johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,134
- 146,482
Ni lazima Msajili wa vyama vya siasa nchini aingilie Kati suala hili.
Hawa akina Halima Mdee na wenzake wamesubiri takribani miaka miwili Rufaa zao kusikilizwa hii si sawa kabisa.
Mambo kama haya huwezi kuyaona CCM
Hawa akina Halima Mdee na wenzake wamesubiri takribani miaka miwili Rufaa zao kusikilizwa hii si sawa kabisa.
Mambo kama haya huwezi kuyaona CCM