Na amshukuru sana kamanda mbowe kwa kucheza kama leon mesi jana manake zito akili ilikuwa ishachoka jana na kuingia mkenge wa chenge bila kujijua.
Kitufe cha like sikioni... Big up!
Na amshukuru sana kamanda mbowe kwa kucheza kama leon mesi jana manake zito akili ilikuwa ishachoka jana na kuingia mkenge wa chenge bila kujijua.
Hata kama Zitto akipatana na CHADEMA hili la usaliti litaendelea kukumbukwa
Mama yako ndio punguaniNa Chadema wakajibu nini? Huwa mnasoma shule gani nyie punguani wa CCM?
Mama yako ndio punguani[/QUOT
Hakuna pointi inayoweza kutoka kwa mwana CCM. Wewe huna Mama? Kama unaye na ikurudie
Najua unataka kututoa kwenye mjadala wa Escrow; Ukweli huu hautafutika kwamba hata kama Zitto atasamehewa, bado atakumbukwa kwa usaliti huu.
aah sasa ndio nini....for issues tat touch nation interest am ready to collabo with my arch enemy only if he/she shows ril desire to fight together in solidarity...cdm has permanent interest n tat is nation first,but not permanent friend.
Zitto Kabwe
Got a standing ovation at UKAWA caucus
this morning. It is very encouraging that
we are able to forget our differences for
larger goal, national interests
1 min · Public
20 · Like · Share · Add Photos · Full
Story · More
Mkuu katika lile mie nimemsifu sana Zitto. Ile ilikuwa move moja very scientific baada ya kuona kumbe jamaa wamejipanga kukwamisha kila kitu. Spika alipompa nafasi Chenge apendekeze Zitto akatumia mwanya huo huo kukubali na Spika akashtuka akataka kuliweka sawa na Zitto akamtolea nje kuwa kachoka sana. Sasa limebaki kuwa Watuhumiwa wa Escrow account wamejipangia mpaka adhabu.Kwanza Zitto ni mtu mnafiki sana na wa kuogopwa nchi hii! Jana ameharibu kazi nzima aliyofanya dakika za mwisho pale aliposema kama nakubaliana na kauli ya Chenge ambaye anajua wazi kabisa ni mtuhumiwa. Licha ya yote akawapewa nafasi nyingine akasema kichwa kimechoka saizi sina hoja! Kwa kauli hizo ni wazi kabisa alionyesha taswira yake ya unafiki.
inauma sana kuona ACT inapigwa chenga ya mwili na zzk
Mama yako ndio punguani