CHADEMA mmekuwaje tena???

CHADEMA mmekuwaje tena???

Ni mapambano baina Chadema Kanda ya Ziwa Vs Chadema Moshi-Arusha.
 
Kule Mbeya, SUGU kawaambukiza timu ya MBEYA CITY , kila mechi wanazichapa.

kila nikimuona sugu najisikia kucheka nakumbuka alivyowaajabu tangu akiwa shule ya msingi hadi leo eti ndiye mbunge kweli ni majanga.
 
Asante sana Mzee Tupatupa. lakini hujawahi kutabiria kuchukua dola ya nchi, badala yake unatusifia kuwa wapinzani imara tu

ili mkachapane Makonde ikulu? hakuna mtanzania wa kuwapeleka watu kama hao IKULU.
 
hayo maandalizi zitto anayafanya wapi? yeye yupo na maccm full time...ZITTO NI KIZAZI COPY NA LOWASA kasoro makabila tuu wenzao wanafanya hili wao ni unafiki na kujitenga kujisifu...zitto ni pandikizi hata kama sio pandikizi basi anaendeshwa na maazimio yake binafsi ya kuwa kiongozi na sio ya wanachama....sisi wanachama na mashbiki wa cdm hatumtaki..... huyu ni mnafiki au tumwambie ben saa nane alete tena proof hapa ubaoni...mnafiki huyu kwanza anawapiga majungu viongozi wake na kuongea kauli tata ila wenye akili wANAJUA ANACHOMAANISHA...MBWA HUYU HATUMTAKI
Usimsingizie ZITTO, anajua kabisa Katiba haimruhusu kuwa rais, lengo ni kuunda safu ya uongozi ndani ya CHADEMA itakayoweza mikiki mikiki ya CCM 2015 baada ya kuona viongozi waliopo kuonekana kuingiwa na pepo la uchu wa madaraka, ufujaji wa mali za chama na kusahau kazi ya maandalizi ya 2015.[/QUOTE]
 
Mambo hadharani hakuna chama hapo ila ni genge la wajanja wachache waliojiunga na kuanzisha kikundi chao.kwa mwendo huo mlio nao hamtoweza kamwe kuingia magogoni.

mnajifanya mnapigania democracy kumbe mnapigania matumbo yenu,Big up ZITO ZUBERI KABWE MWANA MWANDIGA umeamua kujiweka pembeni na siasa za maji mataka.:smile-big:wana uana wenyewe kwa wenyewe.

Join Date : 25th October 2013

Posts : 3
Rep Power : 0
Likes Received1
Likes Given
0


Huyu hapa msukule mwingine ambaye ameajiriwa juzi. Mzee Tupatupa hukukosea uliposema:-

" "CHADEMA niwaambie, kuna watu hapa Lumumba na Ofisi nyingine wamenunuliwa 'Ipads' na 'Iphones' kupambana nanyi mtandaoni. Hasa hapa JF. Watawalia muda wenu na kuwasimamisha. Mkichelewa kuchukua hatua,mipango yenu mingi itakwama.Mtadhoofu.Wapenda demokrasia kama mimi tutabaki na huzuni kuu.Tunahitaji upinzani bora nchini ili CCM yetu ifanye bora zaidi.Tunahitaji CCM yetu ibanwe ili itoe matunda vutizi."
 
Sijui ni nini kimewapata CDM,mbona mliweza kushinda mambo mengi kirahisi lkn hili kama linawasimamisha vile.....tunahitaji uimara wenu,maneno ya Mwigamba hayafanyi tukavaa kofia za kijani.
 
Hizi story zako unazozileta za kuwachonganisha wanasiasa, serikali na baadhi ya wanaJF kama alivyokuwa analeta Jason Bourne a.k.a Yericko Nyerere kuna siku utaivuka mipaka ya huruma za MOD's na kupigwa lungu la kisheria za JF kama ilivyotokea kwa Yericko Nyerere

Hakuna kitu kibaya katika siasa na kwa jamii kwa ujumla kama kuleta habari za kutunga kuwachonganisha wanaJF, wanasiasa na serikali kwa manufaa yako mafupi ya kisiasa.

Endelea kuwaaminisha habari zako za kutunga wasio na fikra pana hapa Jf lakini tunakufahamu sana.

Mchawi wa CHADEMA ni ulaghai wao. Kuanza kuogopa kivuli cha ulaghai na kuanza kuilalamikia CCM kama vile ndiyo chanzo cha kubadirisha vipengele vya katiba ya CHADEMA ni kupofuka na kuukimbia ukweli.

Siku za mlaghai ni arobaini. Kwa sasa siku arobaini za ulaghai wa kunyofoa kipengele cha ukomo wa uongozi zimetimia.

By the way. Acha kudanganya wanaJf, hujawahi kuwa mwanaCCM achilia mbali kufanya kazi CCM Ofisi Ndogo Makao Makuu.

Ni aibu sana kwa kijana kama wewe kwenda kinyume na misingi ya fani yako. Ni vizuri ungejikita kwenye fani yako ya sheria ambayo watanzania wanahitaji katika kusukuma mbele maendeleo ya nchi.

Wasalimie watu wa Pwani.
 
Kwanza nashukuru kwa changamoto mnayotoa kwa Cdm kwani 2015 wanachukua nchi, hii itawasaidia kuwa imara na kujua kwamba kuongoza si lelemama kama wanavyodhani. Hii pia itawasaidia kurekebisha yale mapungufu yao na kuwa kwenye hali nzuri zaidi kwa uongozi.
 
Ni watu wavivu wa kufikiri tu ndio.wanao dhani chadema itayumba kwa hoja za mwigamba,kamwe sitoacha kuipenda chadema hata ibaki na mwanachama mmoja nitasimama ktk chadema....
 
Kwanza andikeni katiba inayotokana na wanachama, sio katiba ya kukidhi mahitaji ya Mtei.

Mtei alimuandaa binti yake Lilian kuwa Mwenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe. Binti huyo alipokataa ikabidi Mtei aagize kipengele cha kuweka ukomo wa mihula ya uongozi kiondolewe ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Post of the day!
 
Kwanza nashukuru kwa changamoto mnayotoa kwa Cdm kwani 2015 wanachukua nchi, hii itawasaidia kuwa imara na kujua kwamba kuongoza si lelemama kama wanavyodhani. Hii pia itawasaidia kurekebisha yale mapungufu yao na kuwa kwenye hali nzuri zaidi kwa uongozi.
Labda kama kuna nchi inaitwa KILIMANJARO hiyo wataichukua, sio TANZANIA!
 
Sijui ni nini kimewapata CDM,mbona mliweza kushinda mambo mengi kirahisi lkn hili kama linawasimamisha vile.....tunahitaji uimara wenu,maneno ya Mwigamba hayafanyi tukavaa kofia za kijani.

Mkuu ubaguzi ni dhambi mbaya sana! hawa Jamaa kinachowaponza ni ubaguzi wa kupindukia, Mfano LEMA, alitoka TLP na kujiunga na CHADEMA mwaka 2009 kuelekea uchaguzi wa 2010. ana miaka michache sana Chamani, lakini anaabudiwa kama mungu mtu, kisa ana uhusiano wa karibu na Mwenyekiti Mbowe. Kafanya "MASOO" kibao hapo CHADEMA ikiwemo kudhulumu hela za harambee ya M4C zilizotumwa kwenye simu yake ya mkononi kupitia MPESA. Lakini bado anadunda
 
Nasema: CHADEMA tunadhani adui yetu ni CCM hapana ni Watendaji wetu katika chama(SLAA na MBOWE), tukawabane hao waache udikteta, waweke wazi taarifa za fedha, wakasimu shughuli zisizo wahusu kwa wenye madaraka hayo na warudishe kwenye Katiba kile kipengele cha ukomo wa uongozi wa ngazi ya juu ndani ya Chama.

Na Lema. Huyu ni adui namba moja wa Chadema Hapa Arusha.
 
Mkuu, suala la Katiba ni jambo la msingi katika chama kuliko jambo jingine lile. Mkiacha katiba yenu ichakachuliwe na hawa wenye tamaa ya madaraka mwisho wa siku mtajikuta mnachakachuliwa hadi haki zenu

Dole atiwe Pili miguno utoe wewe...
 
Back
Top Bottom