CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

Nape Nnauye

MP Mtama
Joined
Dec 26, 2012
Posts
99
Reaction score
408
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

MKURUGENZI WA Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye amesema suala la uchaguzi wa Meya wa Mji wa Arusha limefikia tamati na kamwe uchaguzi huo hautafanyika tena. Nnauye alisema hayo alipozungumza na MTANZANIA jana, huku akiwataka wananchi wa Jiji la Arusha kupuuza kauli za vitisho zinazotishia kumwondoa madarakani Meya wa Jiji, Gaudence Lyimo.

Kauli ya Nnauye inafuatia kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Madiwani wa Chadema Arusha Isaya Doita, aliyesema kuwa ushindi wa udiwani wa chama chao katika kata nne za mji huo ni chachu katika msimamo wa chama chao kutaka uchaguzi wa Meya wa Arusha urudiwe.

Doita akiamini kuwa Lyimo alichaguliwa kwa mizengwe, alisema ana imani muda si mrefu Jiji la Arusha litapata meya ambaye amechaguliwa kwa misingi ya sheria.

Hata hivyo, siku chache baadaye Katibu wa Chadema wa Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa alisema suala la nafasi ya umeya siyo tena ajenda ya chama hicho.

Akizungumzia suala hilo jana, Nnauye alisema CCM imezoea kusikia kauli mbalimbali za vitisho zinazotolewa Chadema na kuwataka wananchi wa Arusha kuzipuuza kauli hizo.

"Ni kazi yao vitisho nia yao ni kutaka watu wasifanye shughuli zao, lakini suala la meya yupo pale na ataendelea kuwapo kwani uchaguzi ulishafanyika na hautafanyika tena.

"Kazi iliyobaki sasa kwa wananchi wa Arusha ni kujenga mji wao kwa kufanya kazi, watu wafanye kazi zao wala hakuna sababu ya kuhofia kauli za vitisho.

"Ni upuuzi kuanza kuzungumzia kila siku suala la Arusha, waliopewa dhamana wawajibike kilichobaki ni kufanya kazi, waache kusikiliza upuuzi," alisema Nnauye.

Source: Mtanzania
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

je alichaguliwa kwa 2/3 au walioshiriki kunchagua walifika 2/3..kumbe sheria mnazijua..
 
Kumbe umeya ndiyo kihoro chenu, hadi mmediriki kuua raised wema kwa mabomu

siasa maji taka .... Rostam Aziz

Sihusiki na hisia zako, huu ndio ukweli Chama makini kingejadili kuwatumikia watu badala ya kupoteza siku nzima mnajadili jambo lisilowezekana
 
kumbe hofu yenu kuu ni hiyo nafasi ya Umeya?
 
hatimaye umejitokeza kuleta utumbo huu baada ya kujificha kwa aibu iliyowapata magamba huko Arusha. kwa nn mnang'ang'ania Meya to stay. Waambieni tume ya uchaguzi ifanye uchaguzi wa kata sombetini muone mnavyopigwa chini, maana hao hao madiwani wa CCM watapiga kura kusurpot upinzani. Maana Mwigulu aliwachafua CCM. Arusha kwa tabia zake na matendo jua kutembea na wake za makada wenzio.
 
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl66"]JINA LA KATA[/TD]
[TD="class: cms_table_xl67, width: 185"]CHAMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]1[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]OLOIRIEN[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]2[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]OLASITI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]3[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]TERATI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]4[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]MOSHONO[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]5[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]BARAA[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]6[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]UNGA LTD[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]7[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]LEMARA[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]8[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]KATI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]9[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]DARAJA II[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]10[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]ELERAI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]11[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]ENGUTOTO[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]12[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]KALOLENI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]13[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]KIMANDOLU[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]14[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]LEVOLOSI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]15[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]NGARENARO[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]16[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]SEKEI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]17[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]THEMI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]18[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]SOKONI 1[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]TLP[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_xl64, align: right"]19[/TD]
[TD="class: cms_table_xl64"]SOMBETINI[/TD]
[TD="class: cms_table_xl65"]uchaguzi bado[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Viti Maalum CCM: 3
Viti Maalum CDM: 3

Wabunge CCM: 3
Wabunge CDM: 3
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

Tatizo madiwani wa kwenu/CCM pia watapiga kura ya kuto kuwa na imani naye.
 
Sasa mkuu Nape, ulikuwa wapi kuongea wakati wa uchaguzi wa huyo meya wako! Uliona kanuni zikikiukwa na ukawa kimya! Mnaharibu taifa letu kwa mambo yenu ya hovyo.leo hii unazijua kanuni! Siku itafika ambapo raia wataziweka hizo kanuni zenu pembeni
 
Sihusiki na hisia zako, huu ndio ukweli Chama makini kingejadili kuwatumikia watu badala ya kupoteza siku nzima mnajadili jambo lisilowezekana
kuwa na meya aliyechaguliwa kihalali ni sehemu ya kuwatumikia wananchi mkuu! Tatizo la chama chenu ni kupenda kutumia ujanjaujanja kwa mambo ya msingi.
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
Tatizo lako Nape - wewe una MDOMO, Lowasa ana PESA. Nyerere alishawaonya mmeruhusu ufisadi uendeshe chama utamwambia nini mwenye pesa? alisema ukimkemea atakucheka tu na kukuuliza unanijua unanisikia?
 
Tatizo mnakumbuka shuka asubuhi, hizo kanuni mngezikumbuka tangu mwanzo, mauaji yasingetokea arusha, ccm kwa ulafi huu wa madaraka na kuwa tayari hata kuua kama mlivyofanya arusha, mtalisambaratisha taifa letu! Mjitafakari.
 
nape ningekuona wa maana kama ungejaribu kukumbuka niwatu wangapi wamepoteza maisha hapo arusha,kutokana na mabavu waliyoonyeshwa na chama chako kwakutumia vyombo vya dora.tangu wananchi wa arusha wakatae chama chenu mmewafanyia sarakasi nyingi zilizopelekea watu kufa.kuanzia kwenye kulazimisha kumweka huyo mayor wenu hata juzi kwenye marudio yakata hizo.sometimes its better kufikiria haya kuliko umayor.
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

Bdo uko usingizini nini naona wewe ndio unaota.
 
Nape ulinukuliwa na gazeti moja la kila siku ukisema kuwa huwezi kuzungumzia mambo ya Arusha kwani nimadoga na kunagazi ya mkoa ambao ndiyo wa husika. je umekula matapishi yako?
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
 
hatimaye kijana vuvuzela kajitikeza bila haya,kumbe mlivyowauwa watanzania wenzenu kisa umeya. Mwisho wetu umetimia wewe Nape na wanafiki wenzako mmezunguka nchi kumchafua lowasa mbona umenyea kaka kuku aliyenyeshewa. Kwanza wewe ni kijana ambaye uelewi ufanyalo.nakushauri soma alama za nyakati.
 
kuwa na meya aliyechaguliwa kihalali ni sehemu ya kuwatumikia wananchi mkuu! Tatizo la chama chenu ni kupenda kutumia ujanjaujanja kwa mambo ya msingi.

ni kweli mkuu ndiyo maana hata baada ya kubaki na madiwani saba tuliendelea kusai uchaguzi huru na wa hali kumchagua meya ea Arusha siyo huyu wa kichina...
 
Back
Top Bottom