija.


Haunaga point kabisa. Yaani hata wenyeviti wa mikoa wa CCM leo unawaita hawana maana?? Nasema haunaga point kwa sababu umeshindwa kutambua kuwa hawa si viongozi wa Chadema bali ni wanachama na kinachohitajiwa ni KURA zao tu muda utakapofika. Kuna multiplying effect hapa. Hawa wakiweza kupata mtu mmoja mmoja, Chadema itapata kura angalau 6. Na ndio ambazo CCM itakuwa imezikosa!! Hivi kweli unashindwa kuona jinsi hawa wenyeviti watakavowahujumu?? Kweli Mugisha (Mugisher)???

Uchaguzi ni maswala ya wingi wa kura!! Siku ukija kuelewa hivo, CCM yako itakuwa imetupwa nje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom