CHADEMA officially ni CCM 'B'

CHADEMA officially ni CCM 'B'

Eti Simba iache kumsajili Okwi kwa vile alichezea Yanga awali? Kwamba atakuwa anapiga mashuti kuelekea goli lake la Simba, huo si utakuwa ujinga wa zamani sana. Hivi mtu aliyekuwa CCM akihamia Chadema basi wakati wa Uchaguzi mkuu akipiga kura yake kwa Chadema inakuwa imeharibika?
Kama Chadema imekuwa CCM b au c mbona sasa badala ya kulala usingizi mororo kwa vile CCM a imepata mwenza sasa ni kukosa usingizi na kuchanganyikiwa tuu?
Hebu oneni mwenyekiti jinsi alivyo dhoofu ghafla kipindi hiki cha miezi miwili baada ya mkutano mkuu, mwineeni huruma bosi wenu kwa kushiriki naye majonzi sio kubwabwaja tuu mitandaoni kama vile hamjui kwenu kuna msiba.
 
Jamani mimi ni mtanzania wa kawaida sana, na ninapenda mageuzi ya kisiasa katika nchi yetu, Naomba kama watanzania tusio na ushabiki tujadiliane kuhusu hili swala la viongozi waandamizi kutoka Ccm kuhamia UKAWA je tutakosea kuwaita ukawa ccm B, maana sura zile zile za ccm zinaendelea kuja ukawa, swali la pili je ukawa wana mikakati kuhakikisha watu hawa hawaji na elements zao za huko walikotoka?
 
Ngoja na mi nitafakari Hilo

=========
update:bado kwakweli natafakari

========
typing...
 
Hata kikwete, magufuli, pinda ,kinana, nape na wengine wengi wakihamia chadema Leo watapokelewa kwa mikono miwili.
 
Teh Teh Teh sitawaangusha....sitawadondosha....LAKINI KWELI MAGUFULI HAFAI KUWA RAIS,LABDA AENDELEE NA UWAZIRI,
 
Nimeamini pesa sabuni ya roho popote unaingia nakuitwa mheshimiwa/mzee hata kama wanakuzidi umri elimu na n.k.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom