CHADEMA ngoma mbichi Arusha

CHADEMA ngoma mbichi Arusha

Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
Hawa hawakuwa wagombea binafsi, walichaguliwa kupitia Chadema, ni lazima waheshimu taratibu za chama, vinginevyo wamepata walichostahili, big up Mbowe et al.
 
<br />
<br />
Mafilili,huna hoja hayo ni maneno ya mfa maji,ukweli na haki vitashinda daima,chadema bado ni imara sana,na tunajua mbinu zote wanazotaka kutumia,ila bado ari ya umma wa Arusha ipo juu sana,na wanafurahia maamuzi ya CC

I wish kama ungemfahamu huyo jamaa usingemjibu,kikulacho ki nguoni mwako. Sema tu sheria za JF zinakataza watu kutoa ID ya mtu hadharani.Watu wa aina hii ni wa kuwaumbua tu hadharani wakati mwingine.

Hili suala limeamuliwa na CC,kama ni kupinga mtu angeweza kufanya lobbying na kuppinga ndani ya CC hata kama haingii. Tusonge mbele.....!
 
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!

Mkuu, inaonekana uko karibu na hao waliofukuzwa. Naomba uwafikishie ushauri wangu wa bure. Kama wanataka kuendelea kuwa ndani ya siasa kamwe wasibishane na chama... mara zote chama, ambacho kinaongozwa kwa misingi ya katiba yake, ni kikubwa kuliko mtu yeyote ndani ya chama. kama wanataka wapoyee kwenye ramanmi ya siasa basi wao wafanye ubishi na chama chao.

Kinachowafanya sasa hivi wajione na umaarufu wote walio nao kwa kiasi kikubwa umetokana na caham hicho, nje ya chama, umaarufu na sifa zao zitapungua sana.

wasifanye kama si wanasiasa, waangalie Chadema ilikotoka na ilipo sasa, wao wamechangia kuiweka hapo ilipo lakini wasijidanganye kuwa wanaweza kuiporomosha kwa sababu Chadema si tena taasisi inayotegemea mtu, ina nguvu za umma mwingi nyuma na mbele yake
 
Ni wewe wasema! Tuliwachagua kwa kudhani ni watu kumbe ni viatu! Subiri uchaguzi ufanyike ndo utaelewa maana yake!
<br />
<br />
Tuma salam na wewe binti mtamu, Nawe upo Arusha? Bado ngoma ni mbichi mpaka uchaguzi upite.
 
Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.

Ndugu kama jambo hulijui nivyema ukauliza,nikwamba,
hao watu kabla ya kuchaguliwa kw nguvu ya umma
walipita kwenye mchakato wa chama,
 
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!
<br />
<br />

CHADEMA wamefanya maamuzi magumu yenye manufaa. Though maamuzi haya yanaweza kukicost chama kitambo kidogo, lakini yatakijenga na kukiimarisha chama kwa kipindi kirefu.

Tukiweka itikadi zetu pembeni, kamati kuu ya chama inapaswa kupongezwa kwani CHADEMA kimekuwa chama cha kwanza kuchukua maamuzi magumu. CCM hawawezi kufanya hivi hata Sheikh Yahya afufuke saivi.
 
Ni bora CDM wakakosa viti vyote kuliko kua na kundi la wahuni wachache ambao wanaweza ama Kuvujisha siri za Chama ama wanaweza kurubuniwa kirahisi let say uchaguzi ukiwa umekaribia wandugu mnaoshindwa kuelewa hawa Vibaraka kutimuliwa je hamuoni kua wanaweza kuja kuvuruga watu mwishoni kabisa?

CC ya CDM wamefanya maamuzi sahihi kwa ustawi wa Chama.
 
wana akili finyu kama maisha ya funza.wao wanafikili chadema ni arusha.wajiulize kwanza chadema wana madiwani wangapi?hiyo ndo ishatoka na tunasonga mbele.wawaulize wakina shitambala.hata shitambala kimawazo alijua yeye ndo chadema akavimba kichwa.kwa ufupi hao ndo wameshatemwa chadema na mbinguni.mia
 
Ngoma bado mbichi kabisa subiri utasikia mwenyewe.

Katika hili, wewe huna jipya. Funga tu domo lako. Tunakumbuka sana wakati wa uchaguzi mwaka jana ulivyomponda Godless Lema. Ingeshangaza kama ungetoa kauli tofauti na hii.
 
Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea.
Acha ujuha na kudanganya watu, mtafaruku kama unaendelea ndani ya halmashauri ya manispaa ya Arusha, basi huo mtafaruku hauihusu Chadema. Labda useme hivi sasa wako watu kwenye hiyo halmashauri ambao hawana sifa kwa sababu hawatokani na chama cha siasa kama sheria inavyotaka na hapo mpira uko kwa Tume ya Uchaguzi na si Chadema.
Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town.
Mbona unazidi kuchanganyikiwa ? Chadema haikumfukuza udiwani mtu yeyote yule, Chadema imewavua uanachama waliokaidi amri halali ya Kamati Kuu. Kama walikuwa madiwani na kwa kuvuliwa uanachama watapoteza udiwani, hayo hayaihusu Chadema - wao walie tu, imekula kwao.
Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA
Acha uwongo, kwanza Mheshimu Mwenyezi Mungu. Pili, sakata la Chadema limeisha kwa wakorofi kutimuliwa na sasa si wanachadema tena. Tatu, toka lini ukaitakia mema Chadema wewe gamba lililokubuhu !
wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.
Unaona ? Hili ndilo tatizo la magamba, ni kama vile ufisadi umewaathiri kisaikolojia. Kwa nini CCM inashindwa kwenda kuwaeleza watu wa Igunga, watu wa Bariadi na watu wa Monduli kwa nini wanataka kuwatosa wanaoitwa mapacha watatu ? Angalau Chadema wanapanga kwenda Arusha kuwaeleza wana Arusha kwa nini hao wakorofi walitumuliwa, huu ndio unaitwa uwajibikaji kwa wapiga kura. Grow up, dude !
 
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!

Kwa walichofanya hawa hata iweje, wamechemka tu, sasa hivi wao wajipumzishe tu.. masnitch wakubwa!
 
Acha ujuha na kudanganya watu, mtafaruku kama unaendelea ndani ya halmashauri ya manispaa ya Arusha, basi huo mtafaruku hauihusu Chadema. Labda useme hivi sasa wako watu kwenye hiyo halmashauri ambao hawana sifa kwa sababu hawatokani na chama cha siasa kama sheria inavyotaka na hapo mpira uko kwa Tume ya Uchaguzi na si Chadema.Mbona unazidi kuchanganyikiwa ? Chadema haikumfukuza udiwani mtu yeyote yule, Chadema imewavua uanachama waliokaidi amri halali ya Kamati Kuu. Kama walikuwa madiwani na kwa kuvuliwa uanachama watapoteza udiwani, hayo hayaihusu Chadema - wao walie tu, imekula kwao.[/B]Acha uwongo, kwanza Mheshimu Mwenyezi Mungu. Pili, sakata la Chadema limeisha kwa wakorofi kutimuliwa na sasa si wanachadema tena. Tatu, toka lini ukaitakia mema Chadema wewe gamba lililokubuhu ![/FONT][/SIZE]Unaona ? Hili ndilo tatizo la magamba, ni kama vile ufisadi umewaathiri kisaikolojia. Kwa nini CCM inashindwa kwenda kuwaeleza watu wa Igunga, watu wa Bariadi na watu wa Monduli kwa nini wanataka kuwatosa wanaoitwa mapacha watatu ? Angalau Chadema wanapanga kwenda Arusha kuwaeleza wana Arusha kwa nini hao wakorofi walitumuliwa, huu ndio unaitwa uwajibikaji kwa wapiga kura. Grow up, dude !

ha haaa haaaa ..... nimecheka , nimefurahi na nimefarijika na uchambuzi huu

good night Mag3
 
hivi hujajiuliza kuwa nguvu ya umma hiyohiyo ilikuwa inataka hao madiwani wavuliwe udiwani kwa kukubali muafaka batili na CCM?

Tatizo hawa magamba wanasahau kuwa sisi tumepoteza wapiganaji (damu imemwagika) kwa ajili ya swala la umeya Arusha, kwa hiyo hawa wasaliti ni nguvu ya umma Arusha ndio iliamua watoswe!

Wakae tu watulie wakishindwa waende kwa mabwana zao huko Magambani.
 
Acha ujuha na kudanganya watu, mtafaruku kama unaendelea ndani ya halmashauri ya manispaa ya Arusha, basi huo mtafaruku hauihusu Chadema. Labda useme hivi sasa wako watu kwenye hiyo halmashauri ambao hawana sifa kwa sababu hawatokani na chama cha siasa kama sheria inavyotaka na hapo mpira uko kwa Tume ya Uchaguzi na si Chadema.Mbona unazidi kuchanganyikiwa ? Chadema haikumfukuza udiwani mtu yeyote yule, Chadema imewavua uanachama waliokaidi amri halali ya Kamati Kuu. Kama walikuwa madiwani na kwa kuvuliwa uanachama watapoteza udiwani, hayo hayaihusu Chadema - wao walie tu, imekula kwao.[/B]Acha uwongo, kwanza Mheshimu Mwenyezi Mungu. Pili, sakata la Chadema limeisha kwa wakorofi kutimuliwa na sasa si wanachadema tena. Tatu, toka lini ukaitakia mema Chadema wewe gamba lililokubuhu ![/FONT][/SIZE]Unaona ? Hili ndilo tatizo la magamba, ni kama vile ufisadi umewaathiri kisaikolojia. Kwa nini CCM inashindwa kwenda kuwaeleza watu wa Igunga, watu wa Bariadi na watu wa Monduli kwa nini wanataka kuwatosa wanaoitwa mapacha watatu ? Angalau Chadema wanapanga kwenda Arusha kuwaeleza wana Arusha kwa nini hao wakorofi walitumuliwa, huu ndio unaitwa uwajibikaji kwa wapiga kura. Grow up, dude !
wewe ni Mkweli,
 
Kwani bado ni madiwani ? Kama jibu ni ndiyo, ni madiwani kutoka chama gani ?
 
This topic contents serves the same as thread post ..... mods please merge this topic with previous
 
Hoja zao kwa ufupi ni kutaka kuachana na mgogoro na kuanza kuwatumikia wananchi bila kuzingatia kuwa kuna kesi kibao zimefunguliwa dhidi ya viongozi wao, kuna watu wameuawa bila serikali inayosika kukubali responsibility wala fidia, wamesahahu kuwa kuna watu wengi walipigwa na kupata vilema vya maisha kwa ajili ya kupinga dhuluma iliyofanywa kwa ufupi tusahau sacrifice yote iliyofanywa tuchukue vyeo tusonge mbele but what about all the sacrifice ??

Kingine ni wao ku undermine mazungumzo yaliyozingatia sacrifice hizo zote na waziri mkuu. ok kufanya kosa sio kosa basi omba msamaha na undo what you have done to correct the mistake bado utaki kwahiyo binafsi mie nafikiria kuwa ingawa lengo lao la mwisho la kutaka kuwaudumia wananchi ni zuri lakni kuna utaratibu ilibidi ufuatwe kufikia hapo walipotaka kufika.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Back
Top Bottom