Chadema & wasio jielewa CO, nenda kafanyane na jambazi wa A town kama kawaida yenu, Hakikisha umekunywa Viroba au Gongo.
Ulianza taratibu lakini kadri muda unavyoenda rangi zako halisi zinajionyesha,kwani usipotukana ZZK hatakulipa posho yako?
Chadema & wasio jielewa CO, nenda kafanyane na jambazi wa A town kama kawaida yenu, Hakikisha umekunywa Viroba au Gongo.
Zito ni mwanasiasa makini sana kiukweli kabisa.. waache mboe,slaa mnyika, lema warukeruke watatua tu
zito alikubali kurubunika na maccm,na alipaswa awe m/kiti ili aiue kabisa chadema akashtikiwa nakushangaa wewe ulivyo mshamba na ujinga wako ,kama ni maarufu mchukueni kwenye chama chenu mzidi kuimarika boya wewe
Zito ni mwanasiasa makini sana kiukweli kabisa.. waache mboe,slaa mnyika, lema warukeruke watatua tu
Zito ni mwanasiasa makini sana kiukweli kabisa.. waache mboe,slaa mnyika, lema warukeruke watatua tu
mimi na wewe nani mshamba? wewe unaishi kwa kusikiliza nadharia za wase..nge( kielelezo picha zake akif...anywa) kama jambazi la A town ktk wizi wa magari, umeacha kuhoji mambo ya msingi ndani ya chadema kama matumizi ya ruzuku na kuimarisha umoja ndani ya chama unakurupuka kushabikia ufitini usio hata na chembe ya ukweli.
Majata pole sana, Zitto Kabwe alishafutika katika siasa za CDM mchukueni nyie. CDM ipo bila Zitto, Slaa, Mbowe, Mnyika etc. CDM ni watanzania wazalendo si kwa mafisadi na watoto wao kama ilivyo katika chama chako. Sasa ngoja na mimi nikajiunge CDM nigombee halafu useme. Mimi si mchaga lakini CDM natamani hata kesho niamke nikute imechukua madaraka nchi hii.
majata
kama una Mapenzi nae kwa kiwango cha juu kiasi hiko,kwanini humpi Mkeo au hata wewe Mwenyewe kama bado ????
kugombe nini!, bro uenyekiti wa serikali ya mtaa au?
ngoja tuone umakini wake kama kweli ni makini.
Mchukueni kwenu akaimarishe chama, alichokuwa anakikuadia!!! ATC walizomewa juzi Mwanza!!! Siku nikisikia ATC inaenda mkoani kwangu kwa influence yangu nitaagiza wapigwe mawe. Chezea sisi watoto wa wazee wewe!!! Tukifika kijijini kusalimu tunapita kila nyumba tukisalimia!!! Ha ha ha !!! Tunaheshimika kwa usemi hata wa neno moja. Zitto msaliti, haini kubwa sana hili.
mimi na wewe nani mshamba? wewe unaishi kwa kusikiliza nadharia za wase..nge( kielelezo picha zake akif...anywa) kama jambazi la A town ktk wizi wa magari, umeacha kuhoji mambo ya msingi ndani ya chadema kama matumizi ya ruzuku na kuimarisha umoja ndani ya chama unakurupuka kushabikia ufitini usio hata na chembe ya ukweli.
Amekueleza pia kuwa ameomba msamaha akakataliwa? Au ni haya tu?
Mkuu majataHakuna siku aliongea na jamii ikaelewa kwamba kunajambo la kujenga jamii kaongea, badala yake kila aongeapo ni kuchochea uvunjifu wa amani tu.