Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Mahakama gani hizo ?!. Kuna kesi ngapi za kikatiba hazijasikilizwa wala kupangiwa hata majaji !!!Mh! Mnakana kauli za viongozi wenu wanafiki na waongo. WaTz hawatadanganyika tena.
Viongozi wenu watabaki wa kulialia mitandaoni na kwenye vyombo vya habari. Kama wana agenda ya msingi ya kudhurumiwa mahala sahihi pa kupata haki ni mahakamani siyo kwenye majukwaa.
Mahakama hizi mnamkataa hakimu halafu anang'ang'ania kwa nguvu ?!!