Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,657
Bado Hujaichoma?
Wewe inaonyesha kabisa akili zako zimekaa kimagamba magamba. Wewe sio cdm chadema hakuna wajinga kama wewe.
kweli shida mwanaharamu,kakwambia nani kuwa ukimiliki kadi ya chama cha siasa ndio umepata ajira?
uliombwa ukachukue hyo kadi mko? Means waliyokupia ndo ui2mie kurudisha, nakupongeza kwa kujtoa nenda unakoona kunakufaa
kweli shida mwanaharamu,kakwambia nani kuwa ukimiliki kadi ya chama cha siasa ndio umepata ajira?
Huo ufanisi wa kazi unatoka wapi wakati saa hizi upo JF unapika majungu tu? au hii ndio kazi yako?mnapenda sana kuita watu vilaza lkn mie nimesoma vizuri sana! taaluma yangu haina shaka tangu mara sec, pugu , udsm na ninapofanya kazi sasa! hongera na ww kama unaweza kuwa na cheti na ufanisi kazi kama mm!
cdm wanipe kazi mm kazi ?? nadhani utakuwa umeghafikirika !
Nenda ccm ukapate kazi.
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?
kuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume.je dawa ya kuongeza uwezo wa kufikiri ipo?
Ukiweza kuimudu njaa ni dawa tosha, uwezo mdogo wa kufikiri unasababishwa na njaa ndio inapelekea unanunuliwa Laptop na modem kuja kujicholesha humu mitandaoni.kuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume.je dawa ya kuongeza uwezo wa kufikiri ipo?
ha ha ha ha ha ha ha ha,Kumbe we wa jana, ndo mana unapost utumboniliajiriwa kabla hujaijua cdm, namaanisha 2010!
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?
Hawa binamu zko wamepewa kazi gani na CCM? KUBEBA JAMBIA LA MBAO?
![]()
we ni ch.i zicdm waniajiri mm?!!! mimi sio dj!
Huo ufanisi wa kazi unatoka wapi wakati saa hizi upo JF unapika majungu tu? au hii ndio kazi yako?
Ukiweza kuimudu njaa ni dawa tosha, uwezo mdogo wa kufikiri unasababishwa na njaa ndio inapelekea unanunuliwa Laptop na modem kuja kujicholesha humu mitandaoni.
Vumilia njaa kijana utakuja kuolewa hivi hivi hapa mjini kwa kuivalia njaa kibwaya.tatizo umekariri! una lingine!