Chadema ndani ya Bukoba

Kwa hisani ya Kaa la Moto

....................................
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/attachment.php?attachmentid=24208&d=1299091630

....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/attachment.php?attachmentid=24208&d=1299091630

....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................


....................................
 
Nimefurahi kuona akina dada nao wamehamasika kusupport wakombozi wa kweli, hakuna kulala, inapendeza kweli kweli.
 
Tatizo ninaloliona hapa ni kuwa viongozi wengi wa kiafrika wanashindwa kuwajali wananchi wao na kukimbilia kuwashambulia wapinzani wao hii ndiyo inayosababisha hata nchi nyingi afrika kuingia kwenye machafuko.Kiongozi kama kiongozi mmoja mmoja hawezi kuwa chanzo cha vurugu bila kupata support kutoka kwa wahanga wa matatizo yaliyopo.Mi ninaangalia tu lakini hali naiona mbaya kuliko watu au viongozi.wengi wa njii hii wanavyochukulia.Kweli walio wengi wameichoka hali iliyopo
 
Hii hapa nyingine Chadema walivyokuwa Shinyanga jana

 
Last edited by a moderator:
Chadema ndani ya BUKOBA-video

 
Last edited by a moderator:
si haba... mambo yana twendea vizuri. mbayuwayu aka MKWERE lazima THITHIEMU IMFIE
 
Inaonekana hapa jamvini tumeanza kuingiliwa na wababaishaji; mbona kuna thread inayosema kwamba Kafulila amemtaka JK awashughulikia CDM!
 
Hongera CDM, angalau wananchi wamepata nafasi kueleza matatizo yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…