CHADEMA ni Zitto, Msiotaka acheni!

CHADEMA ni Zitto, Msiotaka acheni!

cdm madkteta tu,uliona kalenga yule aliyepita kwenye kura za maon alivyo pigwa kapun kwa sabab za uongo na kwel? je na yy alikuwa msalit km zitto?
 
Kwa akili kama hii mnategemea nini wakuu.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    34.9 KB · Views: 87
Wa kumuomba msamaha mwezie ni nani? Acheni uzushi nyie BAVICHA, badala ya kukaa chini na kutafakari wapi mlipokosea mpaka SACCOS inayoyoma, nyie mmekalia majungu. fitna, uzushi, uzandiki na kila aina ya ubaya! Muombeni msamaha Zitto haraka iwezekanavyo! mambo hayaendi vizuri kwa upande wenu!

utapasuka MDOMO KWA MAYOWE LAKINI ZITTO KWAHERI , NJAA NA TAMAA KALI KUSHINDA YA FISI VIMEMPONZA ! KAMA MNAMUONA MALI MPELEKENI ARUSHA AKAOKOE CCM , AU HAMUONI AIBU MTUKUFU PROPHET MH LEMA ANAVYOWADHALILISHA NYINYI NA WAZAZI WENU ? KUNA TAARIFA KWAMBA MWAKA HUU HAMTAAMBULIA HATA KITI KIMOJA CHA SERIKALI ZA MITAA , MAFISADI WAKUBWA NYIE !
 
Kwa sasa zito hakamatiki ona hapa anatoka na gari la chikawe wakati chadema wanamtafuta kwenye gari lake.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    445.5 KB · Views: 80
ndio mazoea yako hayo bro na jamaa yako wa arusha alishapelekewa mtalimbo na picha alipigwa, teh teh teheeeee!

Wewe kweli kidampa. Kila picha ukiona basi akili yako inakutuma kuwa ni halisi? Jee ile picha ya ule mtandao uliofungiwa ilikuwa halisi? Wewe sio majata bali majanga.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
cdm madkteta tu,uliona kalenga yule aliyepita kwenye kura za maon alivyo pigwa kapun kwa sabab za uongo na kwel? je na yy alikuwa msalit km zitto?

wee MBUMBUMBU KAMA HUJUI KITU YANINI KUJIDHALILISHA ?
 
Wana Lumumba acheni kumdanganya mwenzenu - bado ana maisha marefu sana ya kisiasa msitake kumharibia zaidi.
 
Kwa sasa zito hakamatiki ona hapa anatoka na gari la chikawe wakati chadema wanamtafuta kwenye gari lake.

Acha hiyo lift ya Chikawe,hata angeondoka na Freelander aliyopewa na Mkono wala haina shida maana sio siri tena. Au jamaa wale wa TISS waliompa kazi iliyoshindwa wakileta magari ya msafara wake haisumbui.
Hivi mke ukimuacha kutokana na uzinzi na ukahaba wake ukimuona kakumbatiwa utahamaki? Sii ushamuacha? Hata ukimkuta kawapanga mstari magume anagawa utamu wala roho haishtuki maana hicho ndicho kilichokufanya umuache.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hivi kwanini mnatukanana kwa ajili ya Mtu au Chama? Hivi kazi za kufanya zimeisha? Watanzania wenzangu hebu tuwe wastaarabu.
 
hivi kwanini umasikini wa kipato unasababisha pia umasikini wa akili ?

Pia unasababisha upungufu katika kujitambua. Hao jamaa ukiwaonyesha mshiko na kuwaambia wakulambe miguu utashangaa watakavyogombania nafasi hiyo.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Mjomba itathmini chadema baada ya zito.

usimezeshwe maneno bila kutafakari, zitto nii bora kuliko mbowe, slaa na lema. Hili hata wewe unajua ila unajilidhisha tu mkubwa.

Zitto ni USED Family Planning method ambayo hutumika moja kwa tendo moja. Sasa hawezi tena kutumika!
 
utapasuka MDOMO KWA MAYOWE LAKINI ZITTO KWAHERI , NJAA NA TAMAA KALI KUSHINDA YA FISI VIMEMPONZA ! KAMA MNAMUONA MALI MPELEKENI ARUSHA AKAOKOE CCM , AU HAMUONI AIBU MTUKUFU PROPHET MH LEMA ANAVYOWADHALILISHA NYINYI NA WAZAZI WENU ? KUNA TAARIFA KWAMBA MWAKA HUU HAMTAAMBULIA HATA KITI KIMOJA CHA SERIKALI ZA MITAA , MAFISADI WAKUBWA NYIE !

Hizi kauli zenu za kabla ya uchaguzi tumeshazizoea, Hata Kalenga mlisema mtashinda kwa kishindo lakini mkaambulia aibu ya mwaka! Baada ya uchaguzi mnakuja na visingizio kibao!
 
Acha hiyo lift ya Chikawe,hata angeondoka na Freelander aliyopewa na Mkono wala haina shida maana sio siri tena. Au jamaa wale wa TISS waliompa kazi iliyoshindwa wakileta magari ya msafara wake haisumbui.
Hivi mke ukimuacha kutokana na uzinzi na ukahaba wake ukimuona kakumbatiwa utahamaki? Sii ushamuacha? Hata ukimkuta kawapanga mstari magume anagawa utamu wala roho haishtuki maana hicho ndicho kilichokufanya umuache.


Sent from my iPad using JamiiForums

KAMANDA HUJANG'ATA MANENO , aSANTE KWA MANENO YA UHAKIKA .
 
Pia unasababisha upungufu katika kujitambua. Hao jamaa ukiwaonyesha mshiko na kuwaambia wakulambe miguu utashangaa watakavyogombania nafasi hiyo.


Sent from my iPad using JamiiForums

Kwi! Kwi! Kwiiii!!!
 
Chadema walidhani dhambi ya ubaguzi itaishia hapo Ufipa ndo iwe basi, baada ya sakata la Zito wananchi wengi wamewashtukia
 
Ama kweli. Hivi uzi kama huu unachangiwa? Dah! hata mimi nimeshauchangia!
 
Back
Top Bottom