CHADEMA ni wasanii! - Mtikila

Swali rahisi, kama hao waliotajwa mmesema ni wezi, sasa chama makini kinaamini wapora simu za mkononi wapelekwe mahakamani wezi wa mabilioni watajwe tu pale Temeke Mwembe yanga alafu mambo yaishie hapa?...

By the way chama makini lazima kiamini utawala wa sheria na ki-embrace hilo,,, sasa hapa kuna mfano gani mzuri, hivi hawa wakiingia madarakani watapenda haya yatokee?

No, I don't any seriousness!!! Acheni uwana siasa hapa,,, kama data ziko right without doubt wangepeleka mahakamani...
Na mbona watuhumiwa ni wengi wangepeleka angalau mmoja basi,,, maana kila mmoja ameiba kwa wakati wake kulingana na mh. Dr. Slaa

issue ni kwamba hawako sure!!!... kwa mfano katibu mkuu Rutakanzibwa sijui jina lake vizuri alitolea nje hata tarehe tu zilizonakiliwa na Dr. Slaa...

Tuhuma tumesikia na zitaendelea kuwa tuhuma unless zingeenda mahakamani na ku-be-approved, na tuhuma hizi ni za muda mrefu tu!

Kidume Mtikila bwana kesi ngapi ameipiga serikali chini,,, historia itaonyesha daima...

Kwa jamii yetu hata CHADEMA they are still not serious the moment tunawapa nchi ndio tutajua hilo, kwa sasa tushabikie tu!!!!
 
Swali rahisi, kama hao waliotajwa mmesema ni wezi, sasa chama makini kinaamini wapora simu za mkononi wapelekwe mahakamani wezi wa mabilioni watajwe tu pale Temeke Mwembe yanga alafu mambo yaishie hapa?...

...!

kwa nini wewe usiwapeleke hao wezi mahakamani? kazi tu kupiga debe huku ukiacha wenzio wakufanyie kazi! hata wewe ni mtanzania na kama una uchungu na nchi unaweza pia kuwapeleka mahakani hao wezi damn it!
 
Swali rahisi, kama hao waliotajwa mmesema ni wezi, sasa chama makini kinaamini wapora simu za mkononi wapelekwe mahakamani wezi wa mabilioni watajwe tu pale Temeke Mwembe yanga alafu mambo yaishie hapa?...

By the way chama makini lazima kiamini utawala wa sheria na ki-embrace hilo,,, sasa hapa kuna mfano gani mzuri, hivi hawa wakiingia madarakani watapenda haya yatokee?

No, I don't any seriousness!!! Acheni uwana siasa hapa,,, kama data ziko right without doubt wangepeleka mahakamani...
Na mbona watuhumiwa ni wengi wangepeleka angalau mmoja basi,,, maana kila mmoja ameiba kwa wakati wake kulingana na mh. Dr. Slaa

issue ni kwamba hawako sure!!!... kwa mfano katibu mkuu Rutakanzibwa sijui jina lake vizuri alitolea nje hata tarehe tu zilizonakiliwa na Dr. Slaa...

Tuhuma tumesikia na zitaendelea kuwa tuhuma unless zingeenda mahakamani na ku-be-approved, na tuhuma hizi ni za muda mrefu tu!

Kidume Mtikila bwana kesi ngapi ameipiga serikali chini,,, historia itaonyesha daima...

Kwa jamii yetu hata CHADEMA they are still not serious the moment tunawapa nchi ndio tutajua hilo, kwa sasa tushabikie tu!!!!
Mbona kina Mgonja, Rutabanzibwa, na Karamagi hawakwenda mahakamani kama kweli wanaamini utawala wa sheria? Kama kweli wanaamini wamechafuliwa majina na hawahusiki na kashfa hizo nilidhani wangeenda mahakamani badala ya kuita waandishi wa habari!
 
Swali rahisi, kama hao waliotajwa mmesema ni wezi, sasa chama makini kinaamini wapora simu za mkononi wapelekwe mahakamani wezi wa mabilioni watajwe tu pale Temeke Mwembe yanga alafu mambo yaishie hapa?...

By the way chama makini lazima kiamini utawala wa sheria na ki-embrace hilo,,, sasa hapa kuna mfano gani mzuri, hivi hawa wakiingia madarakani watapenda haya yatokee?

No, I don't any seriousness!!! Acheni uwana siasa hapa,,, kama data ziko right without doubt wangepeleka mahakamani...

Na mbona watuhumiwa ni wengi wangepeleka angalau mmoja basi,,, maana kila mmoja ameiba kwa wakati wake kulingana na mh. Dr. Slaa

issue ni kwamba hawako sure!!!... kwa mfano katibu mkuu Rutakanzibwa sijui jina lake vizuri alitolea nje hata tarehe tu zilizonakiliwa na Dr. Slaa...

Tuhuma tumesikia na zitaendelea kuwa tuhuma unless zingeenda mahakamani na ku-be-approved, na tuhuma hizi ni za muda mrefu tu!

Kidume Mtikila bwana kesi ngapi ameipiga serikali chini,,, historia itaonyesha daima...

Kwa jamii yetu hata CHADEMA they are still not serious the moment tunawapa nchi ndio tutajua hilo, kwa sasa tushabikie tu!!!!

Malumbano ya vyama sina jadi, nina swali moja hivi Dito ushahidi haujakamilika. Aliyemuua yuko kaburini. Marehemu Mwamwindi alifanya vivyo hivyo na hakuweza kuwa na uhuru ambao Dito anao hivi sasa kulikoni?
 
By the way chama makini lazima kiamini utawala wa sheria na ki-embrace hilo,,, ...

Mze kilitime heshima mbele (kama mjumbe mmoja anavyosemaga:)

Mahakama zetu hata kama ukiua kama wewe ni mmoja wa vingunge basi bado utapeta kama kazi, sasa ukiiba na wewe ni mmoja wa vingunge kwa nini usipete? utapeta.
Kwa hiyo chama chochote kinachoamini utawala huo wa sheria lazima kiwe chama cha kihanithi, na kuamini sheria hizo ni uhanithi.
 
...........trying to figure out, Mtikila sasa nae sasa anatumiwa! There is only one JF!
 
Mtikila mie huwa namkubali,lakini kwa hili,naona kachemsha.Mbona yeye aliwahi kumtuhumu Sumaye kuwa mla rushwa mkubwa mbona hakumpeleka mahakamani?? Dr,Slaa na Mrema wamejifunza kwa uzoefu,sasa kama unaona mpaka majaji wastaafu wanawashauri watuhumiwa ambayo ni serikali kutokwenda mahakamani,hivi kweli kama wangeenda mahakamani tunahakika gani hii kesi ingesikilizwa?

Mtikila lazima pia aelewe kuwa kashfa ni silaha muhimu sana katika uwanja wa siasa,ingawa pia huwa na matunda kwa jamii. Sasa kama mwanasiasa lazima ujue namna bora ya kuitumia silaha yako kwa manufaa kisiasa nakwa jamii.

Mtikila atupe mfano ambao yeye kishapata mafanikio kutokana na kupata uamuzi wa mahakama katika kesi zake.
Naomba hapa nieleweke kuwa sio kuwa napinga Wapinzani kwenda mahakamani, ila ni lazima kila wakati uwe na mbinu mpya katika uwanja huu wa mapambano unapomjua adui unayepambana naye.
 
Mtikila ni mufilis wa kisiasa. Anajaribu kutafuta njia ya kutoka na anaonesha political immaturity to the mazimum. Jamaa alishazoea watu kumhesabu yeye kama mtetezi mkuu wa walalahoi wa Tanzania kwa hio anapoona akina Zitto na Slaa wana ngara kwa utetezi wa wanyonge anaona wivu. This is pure wivu. Mtikila muda wako wa kuropoka bila mpangilio umekwisha, tafuta dili nyingine.

Halafu weye Kilitime naomba urudi kwa mropokaji Makamba na wenzie wakupe hoja mpya za kuja kuwakilisha humu, hizo ulizonazo naona muda wake umekwisha, kwikwikwi.
 
Siku zote huyu Mtikila mwenyewe kazipeleka kesi zake ktk mahakama za ngedele kumshitaki nyani. Miaka nenda kalonga weee na kazunguka kila mahakamani nchini hatujaona mabadiliko yoyote kwa maisha yake acha hayo ya wananchi!.
Kashindwa kuiona mantiki ktk mtego wa haki ulotumiwa na Dr Slaa. Hawa wamejua kuwa mahakama ya wananchi wapiga kura, waajiri wa hawa viongozi wana hukumu nzito, kubwa na yenye madhara kwa uongozi mbovu kuliko mahakama za korti ya sheria. Chadema wamewashtakia wananchi wenyewe na sio mahakama iliyokuwa corupt.
Inashangaza sana kwani nakumbuka nilipokuwa Bongo ni huyu huyu Mtikila aliyemshauri ndugu Raphael Chobuyaga kutofanya hivyo kutokana na imani yake mbaya kuhusu hizi mahakama.
Kwa hiyo hata huyu Mtikila sio kwamba kazisikia habari hizi kupitia kwa Dr.Slaa laa kazifahamu toka mwaka jana ama mwanzo wa mwaka huu 2007 na viongozi wengi Tanzania walikuwa wakizijua habari hizi na ndio maana hata Warioba kasema sio habari mpya!.. tatizo lilikuwa nani atakayeweza kusimama na kuyaweka madai haya hadharani... Dr.Slaa mwanaume kasimama pale mlipohofia wote, leo mnaanza kumpaka yeye na chama chake kama vile ubavu mlikuwa nao wa kuzitoa habari hizi ambazo sii ngeni kwenu... acheni.. Mtikila nafahamu hata siku ambayo Raphael Chobuyaga alikuja kukuona na makabrasha yake mkononi ili kupata usia na maoni toka kwenu waoefu kuhusu swala hili la hawa wahujumu wa Uchumi!...
Kaa pembeni mzee wangu acha vijana wafanye kazi!
 
Ukienda Mahakamani nchini Tanzania na hoja kama hii unaipa kifungo hoja yako na hivyo kunyimwa uhuru wa kuichambua hoja yako hadharani, Kama hoja ya Buzwagi ichambuliwavyo kama karanga hivi sasa .

Hoja yeyote ile yaweza geuzwa kuwa mtaji wa kisiasa na chama chochote ni Jambo Legal kabisa. Ni Homework ya Upande wa pili kujitetea na kutoa maelezo mwafaka ili kuziba uwezo wa hoja kuwa mtaji wa kisiasa.
Majibu ya SISIEMu kwenye hoja hii hayajaweza kuziba hoja hii kuwa ya kisiasa.

Maoni ya Mtikila ni ya kweli kabisa na ni ya Kisheria ni haswaa mambo yalitakiwa kwenda hivyo.
Hatahivyo katika nchi ambayo sheria ziko vitabuni tu wakati mwingine ni vema kutumia mazingira na udhaifu wa taratibu kwa ujumla kwa faida ya yako na wananchi Kisiasa kiuchumi na kiutamaduni.
 
Madela wa madilu,
Unajua mkuu wangu huyu mzeee sio kwamba alichosema ni utumbo ila inashangaza sana maanake Mtikiola anafahamu vizuri mahakama za Tanzania zinavyofanya kazi, sii mgeni wa sheria zetu na vikwazo vyake. Na huyu huyu Mtikila kisha muasa kijana mmoja kutoenda mahakamani kwa sababu hizi hizi tunozizungumza hapa, leo nashangaa kuona huyu Mtikila kasimama na kurudisha swala la mahakama hali ni yeye mwenyewe ni mfano bora wa mahakama zetu kupuuuza wanyonge ktk maswala mazito yanayowahusu vigogo.
 
Lakini kama ni suala la mahakama watuhumiwa si wameshatangaza kwamba watakwenda wao kushitaki? Kwani kuna tofauti gani watuhumiwa wakitangulia au Dr. Slaa akitangulia kwenda mahakamani? Mbona kisheria mimi naona mambo ni sawa tu? Au nimekosea? (I stand corrected)
 
Tuombe Uhai, hao wanaosema kwenda mahakamani sasa ni sio sawa, sawa kuropoka kwenye Viwanja vya Mwembe Yanga, ndio hao hao wakiwa Madarakani,,, watasema watu waende mahakamani wakiwa na issue!

In short kwa lugha rahisi sana...

Watu wawili wanabishana we need third part to prove, sasa mtu asije sema third party ni wananchi,third party should be Judiciary. (in the court of law). period.

Mwafrika wa Kike, anasema niwapeleke mimi mahakamani, sijui kwa base gani, mimi sijasema mtu amekula hela, sina ushahidi nitapeleka kwenye mahakamani gani labda hii ya JF, inayohukumu watu hata kabla ya utetezi at same time,,, ina-advocase ideology change... za kutuhumu watu tu kila mtu anapopenda,,, hiyo haitakuwa jamii nzuri at all.
 
Kwanza tukumbuke kwamba ukiingie kwenye siasa lazima uwe na malengo. na malengo ya vyama vya siasa yanaeleweka pia. yaani kushika dola. sasa wakati vyama pinzani lengo lao ni kushika madaraka, CCM nayo lengo lake ni kulinda kwa gharama yoyote kuendelea kushika madaraka.

kwenye uwanja wa Mapambano ya kushika madaraka wanasiasa wanaingia na silaha mbali mbali. wengine vifaru, wengine maroketi na wengine lmg n.k. Slaa na Zitto pia ni wanasiasa kama walivyo kina JK, EL na wengineo. malengo yao wote yanafanana. tofauti zao ni kwamba wengine wako madarakani na wengine wanapigana kushika madaraka.

Uwanja ni mpana na kila mtu yuko huru kutumia makombora yake. sasa kama makombora ya kina Zotto ni makubwa ni juu ya serikali ku defence. kama imekosa namna ya ku defence, then siraha zake ni hafifu. vivyo hivyo upinzani ukishndwa. tunaposema kwenda na wakati ndiyo huko, wewe ukiwa bado unatumia window 2000, wengine wanatumia windows xp.

Au mwenzio ukiona kila siku huamkia kushoto wewe jaribu kuamkia kulia. lakini lengo likiwa moja kupata kile ulichotarajia. Sidhani kama Slaa na Zitto hawana Malengo! ikiwa hivyo basi hawatakuwa wanasiasa wazuri.
 
Mtikila alienda Mahakamani na kesi yake.

Mahakama ikagwaya na kuirudisha bungeni. Sasa Msanii ni nani?

Mtikila yuko Sawa kwa nchi inayofuata Sheria. Ila kwa hali tuliyonayo sasa hivi, mhhh!!!!!

Angalia tu NEC walivyoboronga mambo, halafu eti uwapeleke Mahakamani, Duuhh....!!!!
 
Swali rahisi, kama hao waliotajwa mmesema ni wezi, sasa chama makini kinaamini wapora simu za mkononi wapelekwe mahakamani wezi wa mabilioni watajwe tu pale Temeke Mwembe yanga alafu mambo yaishie hapa?...

By the way chama makini lazima kiamini utawala wa sheria na ki-embrace hilo,,, sasa hapa kuna mfano gani mzuri, hivi hawa wakiingia madarakani watapenda haya yatokee?

No, I don't any seriousness!!! Acheni uwana siasa hapa,,, kama data ziko right without doubt wangepeleka mahakamani...
Na mbona watuhumiwa ni wengi wangepeleka angalau mmoja basi,,, maana kila mmoja ameiba kwa wakati wake kulingana na mh. Dr. Slaa

issue ni kwamba hawako sure!!!... kwa mfano katibu mkuu Rutakanzibwa sijui jina lake vizuri alitolea nje hata tarehe tu zilizonakiliwa na Dr. Slaa...

Tuhuma tumesikia na zitaendelea kuwa tuhuma unless zingeenda mahakamani na ku-be-approved, na tuhuma hizi ni za muda mrefu tu!

Kidume Mtikila bwana kesi ngapi ameipiga serikali chini,,, historia itaonyesha daima...

Kwa jamii yetu hata CHADEMA they are still not serious the moment tunawapa nchi ndio tutajua hilo, kwa sasa tushabikie tu!!!!

Dawa ni kwenda kuwashtaki kwa wananchi badala ya mahakama. Mahakama zetu ni chombo cha CCM, hivyo haiwezi kutenda haki ikajihukumu yenyewe. Jaji anateuliwa na Rais, mahakimu kwa mkondo huo huo. Katiba ikibadilishwa nafikiri raia wa nchi hii tutapata haki.
 
MWENYEKITI wa Democratic Party (DP), Christopher Mtikila ameibuka na kukishutumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa kinafanya usanii wa kutumia majukwaa kujadili madai ya ufisadi dhidi ya viongozi wa Serikali kwa lengo la kufunika vyama vingine na kushika madaraka na siyo kuleta ukombozi kwa umma.

Hizi ni kesi za jinai ni muhimili wake ni DPP sasa Chadema itaendaje Mahakamani kwani wao ni DPP au DCI? Kazi yao ni kuwataarifu wananchi wajue nchi yao inakokwenda...............
 
mtikila acha uhuni umeanza kujipendekeza kwa ccm? hao hoa ndio wanaokumaliza kisiasa? si muda mrefu tutakusoma kwenye historia kuwa alikuwepo Mtikila aliyekuwa anawavuruga wakombozi ktk karne ya 21.
 
Back
Top Bottom