Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
Kada mwenzangu ZeMarcopolo,naona leo ni maneno haya haya tu threads zote.Kulikoni?
hayo ndo yamevuta hisia za wanachadema wengi. haya mengine ni porojo tu
Kada mwenzangu ZeMarcopolo,naona leo ni maneno haya haya tu threads zote.Kulikoni?
VUTA-NKUVUTE Mzee Tupa Tupa wa Lumumba,
Kuna suala moja linaniumiza kichwa ambalo ni CCM watafurahi kuona CHADEMA inakufa, lakini Watanzania watafaidika nini kwenye Mfumo wa siasa wa vyama vingi ambako chama kimoja ndio kinaishi?
CCM ni yangu, yako, ya yule, yetu na ya kila mmoja wetu. Ndo maana Dr Slaa anayo kadi ya CCM hadi hii leoNadhani wamekusikia mzee wetu.ila ulipokosea ni uliposema "CCM yetu"mimi nadhan ungexema "CCM yangu".hatuhtj CCM ifanye vizuri.mda wbke umekwisha,it should go now!kwa ujumla wake ni vema wanaCHADEMA tukafuata ushauri huu.tusikubali kuwapopularize hawa magamba kwa Kuunga mkono thread zao nying za kuiatack CHADEMA
kaka umeongea kitu cha busara sana.
Siyo lazima chama cha upinzani kiitwe CHADEMA, chochote kinaweza kuwa chama cha upinzani ili mradi tu hakina viongozi wapenda madaraka, madikteta, wafuja mali za chama, wanaorusha ngumi pale wanapoambiwa ukweli.
hii post ni mara ya tatu una paste ninauhakika kama kitendo hiki kingefanywa na mtu wa chadema angeshakula ban maana jana tu imetokea ama kweli moderator yuko mifukoni mwaccm..
hii post ni mara ya tatu una paste ninauhakika kama kitendo hiki kingefanywa na mtu wa chadema angeshakula ban maana jana tu imetokea ama kweli moderator yuko mifukoni mwaccm..
Wewe pia utakua mmoja kati ya hao walionunuliwa ipads... Kazana kupost wakuone vinginevyo utanyang'anywa ubakie na kile kitochi chakoSiyo lazima chama cha upinzani kiitwe CHADEMA, chochote kinaweza kuwa chama cha upinzani ili mradi tu hakina viongozi wapenda madaraka, madikteta, wafuja mali za chama, wanaorusha ngumi pale wanapoambiwa ukweli.
Ushauri wangu jana niliutoa hapa na nitamwaandikia Chadema uongozi wajue .Maneno na msimamo wangu ni mmoja kwamba hakuna Uchaguzi ndani ya Chadema hadi baada ya Uchaguzi mkuu 2015.Mbowe na Slaa na timu yenu yote mtuvushe salama kwanza .
Jana mlipotea nyie. Leo mnakuja kwa kujikongoja. Huo ndo mwanzo tu, mwisho wa siku mtakimbiana hapo Kinondoni
Wanayumbishwa na mambo madogo,kumbe mengine ni kuyaachia kama yaliyo,Zito ni mbaya sana kwa sababu ni kiongozi anayetaka kudhoofisha chama,Mungu bariki Chadema
Nasema: CHADEMA tunadhani adui yetu ni CCM hapana ni Watendaji wetu katika chama(SLAA na MBOWE), tukawabane hao waache udikteta, waweke wazi taarifa za fedha, wakasimu shughuli zisizo wahusu kwa wenye madaraka hayo na warudishe kwenye Katiba kile kipengele cha ukomo wa uongozi wa ngazi ya juu ndani ya Chama.
Haya ndiyo maneno yatakayokimaliza CHADEMA, ZITTO na wenzake wanajua uchungu walio nao juu ya matumizi mabaya ya madaraka ndani ya chama, wapambe mnawavimbisha kichwa SLAA na MBOWE kuwa ZITTO anatumiwa na CCM, hakika hili linawafanya akina ZITTO kuwa na hasira sana kwa vile wanaujua ukweli kulikoni ambavyo wanachama wa kawaida wanavyojua.
Mzee tupatupa hapo umeeleweka, hasama hizi zilianza toka uchaguzi uliopita zimekuwa za chini chini sasa zimeanza kukua taratibu, kisa ni kundi moja dogo kuhisi linanyanyaswa!.
Sasa hebu tuweke sawa na hawa viongozi wa CDM waandamizi wanaolalamika kupitia vyomba vya habari kwamba wanaonewa badala ya kuripoti malalamiko yao kwenye vikao rasmi vya chama - je chama kiwachukulie hatua gani zinazofaa bila kuacha majeruhi?