yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
CCM ni yangu, yako, ya yule, yetu na ya kila mmoja wetu. Ndo maana Dr Slaa anayo kadi ya CCM hadi hii leo
siwezi kuwa kwenye chama cha wauza sembe ni tahira tu ndiyo anaweza kuwa kwenye chama hicho.