kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 13,960
- 26,135
Mambo ya hovyo yanafanyika hapa nchini na nyinyi mpo tu hata hamtoi matamko wala kumobilize watu tuandamane.
Hali ngumu ya maisha imetawala na ndio kwanza tabaka tawala wao wanafuja mali za umma tu kutwa kuzurura na midege yetu huko angani.
Nchi ni kama haina kiongozi mkuu kwa sasa kwani kila mtu anajiamlia mambo yake mwenyewe.
Chadema nyinyi ndiyo wa kutuvusha kwenye hili,msitususe tafadhali.
Hali ngumu ya maisha imetawala na ndio kwanza tabaka tawala wao wanafuja mali za umma tu kutwa kuzurura na midege yetu huko angani.
Nchi ni kama haina kiongozi mkuu kwa sasa kwani kila mtu anajiamlia mambo yake mwenyewe.
Chadema nyinyi ndiyo wa kutuvusha kwenye hili,msitususe tafadhali.