CHADEMA 'mnazingua'

CHADEMA 'mnazingua'

huyu ni lawyer? aiseeeeeeeeeeeeeeeee.

Petro, huwa nakushangaa sometimes! Wewe ni lawyer, inabidi uwe na wider vision kuliko sisi, utupanue! Platform ya kungelea iko wapi? Kila mmoja anakamatwa na polisi, kesi, rumende and the like! Nadhani ungeliongelea namna ya kupata uwanja wa kueleza sera ni upi katika mazingira ya sasa. Kinachofanywa sasa ni kutafuta wapi pa kuongelea. Chase the hyena first , then come to warn the hen about wandering into the forest!..... (chinua achebe) ...kitu kama hicho ingawa not that precise na context ya Chinua. Kama hyena anakula watoto wa kuku, lazima kazi kubwa ni kumfukuza hyena kabla ya kuanza sasa kuhubiri maendeleo ya kuwaokoa watoto. Let us discuss Learned Brother
 
..another idiotic talk by a fake lawyer...hawa chadema wana hoja nzito ...Na Kati ya hizo hoja ndio zimelekea hon. Lissu, ambaye pia ni boss wako huko TLS kama we kweli ni member, kupigwa risasi ili kuuliwa.

....Kama we huoni kuwa chadema wanakosa jukwaa la kutolea hoja zao basi una shida kwenye akili yako mbovu...,Na wala hufai kujiita lawyer...hizi kiki unazotafta kila kukicha kwa watawala hutozipata kwa unafiki wako....yani chadema watoeje hoja zao wakati kila kukicha wanahaha huko kwenye mahakama na makesi yasiyoisha!!!ama hili nalo hulioni??...ama huoni kinachoendelea bungeni dhidi ya wapinzani???...wataftie jukwaa chadema huone kama hawana hoja....idiot...
Asante Mkuu kwa mchango wako mujarabu.
 
Petro E. Mselewa: Hoja yako ni nzuri, ila nawaza huko kujijenga kwenye vijiji na kata kutawezekana? Maana wameambiwa siasa ni mpaka 2020. Sioni dalili ya dola kuwaruhusu Chadema kulifanyia kazi wazo lako.
 
Pole sana Wakili, Chadema mbona walianza kuzingua toka kubadili gia ya hewani kwa sasa ni wazinguaji sugu. Sijui kama ulijiandaa kuogeshwa matusi na wazinguaji maana ndicho walichobakiza
 
Countrywide: Watanzania wengi hawana nyenzo za kuwawezesha kuwa twitter, facebook, n.k. wote ambao wako huko mnakosema tayari wanaziona hoja za Chadema na upinzani kwa ujumla. Waliobaki ndo hao wa katani na vijijini ambako mwenye nchi kawakataza. Ila mbona naona kama watanzania na hata wasomi hawaoni kinachoendelea kwenye siasa za nchi yetu? Inasikitisha sana!
 
Ukila na kipofu usimshike mkono...
Hii staili ya CDM ya kuwaacha "watawala uchwara" wajiendee wanavyopenda ni bora kuliko..!!
 
Mwanasheria uchwara katika ubora wake. Hivi wewe hujui kama uchaguzi hauko uhuru na wala si wa haki!? Unadhani ni kwanini Serikali dhalimu haitaki katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi?

Hoja zipi wewe ambazo huziamini? Wapi ungejua kwamba zero brain kachota trillions hazina bila idhini ya Bunge? Wapi ungejua kwamba ndege imeshikwa kutokana na deni la $38.7 million? Kama siyo kupitia Chadema?

Huku kukamatwa kamatwa kwa Wabunge wa Chadema na sasa kuwindwa maisha yao kwa mtutu wa bunduki.

Uanasheria wako unatia shaka kwa kuandika pumba bila kutilia hali halisi ya kisiasa nchini pamoja na hayo bado Chadema inaibua issues mbali mbali za kifisadi ndani ya Serikali hii dhalimu

Kama chama kikuu cha upinzani nchini, wapenda demokrasia tunawatetea na kuwategemea. Kama chama kikuu cha upinzani nchini,tunatarajia mjipange na kuwinda ushindi mwaka 2020. Lakini,mnazingua.

Kwasasa hamuainishi hoja mnazozisimamia kama ilivyokuwa wakati ule wa kupinga ufisadi. Kwasasa mmekuwa mkiibuka na hoja zinazotokana na yanayosemwa. Yaani,hoja za kudandia. Mnazingua.

Lengeni kuongeza Wabunge na Madiwani mwaka 2020 badala ya kukesha na vijembe twitter,youtube na facebook. Acheni kuyumbayumba na kudaka hoja zisizo na msingi. Mnazingua.

Jipambanueni kwa hoja. Jengeni chama chenu na kuwatumikia wananchi waliowaamini majimboni,katani,vijijini na vitongojini. Hakuna faida ya kubishana kila kukicha na vyombo vya dola na Serikali. Pigeni kimyakimya. Acheni kuzingua!
 
Tony antony: Kwa hiyo huyo baba unataka kutwambia hajui kwamba anakosea hadi aambiwe na mahakama? Hivi kuna mahakama TZ ya kumwambia huyu baba kwamba amekosea? Labda mahakama za wenzetu Kenya.
 
Petro, huwa nakushangaa sometimes! Wewe ni lawyer, inabidi uwe na wider vision kuliko sisi, utupanue! Platform ya kungelea iko wapi? Kila mmoja anakamatwa na polisi, kesi, rumende and the like! Nadhani ungeliongelea namna ya kupata uwanja wa kueleza sera ni upi katika mazingira ya sasa. Kinachofanywa sasa ni kutafuta wapi pa kuongelea. Chase the hyena first , then come to warn the hen about wandering into the forest!..... (chinua achebe) ...kitu kama hicho ingawa not that precise na context ya Chinua. Kama hyena anakula watoto wa kuku, lazima kazi kubwa ni kumfukuza hyena kabla ya kuanza sasa kuhubiri maendeleo ya kuwaokoa watoto. Let us discuss Learned Brother

Huyo jamaa Petro E. Mselewa SIO Lawyer, ,,labda bushlawyer tena ni mbeba mafaili tu,

humu labda anaefaa kujiita Lawler ni barafu , ,japo yeye ni zao la Wazee wa kaunda suti, l
 
Mwanasheria uchwara katika ubora wake. Hivi wewe hujui kama uchaguzi hauko uhuru na wala si wa haki!? Unadhani ni kwanini Serikali dhalimu haitaki katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi?

Hoja zipi wewe ambazo huziamini? Wapi ungejua kwamba zero brain kachota trillions hazina bila idhini ya Bunge? Wapi ungejua kwamba ndege imeshikwa kutokana na deni la $38.7 million? Kama siyo kupitia Chadema?

Huku kukamatwa kamatwa kwa Wabunge wa Chadema na sasa kuwindwa maisha yao kwa mtutu wa bunduki.

Uanasheria wako unatia shaka kwa kuandika pumba bila kutilia hali halisi ya kisiasa nchini pamoja na hayo bado Chadema inaibua issues mbali mbali za kifisadi ndani ya Serikali hii dhalimu
Sidhani kama anapata wateja huyu!
 
2015 ndo ilikuwa anguko rasmi la chadema, na mageuzi makubwa ya CCM. wakabadilishana kwa chama tawala kuanza kusimamia agenda ambazo zilikuwa zikiimbwa na vyama vya upinzani, na vyama vya upinzani vikazikana agenda zilzofikisha hapo vilipo. Watu huwa wanakataa lakini ukweli uliowazi demokrasia inayoliliwa na vyama hivi inapaswa kuanzia katika vyama vyao kwanza, laiti kama ubabe na mabavu yasingetumika ninaamini leo hii CUF ingekuwa imara, Chadema ingekuwa imara

CHADEMA ilipotea mwaka 2015 kwa sababu tunazozijua ni FACT.

Hata hivyo wafia CHADEMA hawaikubali hii FACT.
 
2015 ndo ilikuwa anguko rasmi la chadema, na mageuzi makubwa ya CCM. wakabadilishana kwa chama tawala kuanza kusimamia agenda ambazo zilikuwa zikiimbwa na vyama vya upinzani, na vyama vya upinzani vikazikana agenda zilzofikisha hapo vilipo. Watu huwa wanakataa lakini ukweli uliowazi demokrasia inayoliliwa na vyama hivi inapaswa kuanzia katika vyama vyao kwanza, laiti kama ubabe na mabavu yasingetumika ninaamini leo hii CUF ingekuwa imara, Chadema ingekuwa imara
KAMA 2015 ILIKUWA NDIO ANGUKO LAO, MBONA MNATAKA KUWAPUNGUZA KWA RISASI HUKU MKIWA MMEWAZUIA KUONGEA NA WANANCHI
 
aiseee.... huu uandishi tu mimi hoi. lugha hubadilika kuendana na muktadha kwa huku tulitegemea watu wenye kujielewa watumie lugha stahiki. sasa hayo maneno mengine unapoweka hata kama ulikuwa umepata sehemu point sasa unataka nawe upost inakuwa una haribu katika english tunaita diction. yaani choice of words. it is very important kuzingatia hilo katika uwasilishaji wa jambo lolote lile isipokuwa kama ume lenga watu wa aina yako..

eti ndio mwanasheria huyo,,,labda Lawler Wa walevi wa mnazi na gongo
 
Kwani mtu kuwa lawyer anapaswa aweje?

Anapaswa awe na mawazo na mitazamo kama yenu kwa asilimia 100?

Watu wa ajabu sana nyie.
 
Kama kuvaa T-shirt tu yenye jina la kiongozi wa chama cha upinzani unakamatwa itakuwaje kwa yule atakayepita mitaani kutangaza mkutano wa hadhara wa chama cha upinzani? Tuwalaumu kwa mengine na siyo hili. Halafu binafsi huwa najiuliza, je, ina maana hata wasomi kama Mselewa huwa wana mawazo kwamba upinzani upo kwa faida ya wapinzani wenyewe? mimi najua upinzani ni afya kwa Taifa zima. Hivyo kwa vile ni kwa faida yetu sote basi iwe ni wajibu wa sisi wote kulilia uwepo wa watu wenye mawazo mbadala (wapinzani)
 
Petro, utakosa wateja, nina mashaka na uwakili wako! Training yako etc...... take time to read and think before posting!
Wateja wa nini? Sema sitakuwa na marafiki walio tayari kusikia ukweli. Hatuna muda wa kupindisha mambo,CHADEMA inazingua
 
Back
Top Bottom