Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,380
Wanabodi,
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimekuwa kilaani udikteta lakini inasikitisha wanalaani kwa maneno tu ndani ya chama hiki kuna udikteta wa kutisha.
Ndani ya Chadema hakuna demokrasia hakuna uvumilivu wowote Chadema imewatimua madiwani wa Arusha, Chadema imewatimua madiwani wa Mwanza, Chadema walitaka kumvua uanchama mbunge wao, Zitto Kabwe alipolikataa kusudio lao la kususia hotuba ya rais na kutoka bungeni, Chadema pia walitaka pia kumfukuza John Shibuda alipotofautiana na maagizo yao.
Chadema wameshindwa kuwavumilia hao wanaokaidi maagizo yao na kuwatimua lakini cha achabu wao wanataka wakaidi maagizo ya serikali halafu wasiguswe, je nchi yetu itakuwa nchi ya namna gani endapo Chadema itaachiwa kufanya lolote walitakalo pasipo kufuata sheria za nchi, Chadema kijumla upinzani kwao una maana moja tu ya "antagonism" kwamba serikali ikisema ndio wao ni kusema hapana, ni upinzani usio na manufaa yoyote kwa watanzania.
Chadema wanataka vyombo vya ulinzi vifanye kazi yao kwa matakwa yao badala ya matakwa ya taaluma mpaka sasa hivi hakuna hata kiongozi mmoja wa Chadema aliefungwa kwa sababu za kisiasa halafu wanasema wananyanyaswa..
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimekuwa kilaani udikteta lakini inasikitisha wanalaani kwa maneno tu ndani ya chama hiki kuna udikteta wa kutisha.
Ndani ya Chadema hakuna demokrasia hakuna uvumilivu wowote Chadema imewatimua madiwani wa Arusha, Chadema imewatimua madiwani wa Mwanza, Chadema walitaka kumvua uanchama mbunge wao, Zitto Kabwe alipolikataa kusudio lao la kususia hotuba ya rais na kutoka bungeni, Chadema pia walitaka pia kumfukuza John Shibuda alipotofautiana na maagizo yao.
Chadema wameshindwa kuwavumilia hao wanaokaidi maagizo yao na kuwatimua lakini cha achabu wao wanataka wakaidi maagizo ya serikali halafu wasiguswe, je nchi yetu itakuwa nchi ya namna gani endapo Chadema itaachiwa kufanya lolote walitakalo pasipo kufuata sheria za nchi, Chadema kijumla upinzani kwao una maana moja tu ya "antagonism" kwamba serikali ikisema ndio wao ni kusema hapana, ni upinzani usio na manufaa yoyote kwa watanzania.
Chadema wanataka vyombo vya ulinzi vifanye kazi yao kwa matakwa yao badala ya matakwa ya taaluma mpaka sasa hivi hakuna hata kiongozi mmoja wa Chadema aliefungwa kwa sababu za kisiasa halafu wanasema wananyanyaswa..