mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Mbona kwenye hizo picha nawaona vijana tu,tena wale waliokaa kibange bange!
Ngoja nipige magoti niendelee na sala yangu....
"Mungu baba mtakatifu, uketie mahali pa juu patakatifu..... nakuja mbele zako nalileta taifa lako hili teule, Tazama wanao sisi (watz) kwa namna ya peke tumepata imani ya ukombozi wa taifa letu kupitia watu wako wateule ambao kwa uwezo wako wameweza kumgusa kila mtz mwenye dhiki na aliyekandamizwa na umasikini wa kutisha, ninaomba ukazidi kuwatia nguvu katika mapambano haya ya haki, ukawaepushe na dhuruba zote za mitafaruku ya kisiasa, ukawaimarishe wakaendelee kusimama vyema katika kuendelea kupigania hadhi ya maisha ya heshima ya mtanzania. Sana na zaidi kabisa ukatupe jicho la kimapinduzi kwa kadiri tunavyoikaribia 2015 tukaendelee kuwa na moyo huu wa kufikia mabadiliko tunayoyatamani kwenye nchi yetu.
Kwa jina lako lililokuu, nmeomba.... wote tuseme, Ameeeeeen"
Mbona kwenye hizo picha nawaona vijana tu,tena wale waliokaa kibange bange!
Ngoja nipige magoti niendelee na sala yangu....
"Mungu baba mtakatifu, uketie mahali pa juu patakatifu..... nakuja mbele zako nalileta taifa lako hili teule, Tazama wanao sisi (watz) kwa namna ya peke tumepata imani ya ukombozi wa taifa letu kupitia watu wako wateule ambao kwa uwezo wako wameweza kumgusa kila mtz mwenye dhiki na aliyekandamizwa na umasikini wa kutisha, ninaomba ukazidi kuwatia nguvu katika mapambano haya ya haki, ukawaepushe na dhuruba zote za mitafaruku ya kisiasa, ukawaimarishe wakaendelee kusimama vyema katika kuendelea kupigania hadhi ya maisha ya heshima ya mtanzania. Sana na zaidi kabisa ukatupe jicho la kimapinduzi kwa kadiri tunavyoikaribia 2015 tukaendelee kuwa na moyo huu wa kufikia mabadiliko tunayoyatamani kwenye nchi yetu.
Kwa jina lako lililokuu, nmeomba.... wote tuseme, Ameeeeeen"