CHADEMA ni kama vile mmetususia Watanzania

CHADEMA ni kama vile mmetususia Watanzania

Huyo Dr Slaa si yupo mwambie atowe tamko!
Ili tuamini kauli yako kwamba CHADEMA ya sasa ni porojo tu.
Bwashee yani hapo umepiga fyongo la ugoko ile mbaya; badala ya kuitaka chadema itoe tamko wewe unataka Dr Slaa ndiye atoe tamko?!
Btw, chadema ingekuwa siyo porojo wangeshatoa tamko!
 
Slaa si yupo unashindwa nini kumwambia akusemee? Hatupendi unafiki
Hata mimi sipendi unafiki. Yani hali ya ugumu wa maisha ilivyo tete namna hii chama kikuu cha upinzani hakitusemei wananchi, kama huo siyo unafiki ni kitu gani sasa?
 
Hata mimi sipendi unafiki. Yani hali ya ugumu wa maisha ilivyo tete namna hii chama kikuu cha upinzani hakitusemei wananchi, kama huo siyo unafiki ni kitu gani sasa?
Kwanini msimwambie Dr. Slaa awasemee wananchi si mmesema Chadema ya Dr.slaa ndio ilikua na uwezo wa kupigania maslahi ya Taifa? Au Dr slaa hawezi kusema?
 
Mambo ya hovyo yanafanyika hapa nchini na nyinyi mpo tu hata hamtoi matamko wala kumobilize watu tuandamane.
Hali ngumu ya maisha imetawala na ndio kwanza tabaka tawala wao wanafuja mali za umma tu kutwa kuzurura na midege yetu huko angani.
Nchi ni kama haina kiongozi mkuu kwa sasa kwani kila mtu anajiamlia mambo yake mwenyewe.
Chadema nyinyi ndiyo wa kutuvusha kwenye hili,msitususe tafadhali.
Gap hiyo imezibwa na ACT tena imezibwa vzr zaidi
Wanaeleza changamoto na wanapendekeza suluhisho.
Chadema wamebaki na kejeli matusi na unabii wa yule jambazi mstaafu aliyekimbia madeni. Bado wana yule muchknow mjuvi asiye na ujuzi bingea wa kukariri historia kiropo kuliko hata mwendazake...
Kwa kweli wanatia huruma sana
 
Kwanini msimwambie Dr. Slaa awasemee wananchi si mmesema Chadema ya Dr.slaa ndio ilikua na uwezo wa kupigania maslahi ya Taifa? Au Dr slaa hawezi kusema?
Tokeni kwenye chama tujue moja, watakuja watu wengine wa kutusemea. Mmeng'ang'ania chamani na kujiita chama kikuu cha upinzani wakati hakuna chochote mnachopinzana ili iweje? That's being irresponsible!
Mnataka tuwaunge mkono, kwa nini cha mno mnachofanya? Kwa kugeuka mabubu wakati wa hali ngumu?
 
Ni kweli miaka ya nyuma tulikuwa tunawaona CHADEMA na vyama vingine vya upinzani pamoja na wasomi maarufu wanakuja kutupa ufanunuzi kwa lugha rahisi juu ya report ya mkaguzi mkuu. Na baadaye wanakuja tena kutufafanulia bajeti mara tu inapotangazwa. Sasa mwaka huu ripoti ya mkaguzi mkuu imeshatoka lakini naona wapo kimya sijui wamepigwa ganzi na nini.
Nadhani wameona ni ujinga kuendelea kuwatetea na kuwapigania watu ambao hawajielewi hata pale wanapoibiwa.
 
Tokeni kwenye chama tujue moja, watakuja watu wengine wa kutusemea. Mmeng'ang'ania chamani na kujiita chama kikuu cha upinzani wakati hakuna chochote mnachopinzana ili iweje? That's being irresponsible!
Mnataka tuwaunge mkono, kwa nini cha mno mnachofanya? Kwa kugeuka mabubu wakati wa hali ngumu?
Ushauri wa bure ungekazana na CCM wenzako kiwasaidia watanzania lakini kuililia chadema kwa sasa unajichosha bure.
 
Kwani lini walikuwa kwaajili ya wananchi? Hivi vyama vipo kwaajili ya matumbo yao tu.
 
Chadema nao ni watu wameona unafiki wenu mkubwa wameamua kuangalia na wao maslahi yao tu basi...
 
Wewe na akili zako unakaa unasema chadema waseme waseme Nini? Kula ulimpigia nani? Pambana na hali yako wakiwa kwenye shida mnawacheka wakitoka mnawaona wa maana shabashiiiiiii
 
Mambo ya hovyo yanafanyika hapa nchini na nyinyi mpo tu hata hamtoi matamko wala kumobilize watu tuandamane.

Hali ngumu ya maisha imetawala na ndio kwanza tabaka tawala wao wanafuja mali za umma tu kutwa kuzurura na midege yetu huko angani.

Nchi ni kama haina kiongozi mkuu kwa sasa kwani kila mtu anajiamlia mambo yake mwenyewe.
Chadema nyinyi ndiyo wa kutuvusha kwenye hili,msitususe tafadhali.
Walikuwa na kambi rasmi ya upinzani bungeni, walikuwa na mawaziri vivuli wa kila wizara, hvyo walikuwa na huo wajibu, kwa sasa wako nje ya system na malengo ni kujiimarisha katika maeneo mengine, ndo maana movement zao ni katiba mpya na jion the chain, mi nadhan mnawalaumu bure, badala yake kila mtu amkabe mbunge wake amuulize kwanini hawatetei maslahi ya watu wake masikini, chadema hamkuwapa kura mnataka wawawakilishe kwa lipi?
Ila nilisikia zito ana baraza lake la mawaziri vivuli labda wajitokeze wachambue mauza uza ya kula wizara na watoe dira yao.
 
Nimefurahi sana kuona Uzi huu.

Kila kitu kimeharibika kifupi disco limeingia Masai.

1. Bunge limepoooa kama kikao Cha vikoba au Cha msiba. Halivutii hata kuangalia sembuse kusikiliza. Watu wenye mvuto hawapo. Kipindi hicho tukisomewa ratiba za nani atachangia basi hata bar mziki unazimwa tunasikiliza Mnyika, Sugu, Lema, Mbowe au Tundu Lissu anachangia.

Baada ya hao kutoa mchango wao basi DJ anafungulia mziki - bunge la Anna Makinda na Samwel Sitta.

2. Tangu uchafuzi wa 2020 kufanyika wananchi hatujui hata majina ya mawaziri. Serikali imepooooooaaaa kama maji ya bwawani. Serikali Haina mvuto.

Mlimwacha yule marehemu ameharibu utaratibu Kila kitu kiko hovyooo.

Sasa limekufa alafu imeshindikana hata kurekebisha.

Bunge limekiwa kikao Cha CCM.
Yani ccm hakuna kitu
 
Huu uzi ulekezwe kwa aliyewapora ushindi hawa unaowalalamikia leo.
Mambo ya hovyo yanafanyika hapa nchini na nyinyi mpo tu hata hamtoi matamko wala kumobilize watu tuandamane.

Hali ngumu ya maisha imetawala na ndio kwanza tabaka tawala wao wanafuja mali za umma tu kutwa kuzurura na midege yetu huko angani.

Nchi ni kama haina kiongozi mkuu kwa sasa kwani kila mtu anajiamlia mambo yake mwenyewe.
Chadema nyinyi ndiyo wa kutuvusha kwenye hili,msitususe tafadhali.
 
Back
Top Bottom