CHADEMA ni kiboko, Rufaa inachukua miaka miwili kusikilizwa!

Wanastahili pongezi kwa kufanikiwa kukaa Baraza kuu, naamini ni gharama kubwa sana kukusanya watu wengi vile ,

Ikizingitiwa Hawana ruzuku Wala mapato ya uhakika,

Ila kiukweli waangalie upya mifumo Yao ya rufaa Ili isicheleweshe haki za watu
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!

Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.

Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
 
Kwanza Baraza kuu lifadhiliwe na CCM kwa kisingizio kua hawana ruzuku, halafu useme kuna upinzani wakati ajenda nyingi wameelezewa waseme nini
 
Tulishawaeleza Tanzania hakuna upinzani kuna magenge tu ambayo yakiwa kwenye green pasture kama sasa huwezi kuyasikia yakipiga kelele lakini yakibinywa kidogo kama kwa jpm wanalia vilio kwa lugha zote
 
Tulishawaeleza Tanzania hakuna upinzani kuna magenge tu ambayo yakiwa kwenye green pasture kama sasa huwezi kuyasikia yakipiga kelele lakini yakibinywa kidogo kama kwa jpm wanalia vilio kwa lugha zote
Wewe ni mpumbavu JPM yuko wapi???Aliyoyaratibu ameyaacha na ambayo hakuyapenda yamerudi kwa speed ya 4G maana yeye kwa ujinga wake alifikiri akiwaondoa wapinzani ataishi milele sasa amewaondoa wapinzani akawaweka majambazi na majambazi hayo hayo yakammaliza bila huruma.
 
Halafu wanasema katiba mpya inachelewa, ooohhh kesi mahakamani zinachelewa, maendeleo yamecheleweshwa Tanzania, wao rufaa tu miaka miwili, nchi wataiweza? Ccm walimpa za uso Ndungai fasta ndani ya wiki tu.

Chadema kufanya uamuzi wa kujenga shimo la choo wanaweza kuchukua miaka mitatu, sembuse ujenzi wa barabara
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!, Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.
Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Aiseee!
 
Back
Top Bottom