Mabibi na mabwana heshima kwenu.
Nikiwa mmoja (kama ilivyokuwa kwa mama Maria) tulioongeza idadi Kiluvya kabla askofu Mwamakula kufika tukiwa tayari kwa lolote, ni jambo la wazi kuwa tunapaswa kuisimamia haki vilivyo na kwa nguvu zetu zote.
Safari ya Mlandizi ilendelea si kwa sababu wajuvi wale hatimaye busara iliwarejea, bali waziwazi walitambua tulimaanisha biashara. Kwamba tulisimama kampeni kwa hukumu isiyokuwa ya haki? Hilo lilikuwa kosa kubwa sana kwetu.
Ni muhimu sana watambue hatutatambua tena haramu yoyote iwe ni nyama, hukumu, sheria, kanuni, taratibu au lolote. CHADEMA, mpeni Lissu nafasi zaidi ya kuamua way forward na kampeni hizi.
Hatukupaswa kuridhia kusimama kampeni kivile. Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi. Tulio tayari kuwa naye popote alipo (we mean it) hatuko wachache.
Habari hii na iwafikie wajuvi wote popote walipo.
Nikiwa mmoja (kama ilivyokuwa kwa mama Maria) tulioongeza idadi Kiluvya kabla askofu Mwamakula kufika tukiwa tayari kwa lolote, ni jambo la wazi kuwa tunapaswa kuisimamia haki vilivyo na kwa nguvu zetu zote.
Safari ya Mlandizi ilendelea si kwa sababu wajuvi wale hatimaye busara iliwarejea, bali waziwazi walitambua tulimaanisha biashara. Kwamba tulisimama kampeni kwa hukumu isiyokuwa ya haki? Hilo lilikuwa kosa kubwa sana kwetu.
Ni muhimu sana watambue hatutatambua tena haramu yoyote iwe ni nyama, hukumu, sheria, kanuni, taratibu au lolote. CHADEMA, mpeni Lissu nafasi zaidi ya kuamua way forward na kampeni hizi.
Hatukupaswa kuridhia kusimama kampeni kivile. Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi. Tulio tayari kuwa naye popote alipo (we mean it) hatuko wachache.
Habari hii na iwafikie wajuvi wote popote walipo.