Chadema ni kama timu ya mpira.......

Chadema ni kama timu ya mpira.......

Huyu Jamaa aliye uchi na mwenye ngozi kama nguruwe anatakiwa kufungiwa (Ban) maana anachochangia humu hakiendani na habari yenyewe iliyowekwa mezani
Ebu niambie nimevunja kanuni na sheria za JF, zipi au jukwaa la siasa wanaotakiwa kuchangia ni Pro-Chadema tu? mbona kuna kauli nyingi zinatolewa sijawahi kukuona umeongea chochote? mfano juzi na jana kulikuwa na thread JK kamteuwa muislam mwenzake Pro-Chadema-JF, wamechangia udini tena kwa kejeli ulikuwa wapi kukumea au kwa sababu yale maneno yalikuwa yanakupendeza? mwambie Mods basi yoyote atakae pingana na Chadema apigwe BAN
 
Nimefurahishwa na kitu kimoja kwamba walau sasa demokrasia inakomaa Tanzania.Wananchi wamefumbuka na wanaelewa mbivu na mbichi.Wakati wa kudanganya watu umepita kwani vijana wanazidi kupata elimu ya uraia.
Niseme wazi kwa hapa ilipofikia ni vigumu Chadema kusambaratika.Ni kwa nini nasema hivyo.Nakumbuka miaka ile ya 90 wakati NCCR wakiwa na nguvu kubwa,pale role model alikuwa anaonekana mtu mmoja tu Augustine Lyatonga Mrema basi! Wafuasi wake walifanya chochote kisa Mrema kasema.Wafuasi wake walifikia kumbeba kama maiti!!!
Chadema ni tofauti sana.Hakuna mtu maarufu pale bali chama ndicho maarufu.Kama mwanademokrasia niwapongeze viongozi wa chadema kwa kuijenga chadema kama taasisi.Chadema leo anaweza kuondoka mtu yeyote na chama kikabaki imara sana.Angalieni mfano mdogo tu mauaji ya Nyamongo.Alienda kule Godbless Lema wanasiasa wakasema maneno mengi sana kwamba Lema anachochea vurugu kule,alivyoenda Marando na Tundu Lissu wakasema afadhali Lema kuliko hawa!!! Walisema Slaa asipokuwa bungeni chadema imekufa na wananchi hawatapata mtetezi tena walipoingia kina Mdee,Mnyika,Zitto,Lema na Wenje wakasema afadhali ya Slaa.Wakati wapiganaji wa chadema wakiwa bungeni huku nje Slaa anaongoza mashambulizi makali mikoani akiwa na akina Mpendazoe,Abdallah Safari,Marando,Mwita Mwikabe,Wilfred Lwakatare,Benson Kigaila na wengine siwamalizi kuwataja.
Hatimaye demokrasia imekua na ni vigumu sana kuimaliza Chadema..utamfunga nani uimalize nguvu? Labda wote uwapeleke gerezani kitu ambacho hakiwezekani.
Nimekosa la kusema ndio maana naiona Chadema kama timu maarufu ya mpira ya REAL MADRID.....

Habari ndio hiyo , usimamshe aliyelala utalala wewe. CDM sasa moto chini.😛ound:
 
Jamani hizo topic za Udini naomba Muelewe ni Sera Za CCM kurudisha Imani au kuvuruga Upinzani.
Ndugu zangu bila kujali kabila kumbuka Former IGP mahita alitoa taarifa rasmi on TV na Radio kwamba
wameshia contena la visu na Jambia lililoingizwa na CUF na CCm wakaanza kwamba CUF ni chama cha kigaidi
hivyo msikichague.

Sasa miaka 15 Slaa alikuwa mbunge na suala la udini halikuwepo pale bungeni, wakalemewa uchaguzi CCM
wakaanza tena aemtumwa na Kanisa mbona tulimchagua Kikwete kwa tumaini kubwa tu na hatukumpa kura Mbowe
2005. Hapa Ilikuwaje suala la Kanisa au msikiti.

Tuache hizi siasa za kugawanyika, tujenge nchi pamoja, hata leo Lipumba angekuwa na mvuto wa Slaa tungemchagua.
Kuweni makini sana. Kumbuka wakati atatangazwa JK alikiri kwamba kistyle Siasa za udini tumezianzisha na zitatugarimu.
Fuatilia vizuri hizi ni sera za CCm kudhoofidha CDM ila hakuna lolote pale.

Nawakilisha
 
Endelea tu kuota ndoto za mchana ! hii nchi haichukuliwi kwa maandamano au wingi wa watu mikutanoni, ni zaidi ya ufikiriavyo

Muasisi alishasema kuwa CCM si mama yake mzazi ................... LAKINI TOFAUTI NA WEWE................ HATA WAKUFANYIE MABAYA GANI BADO UNANG'ANG'ANA NAO..............
 
Na mimi nashangaa sana kuona chama cha msimu, kimewezaje kukilazimisha chama cha kudumu kujichuna ngozi a.k.a gamba.
.
 
Nchi ipo mikononi mwetu chadema.............
 
Nimefurahishwa na kitu kimoja kwamba walau sasa demokrasia inakomaa Tanzania.Wananchi wamefumbuka na wanaelewa mbivu na mbichi.Wakati wa kudanganya watu umepita kwani vijana wanazidi kupata elimu ya uraia.
Niseme wazi kwa hapa ilipofikia ni vigumu Chadema kusambaratika.Ni kwa nini nasema hivyo.Nakumbuka miaka ile ya 90 wakati NCCR wakiwa na nguvu kubwa,pale role model alikuwa anaonekana mtu mmoja tu Augustine Lyatonga Mrema basi! Wafuasi wake walifanya chochote kisa Mrema kasema.Wafuasi wake walifikia kumbeba kama maiti!!!
Chadema ni tofauti sana.Hakuna mtu maarufu pale bali chama ndicho maarufu.Kama mwanademokrasia niwapongeze viongozi wa chadema kwa kuijenga chadema kama taasisi.Chadema leo anaweza kuondoka mtu yeyote na chama kikabaki imara sana.Angalieni mfano mdogo tu mauaji ya Nyamongo.Alienda kule Godbless Lema wanasiasa wakasema maneno mengi sana kwamba Lema anachochea vurugu kule,alivyoenda Marando na Tundu Lissu wakasema afadhali Lema kuliko hawa!!! Walisema Slaa asipokuwa bungeni chadema imekufa na wananchi hawatapata mtetezi tena walipoingia kina Mdee,Mnyika,Zitto,Lema na Wenje wakasema afadhali ya Slaa.Wakati wapiganaji wa chadema wakiwa bungeni huku nje Slaa anaongoza mashambulizi makali mikoani akiwa na akina Mpendazoe,Abdallah Safari,Marando,Mwita Mwikabe,Wilfred Lwakatare,Benson Kigaila na wengine siwamalizi kuwataja.
Hatimaye demokrasia imekua na ni vigumu sana kuimaliza Chadema..utamfunga nani uimalize nguvu? Labda wote uwapeleke gerezani kitu ambacho hakiwezekani.
Nimekosa la kusema ndio maana naiona Chadema kama timu maarufu ya mpira ya REAL MADRID.....

Mkuu umesema vyema ila hapo kwenye RED hilo chama ungesema BARCElLONA
 
Chadema noma!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.........................
 
Na mimi nashangaa sana kuona chama cha msimu, kimewezaje kukilazimisha chama cha kudumu kujichuna ngozi a.k.a gamba.
.
Kukiangusha CHAMA kikongwe ni either KUWA-WIN WANACHAMA WAKE AU KUWEKA HADHARANI MAOVU YAKE
 
Chadema for presidency in 2012 ellection (Kwa hali hii uchaguzi ni siku yeote kuanzia sasa)
 

. Mizengo Pinda
Bernard Membe
. Edward Lowassa
Andrew Chenge

jk
bilal
.SheinSeif
uongozi hautegemei kuwa mtu anatoka dini gani. tuache kuwatambua watu kwa dini zao bali kwa matendo yao . viongozi wote waliotatwa hapo juu wana dini zao ambazo kwazo hazitusfanyi tuwaone wabaya kwa sababu tu ni wa imani fulani. tuzipambanue sifa na kasoro za viongozi nje ya mstari wa imani za dini zao if we look foward to make a better future for the present and coming generation. i like both good christians and muslims.
 
Fmpiganaji wala aoti kama unavyofikiri, 2015 hata TISS hawataweza kuchakachua kama wanapenda kuona amani ya nchi hii inaendelea kuwepo, na wakichakachua yatatokea ya Kenya na itakuwa wananchi against CCM.

tunaanzia na wenyeviti vitongoji mwakani kama sikosei baada ya hapo tunaongoza serikali shina
 
Umemsahau beki two(Mdee) ila hujui kuwa Kanisa ni Moja,Takatifu,Katoliki na ni la Mitume wakati Chadema ni Nguvu ya Umma! Ondoa udini wako ka vp nenda Nigeria!
Ni vigumu sana kutofautisha Chadema na Kanisa
 
hapo sema MANCHESTER UNITED au YANGA...CHADEMA ALPHA NA OMEGA
 
Back
Top Bottom