CHADEMA mnampuuza Mbowe!

CHADEMA mnampuuza Mbowe!

Kinacholelezwa ni rahisi mno kuelewa.
Acheni kupanga utek,aji na vitisho (Terrorism).
Elezeeni siasa na sera zenu mbadala, halafu wananchi wachague mchele na pumba..... Is that hard to understand???

Sasa wanaooanga huo utekaji na ugaidi si ni akina mwigulu na nape+ccm na kikwete! Sasa iweje nape alete unafiki hapa? In short nenda lumumba kachukue 7, 000 yako...
 
Kumbe wakati mwingine una adabu eeeh??leo nimeipenda hoja yako,cant wait to see your face after 2015 general elections pindi utapokuwa mpinzani rasmi,nahisi utakuwa ni mkosoaji mzuri sana,
Naskia sasa mnataka kuanza kuleta mabomba huku,well,mjiandae kabisa kuleta na jeshi maana vijani washaingia msituni mapema sana,labda wafe wao then ndio itoke,vinginevyo haitoki kweli...
 
Mkuu Ndibalema; Usishangae wakaja hapa jamvini na majibu ati uliwanukuu vibaya, hawakusema siku 90 bali miaka 90, na hiyo miezi 6 ya Mangula watakanusha na kusema ni miaka 6.
Mkuu master peace hayo unayosema ni kweli, nape amebebeshwa zigo ambalo wenzake waliotangulia walilishindwa...sasa kazi imemshinda amebaki kuwa vuvuzela, mropokaji na mtambo wa matusi....nadhani soon atamshinda lusinde na mchemba mwigulu
 
Katibu mwenezi amefanya homework yake kwa muda mrefu sana akifikiria namna ya kueneza chama chake.

Katika jitihada yake kubwa saaaaaaaaaana, amefanikiwa kupata hii hapa.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
 
Wewe nawe kituko, kutoka kwa watu kama Lissu wenye historia ya kifafa unategemea siasa? Haya majitu yaacheni hivyo hivyo ili vichaa nao wapate vyama vya kuongoza.

Ukishazoea kuserukambwa huwezi acha
 
Lini umeanza kuwakumbusha wapinzani kazi yao ? Je kwetu yote yapo sawa? Wale wakuvuliwa gamba washatoka?


Hana lolote ni mbinu tu za kutuondoa kwenye hoja ya msingi ya wauaji wa tembo wetu! Hapa hasau mtu.. yaani tembo wetu mnawamaliza hivihivi.... kwa vile bosi wenu tusiseme??
 
Mhe. Mbowe akiwa Mbeya alikiri wazi kuwa CHADEMA kwa miaka yote tangu kuanzishwa kwake kimekuwa ni chama cha HARAKATI... Lakini nilifurahi kusikia akiwaomba wenzake kuwa sasa ni wakati wa kukibadili Chama chao kutoka chama cha harakati na kuwa sasa chama cha SIASA.

Sasa ni karibu miezi mitano tangu atangaze na kuwasilisha ombi hili kwa wenzake lakini kwa masikitiko makubwa wenzake mmempuuza mwenyekiti wenu, badala ya kukibadilisha chama sasa mnakifanya cha harakati zaidi mpaka sasa mnapanga na kutekeleza kudhuru watu hasa wasiowaunga mkono.

Kumpuuza Mbowe kwenye wito wake huo ni kifo chenu na hivyo kuathirika kwa demokrasia nchini. Uwepo wenu umeleta joto zuri kwenye siasa na demokrasia nchini ukiachilia mbali vibweka vya baadhi ya viongozi wenu. Lakini nadhani sio tatizo la chama bali la viongozi wachache waliofanya CHADEMA kichaka cha kufichia rangi zao halisi.

MTAKAO CHANGIA PUNGUZENI MAPOVU NA MATUSI MJENGE HOJA.

nmesoma jina baada ya kumaliza kusoma upuuzi wako,nmeshtuka sana..
kama yule demu wako wa bongo muvi akiingia humu nakuona huu utumbo,atakuacha leoleo japo kua unamuhonga sana..
 
Mi ndg yako sitaki kubishana na wewe kaka yangu! Ila ninachoweza kukuthibitishia ndg NAPE subiri daftari la wapiga kura liboreshwe! Hapo ndo mutakavyo kuja kuamini kuwa wale watu zaidi ya millioni 20 walioshindwa kujitokeza mwaka 2010 kwenye uchaguzi mkuu! Bado wapo ndio watakao kuja kuimaliza CCM kwenye sanduku la kura.Amini usiamini lkn naomba ujue lile kundi miongoni mwao na wengi wao ndo walikuwa wapiga kura wa CCM kipindi cha nyuma kabla ya 2010,"USINIULIZE KWA NINI 2010 WAMESUSA KUPIGA KURA" kwani hiyo kazi ya kujua sababu ilibidi uifanyie utafiti wewe kukisaidia chama chako ila bahati mbaya kwa CCM! ndg NAPE umejikita kuifanyia utafiti CDM labda kwa kujua au kutojua lkn kikubwa nawashauri CDM kama waungwana wakuandalie tuzo kwani juhudi zako za kukijenga CDM tunaziona.Kwa lugha fasaha na rahisi ni kwamba lile kundi la watu zaidi ya millioni 20 bado lipo ila kilichokatokea ni kuwa mwishoni kuelekea kwenye uchaguzi wa 2010 baada ya kugundua limesalitiwa na kukosa imani na CCM na kibaya zaidi kukosa imani na tume ya uchaguzi lilianza safari ya ukombozi rasmi! Kwa kuwa walijua safari ya ukombozi ni ndefu na ngumu hawakuona sababu ya kujitokeza mwaka 2010 na badala yake wakajikita ktk kuandaa mazingira na mikakati mipana zaidi ya jamii kubwa ya watz kushiriki ktk ukombozi toka kwa mkoloni mweusi! Walifanya hivi baada ya kugundua maovu mengi ndani ya chama walichokikipenda lkn pia baada ya kugundua ni vigumu kukiondoa madarakani kwa KURA kwa wakati ule kwa kuitegemea tume hii ya uchaguzi.Hivyo kwa kipindi chote hiki kuelekea 2014-2015 wamejipanga kimkakati na kujiridhisha akichakachuliwi kitu na huu ni muda muafaka kwa ukombozi kwani jamii tayari wameshaiandaa kuyapokea mabadiliko.NB.Majibu mutaanza kuyapata jinsi watu watakavyoenda kupigania kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na foreni zinavyotaka kuwa ndefu utafikiri ndo siku ya kupiga kura yenyewe,Na uchaguzi huu mutegemee watu watjitokeza kwa wingi kutimiza hasira zao juu ya CCM.Kama hutaki sikurazimishi tukutane 2015 ila nawashuri mujiandae kisaikolojia kukabidhi nchi kistaarabu na amani kwa yeyote atakayeshinda.HIYO NDO NGUVU YA LILE KUNDI LA WATU ZAIDI YA MILLIONI 20 WASIOPIGA KULA 2010 AMBALO LINAKUJA KUPIGA KULA 2015.
 
Nape Nnauye, Kumbuka kuropoka kwenu kwa kutaka kura na kuwateka wanchi ndo Mmesababisha taifa letu liwe Mpasuko wa kidini.Ni nyie wenyewe mliasisi hoja ya udini na Ukabila.Sasa leo hii tena Unaropoka eti CDM wamebaki kupanga njama za Kudhuru na kuteka watu. Hivi ww huoni kama Kauli kama hizo zimeliingiza taifa jehanamu kisa hoja yenu mliyotumu CUF ni Chama cha Kiislamu? Baadae eti CDM ni chama cha wakristo. Natambua vyema kwa sasa Nape hauko sawa Kiasaikolojia hasa unapoona Unazunguka ana jangili wa Meno ya Tembo,Ukienda Wizara ya Elimu imeoza mpaka inataka kupika upya matokeo.Ukizunguka kidogo unakumbuka hoja ya kujivua Gamba ilikushinda.Hivyo ni lazima uchanganikiwe. Pole sana ila Ni Uzembe na ukosefu wa Weledi kwa viongozi wako kushindwa kutekeleza Sera ya Maisha bora kwa kila Mtanzania. Presha inapanda na Kushuka. Juzi Jerry Slaa ametoka kuwarubuni Vijana wa Moshi wakiwa Leopard Hotel lkn hakuambulia chochote mbali na kuliwa hela tu. Poleni sana Magamba.
 
badala ya kukibadilisha chama sasa mnakifanya cha harakati zaidi mpaka sasa mnapanga na kutekeleza kudhuru watu hasa wasiowaunga mkono.

Mmmmmh kumbe waswahili ni wakweli waliposema, "KENGE HASIKII MPAKA UMPIGE ATOKWE NA DAMU MASIKIONI.. Jana umesikika igunga ukieneza udini na ukabila, na sasa hapa unaendeleza hoja ya UGAIDI?" HIVI KATI YA CCM au CDM nani anahusika ARUSHA?
 
Mhe. Mbowe akiwa Mbeya alikiri wazi kuwa CHADEMA kwa miaka yote tangu kuanzishwa kwake kimekuwa ni chama cha HARAKATI... Lakini nilifurahi kusikia akiwaomba wenzake kuwa sasa ni wakati wa kukibadili Chama chao kutoka chama cha harakati na kuwa sasa chama cha SIASA.

Sasa ni karibu miezi mitano tangu atangaze na kuwasilisha ombi hili kwa wenzake lakini kwa masikitiko makubwa wenzake mmempuuza mwenyekiti wenu, badala ya kukibadilisha chama sasa mnakifanya cha harakati zaidi mpaka sasa mnapanga na kutekeleza kudhuru watu hasa wasiowaunga mkono.

Kumpuuza Mbowe kwenye wito wake huo ni kifo chenu na hivyo kuathirika kwa demokrasia nchini. Uwepo wenu umeleta joto zuri kwenye siasa na demokrasia nchini ukiachilia mbali vibweka vya baadhi ya viongozi wenu. Lakini nadhani sio tatizo la chama bali la viongozi wachache waliofanya CHADEMA kichaka cha kufichia rangi zao halisi.

MTAKAO CHANGIA PUNGUZENI MAPOVU NA MATUSI MJENGE HOJA.

Asante kwa kuendelea kuwa msemaji wa CHADEMA....sina mengi zaidi ila naomba ufikishe salamu zangu kwa dada Vicky Kamata.
 
-Una audacity ipi ya kutoa ushauri kwa CHADEMA wewe?

-Kama CHADEMA kitaathirika kwa namna yoyote kwa mujibu wa mtazamo ulioueleza si ndiyo utafurahi zaidi?Next time ukiandika hapa uwe unafanya hivyo kama msomi.

-Political state ya CHADEMA kama chama cha siasa unaweza vipi kuitofautisha na political activism?Unaweza vipi kui-distinguish kwa kutumia ITIKADI ya chama hiki?

-Next time usiwe unatutia aibu vijana wenzako kwa kuandika andika tu ilimradi uonekane active.

-Hizo siasa za kudhuru watu ni zipi.Ni jambo la ajabu kabisa badala ya kunadi itikadi na sera za chama chako wewe unanadi udaku na majungu.Ndiyo siasa mpya zilizoletwa na vijana huko kwenye chama chako?Usiharibu Taswira ya vijana wa taifa hili kwa uzembe na udhaifu unaouonyesha katika kuitumikia dhamana uliyopewa na chama chako

-Umeachana na mradi wa kuzunguka kumtukana yule waziri mkuu aliyejiuzulu sasa unajaribu kutafuta umaarufu wa bei rahisi kupitia CHADEMA.Najua mfumo wa majimbo ni kitanzi kwenu,mna kazi ngumu sana sana.Get prepared!
mkuu huwa nakuheshimu sana ila hapa taratibu heshima inashuka kwa kumjibu nape mchumia tumbo asiyejua hatima yake baada ya uongozi wa jk CCM inalea vibaya sana watu wake ni wategemea vyeo tu ili waishi hebu angalia watu kama akina masilingi walichoka hoi uteuzi wa juzi umewanusuru unapoteza heshima yako kumjibu nape mwache abwate ccm ikishindwa atahamia kwenye utamu ndo siasa zetu maskini
 
Wewe ni kichaadd wa ufikiri...., watu kudhuriwa ni suala la usalama, usalama wa raia una Mamlaka zake km eti kwa kuikataa CHADEMA watu wanadhurika tuziulize Mamlaka hizo Je Amani imepotea pindi tu uwepo wa CHADEMA ilipowepo? Mamlaka hizi ni za serikali na CHADEMA ilisajiliwa na Mamlaka za lise
 
Kilaza nape nauye, anawaza kwa kutumia masaburi..hana akili hata kidogo..ni janga la taifa!
 
Desperate attention Seeker.Leo utakua overjubilant nimekupa attention na kujibu post yako.Grow up brother! Umri unasogea sana na hizi siasa unazofanya zimepitwa na wakati kwa kasi.Simply,Grow up!
It doesnt matter how hard utajaribu kuandika, wengi wetu tunakuona muuaji na mnafiki. kila ninapofikiria kitendo chako kukutwa na sumu na mbaya zaidi kutaka kumuua our hero, nakuona takataka.
 
Hivi kuna kitu kinafanyika bila yeye kujua?
Kama kweli kuna ugaidi yeye ndo atakuwa mchoraji #1
 
-Una audacity ipi ya kutoa ushauri kwa CHADEMA wewe?

-Kama CHADEMA kitaathirika kwa namna yoyote kwa mujibu wa mtazamo ulioueleza si ndiyo utafurahi zaidi?Next time ukiandika hapa uwe unafanya hivyo kama msomi.

-Political state ya CHADEMA kama chama cha siasa unaweza vipi kuitofautisha na political activism?Unaweza vipi kui-distinguish kwa kutumia ITIKADI ya chama hiki?

-Next time usiwe unatutia aibu vijana wenzako kwa kuandika andika tu ilimradi uonekane active.

-Hizo siasa za kudhuru watu ni zipi.Ni jambo la ajabu kabisa badala ya kunadi itikadi na sera za chama chako wewe unanadi udaku na majungu.Ndiyo siasa mpya zilizoletwa na vijana huko kwenye chama chako?Usiharibu Taswira ya vijana wa taifa hili kwa uzembe na udhaifu unaouonyesha katika kuitumikia dhamana uliyopewa na chama chako

-Umeachana na mradi wa kuzunguka kumtukana yule waziri mkuu aliyejiuzulu sasa unajaribu kutafuta umaarufu wa bei rahisi kupitia CHADEMA.Najua mfumo wa majimbo ni kitanzi kwenu,mna kazi ngumu sana sana.Get prepared!

MTAKAO CHANGIA PUNGUZENI MAPOVU NA MATUSI MJENGE HOJA. - Nape
 
Sasa wanaooanga huo utekaji na ugaidi si ni akina mwigulu na nape+ccm na kikwete! Sasa iweje nape alete unafiki hapa? In short nenda lumumba kachukue 7, 000 yako...
Huwa natembea mfukoni kila siku ya mungu na hiyo 7,000 mara 1000.... guarantee!!
Haipungui.
 
Back
Top Bottom