CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.

We dogo sijui una shida gani!! Kukariri ndo unaona ni hitaji letu kwa sasa?! Unamsifu mtu kwa uwezo wa kukariri? Mbona hata wewe unaweza kuikariri Bilblia ukiamua?? Em jaribu kutumia akili wakati mwingine!
 
ivi inakuwaje mpaka mtu anahack account ya mtu JF??
Le Mutuz inabidi haishtaki JF kwa hii kitu....anachafuliwa CV yake kabisa kwa posts ka hizi.....

Huyu ni W. J. Malecela bana, hakuna cha kuhack account za watu! Huyu jamaa ni kichwa kikubwa lakini ubongo ni wa mende.
 
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.

naangelijibu lile swali lingemvua nguo na kumuacha uchii.
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

hakuna sehemu yeyote sheria zimekataza,kuwa ukiwa mwachama wa ccm ushiriki siasa,lkn kuna sheria inakataza watumishi w umma kushiriki siasa
 
chadema wanamuogopa sana dkt tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana dkt tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na dr tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante mungu kwa kutupa naibu spika msomi.

mkuu wote tunajua mungu hausiki na upatikanaji wa huyu mtuu,kwa maoni yangu unazidi kujiongezea dhambi kwa uongo wa hali ya juuuuuu

kwanza jana tulia mwenyewe alisema yeye kama mwana sheria anatakiwa kusoma sasa sijui kama tv yako ulikua unaigeuza kwa nyumaaaa ndo una inagaliaaaaa? Au juu chini.

Asante kwa kuelewa
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.



Nina uhakika asilimia unachokiongea hukijui Bali unaleta ushabiki mbele huku hujui ni nn unakishabikia ungehudhuria hata ile kesi ya mita 200 basi one alivyokuwa anababaika
 
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.

kaka Petro na wewe unajitoa ufahamu sehemu moja, CHADEMA hawana haki ya kumnyooshea kidole Tulia, sheria hiyo haikabi ccm pekee, wanasahau kuwa kuna shutuma kuwa walikuwa wanafanya kazi na mkurugenzi mkuu mstaafu wa usalama wa taifa, huyu kwa nafasi yake hapaswi kuwa kada na strategist wa chama fulani wakati wowote wa maisha yake. walipaswa kumkataa yule kwanza kabla ya kudeal na Tulia.
 
Kwa Nchi hii ili upate nafasi lazima uwe mwanachama wa CCM msisahau Gen Mboma aligombea Ubunge kupitia CCM maana yake ni mwanachama wa CCM.
 
Mumesikia! mumesikia na nani? Ktk level hii ya kuweza kufungua mtandao unaweza komaa na mambo ya kusikia bila thibitisho?

Angalia aina ya watumishi wasioruhusiwa kujihusisha na mambo ya kisiasa ni akina nani. Hilo huhitaji kuonyeshwa vifungu na mtu mwingine. Huoni Tulia alipeleka jina lake CCM kama mwanachama, badala ya kupeleka kama independent applicant kwa katibu wa Bunge? Hangaika na akili yako.

Ushauri:
Hapa JF siyo sehemu ya burudani. Hapa ni sehemu ya wale wanoweza jenga hoja na kuongeza uelewa. Jitahidi sana kuitumia JF ili kuongeza ufahamu.
Join Date : 16th August 2015
Posts : 1,568
Rep Power : 627
Likes Received 402
Likes Given 502

Hahahaha,aisee hi kali.
 
wanasheria hapa Jf ufafanuzi;sheria na katiba ya nchi inaruhusu mtumishi kuwa mwanachama wa chama cha siasa?mfano mwanasheria wa serikali!
 
Halafu hapa naona kuna ushabiki wa kijinga sana.
yaani watu wameeleza ila watu wanajifanya mzuzu.
Yaani mnataka hadi Dr Tulia ndio aje ajibu humu?
Hivi huko mitaani kwenu hakuna hata mwanasheria yoyote mmulize atawapeni ufafanuzi,au hadi aseme bwana wenu ndio muamini kwamba ni sahihi?

Mle bungeni kuna wabunge kazi yao ni kuzomea tuu,na kublock hoja za msingi kwa maslah ya taifa,na hili walijua atawajibu vizuri ndio maana wakazomea,na kuna mdau hapa Jf ameweka vifungu kwa kina watu wanajifanya hawasomi wanarukia hoja nyingine.

Hakuna mwanasiasa atakae kuletea maendeleo zaidi ya wewe mwenyewe kujituma,CCM uipende usiipende ndio chama tawala na lazima utakuwa na maslah nacho,utake usitake.
Hata hao tunaowapigiadebe wapinzani,wao wapo pamoja na yao yanaenda.

Waziri mkuu tu mmempigia kura ya hapana,nyie kweli mawe
 
wanasheria hapa Jf ufafanuzi;sheria na katiba ya nchi inaruhusu mtumishi kuwa mwanachama wa chama cha siasa?mfano mwanasheria wa serikali!

Mkuu wewe nae unajaza uzi,ukikuta post usikimbilie ushabiki,soma tangu mwanzo utaona watu wameviweka.
 
Back
Top Bottom