CHADEMA ni kama vile mmetususia Watanzania

CHADEMA ni kama vile mmetususia Watanzania

Ni kweli miaka ya nyuma tulikuwa tunawaona CHADEMA na vyama vingine vya upinzani pamoja na wasomi maarufu wanakuja kutupa ufanunuzi kwa lugha rahisi juu ya report ya mkaguzi mkuu. Na baadaye wanakuja tena kutufafanulia bajeti mara tu inapotangazwa. Sasa mwaka huu ripoti ya mkaguzi mkuu imeshatoka lakini naona wapo kimya sijui wamepigwa ganzi na nini.
ACT mbona wamechambua
 
Anafanya mambo akiwa amepoa. Mi mpaka nisikie kongamano la katiba tena, ndio nitaamini. Haya mambo ya kupita mtaani na kundi la watu 10, naona ni utani tu.

CDM ya leo kazi yao ni kuiga sera za CCM tu. Wamefilisika ubunifu hawana. Wameiba/ iga sera ya CCM ya kula kwa urefu wa kamba na kuibafilisha jina wakaita join the chain. Chain nayo ni kamba ya metal ujue.
 
Mambo ya hovyo yanafanyika hapa nchini na nyinyi mpo tu hata hamtoi matamko wala kumobilize watu tuandamane.
Hali ngumu ya maisha imetawala na ndio kwanza tabaka tawala wao wanafuja mali za umma tu kutwa kuzurura na midege yetu huko angani.
Nchi ni kama haina kiongozi mkuu kwa sasa kwani kila mtu anajiamlia mambo yake mwenyewe.
Chadema nyinyi ndiyo wa kutuvusha kwenye hili,msitususe tafadhali.
Achaneni na chadema...kuleni uwoga wenu.
Kila mkitetewa hamjawahi kuunga mkono
 
Ni kweli miaka ya nyuma tulikuwa tunawaona CHADEMA na vyama vingine vya upinzani pamoja na wasomi maarufu wanakuja kutupa ufanunuzi kwa lugha rahisi juu ya report ya mkaguzi mkuu. Na baadaye wanakuja tena kutufafanulia bajeti mara tu inapotangazwa. Sasa mwaka huu ripoti ya mkaguzi mkuu imeshatoka lakini naona wapo kimya sijui wamepigwa ganzi na nini.
Hawana watu wenye uwezo huo...wamejaza wapiga pambio wa mwenyekiti
 
Kila mtu ashinde tu mechi zake chadema kaeni mtulie kabisa maana hawa watanzania hawajawahi jua wanataka nini na wanasimamia nini, Bora kila mtu ale alipo peleka mboga
Watanzania wengi hawajitambui.

2020 walikuwa wanafurahia chadema kungwa kuuwawa na kutekwa kuibiwa kura. Leo unataka chadema wakusemee! Isome number ufurahi.

Leo hakuna sera mbadala Wala Nini
 
Mngewapa madaraka ya kuongoza nchi.
Ni kweli miaka ya nyuma tulikuwa tunawaona CHADEMA na vyama vingine vya upinzani pamoja na wasomi maarufu wanakuja kutupa ufanunuzi kwa lugha rahisi juu ya report ya mkaguzi mkuu. Na baadaye wanakuja tena kutufafanulia bajeti mara tu inapotangazwa. Sasa mwaka huu ripoti ya mkaguzi mkuu imeshatoka lakini naona wapo kimya sijui wamepigwa ganzi na nini.
 
Bwashee kama bado unawategemea chadema 'to get your back' imekula kwako. Chadema ya hivyo aliondoka nayo Dr slaa, hii ya sasa ni porojo tu
Slaa si yupo unashindwa nini kumwambia akusemee? Hatupendi unafiki
 
Mambo ya hovyo yanafanyika hapa nchini na nyinyi mpo tu hata hamtoi matamko wala kumobilize watu tuandamane.
Hali ngumu ya maisha imetawala na ndio kwanza tabaka tawala wao wanafuja mali za umma tu kutwa kuzurura na midege yetu huko angani.
Nchi ni kama haina kiongozi mkuu kwa sasa kwani kila mtu anajiamlia mambo yake mwenyewe.
Chadema nyinyi ndiyo wa kutuvusha kwenye hili,msitususe tafadhali.
Hujui umuhimu wa Mtu mpaka yakujute.
 
pilau mpike ccm alafu mje kulalamika viungo avijawekwa na chadema.

kwa kweli umenikumbusha msemo fulani :"unanipandia miba njia yangu alafu kesho unakuja peku kuomba msaada"

ccm kwenu hiyo
 
Back
Top Bottom