Na Lema. Huyu ni adui namba moja wa Chadema Hapa Arusha.
Mkuu MSALANI
Ni lini umeapatiwa ajira ya kuwa msemaji wa wana CHADEMA Arusha???
hasan kazukamwe mtot wa kigoma na zito wake sijui mnaendesha siasa za namna gani, full ukabila na ukanda, alf ww operation kimbunga inahitaji ikukumbe urudi kwenu burundikwenye asili y akwenuMambo hadharani hakuna chama hapo ila ni genge la wajanja wachache waliojiunga na kuanzisha kikundi chao.kwa mwendo huo mlio nao hamtoweza kamwe kuingia magogoni.
mnajifanya mnapigania democracy kumbe mnapigania matumbo yenu,Big up ZITO ZUBERI KABWE MWANA MWANDIGA umeamua kujiweka pembeni na siasa za maji mataka.:smile-big:wana uana wenyewe kwa wenyewe.
Ni mapambano baina Chadema Kanda ya Ziwa Vs Chadema Moshi-Arusha.
Mkuu MSALANI
Ni lini umeapatiwa ajira ya kuwa msemaji wa wana CHADEMA Arusha???
Na wewe ukileta ngebe utazimwa kama walivyozimwa hawa wa kanda ya ziwa akina Amani Kabouru, Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, Samson Mwigamba, John Shibuda, Mkosamali, Shitalamba, Kafulila nk. Salama yako ni kuendelea kuwa Msukule.unaongelea kanda ya ziwa ipi? ziwa magharibi au z.victoria? kama ni z.victoria huku cdm inatisha na inaukubali uongozi uliopo.acha kuandika bila kutafiti,yaani upo nyuma ya keyboard daresalama halafu unaongelea kanda ya ziwa! wewe kweli juha.
9-0 DarKumbuka 4:0 ARUSHA
Tatzo wengne hawaelewi. Kazi kumponda zitto tu kisa anasifiwa na maccm.kwani yeye aliomba asifiwe? Siku tundu lissu akisifiwa na maccm naye mtasema anatumiwa? Tunachonganishwa nasisi tunakubali.
Sasa mnayumba;mnapoteza mwelekeo. Nyinyi tunawategemea kama wapinzani wakuu Tanzania. Wabunge wenu 49 Bungeni Dodoma wanafanya kazi inayotukuka na kukonga nyoyo za watanzania wengi.Wabunge wenu ni watetezi,wajenzi wa hoja,waibua mijadala ya kujenga Taifa,walinda maslahi ya nchi,hawayumbishwi haraka na sifa nyinginezo wazistahilizo viongozi wa kupigiwa mfano. Lakini chamani ni tofauti.
Iweje myumbishwe na masuala madogo madogo ya kisiasa kirahisi namna hiyo? Kweli nawaambia, mtatingishwa na wapinzani wenu kirahisi msipojirekebisha. Kiukweli, mmepambana vya kutosha. Kuanzia kuitwa chama cha kikabila,kikanda,kidini na kigaidi. Mapambano hayo mkayashinda. Sasa wanatumiwa watu kufitisha viongozi chamani. Wanatumiwa akina Zitto,Shibuda na sasa Samson Mwigamba. Hawa wanatumiwa tu.Wanachorwa kwenu kama wasaliti na waropokaji. Nanyi mnaelekea kuamini. Mtasambaratika kiuongozi.
Kwa Zitto ilitosha kauli yake kuwa 'anachonganishwa na viongozi wake na aachwe afanye siasa'. Kwa Shibuda inatosha kunyamaa kama mfanyavyo. Kwa Mwigamba, yatosha kusimamia tamko lenu la kichama la Kanda ya Kaskazini na taratibu nyingine kufuata. Milango hii hatari kwenu ifungwe haraka. Laasivyo, itaingiza maadui na uadui.
Sasa mnashupaliwa kuhusu Katiba ya chama. Itoshe kusema kuwa mtanzania yeyote mwenye ushahidi wa ubatili wa Katiba ya CHADEMA aende na nyaraka zake kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuilalamikia.Msajili atafuata sheria.Atashughulikia suala hilo haraka na hadi mwisho wake.Jaji Mutungi anamsubiri mtanzania huyo!
CHADEMA niwaambie, kuna watu hapa Lumumba na Ofisi nyingine wamenunuliwa 'Ipads' na 'Iphones' kupambana nanyi mtandaoni. Hasa hapa JF. Watawalia muda wenu na kuwasimamisha. Mkichelewa kuchukua hatua,mipango yenu mingi itakwama.Mtadhoofu.Wapenda demokrasia kama mimi tutabaki na huzuni kuu.Tunahitaji upinzani bora nchini ili CCM yetu ifanye bora zaidi.Tunahitaji CCM yetu ibanwe ili itoe matunda vutizi.
Kwa kifupi, CHADEMA hamna haja ya kuchonganishwa kila kukicha. Please, do not expose your weak points easily. Wanaotajwa watajwe;wanayosema yaripotiwe;anayelalama alalame lakini CHADEMA songeni mbele mjenge demokrasia. Tunatarajia mechi kali ya kisiasa hapo 2014 na 2015. CHADEMA beware!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kumekuwa na misigano mingi inayoendelea katika mitandao ya kijamii hususan katika masuala ya posho na mashambulizi baina ya mtu na mtu mfano ni Zitto na Lema sasa, kinachonisikitisha ni kuona viongozi wa juu wamekaa kimya hawalioni hili dk wewe ni mtendaji wa chama hawa wapo chini yako jitokeze utuambie kama huu ndiyo mfumo mpya wa chama uliochaguliwa na kupitishwa na kwanini kama si mfumo rasmi haikemewi