Chadema mlijifanya washabiki wa Trump,lakini sasa mbona kimya?

commonmwananchi

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,377
1,952
Salaam JF,
Kama kawaida yangu narudia, historia ni somo zuri kwa sababu halidanganyi.

Wakati wamarekani wanafanya uchaguzi wao, kulikuwa na kaushabiki kakubwa hapa nchini hasa wana chadema wakimfananisha Donald Trump na aliyekuwa mgombea wao wa urais nchini 2015,mzee Edward lowassa.
Na pale Trump aliposhinda uchaguzi ule wana chadema kwa idadi kubwa walikuwa wakijifariji kwa kauli hii "MZEE KAWAGALAGAZA"
wakimaanisha mzee Trump, binafsi sikuwaelewa ni kwa nini hasa walipatwa na mihemuko ile, na hata Trump alivyoanza kuporomosha matusi kwa nchi MBALIMBALI duniani zikiwemo kauli zile za kuiita Africa shithole countries. Pia ni chadema hao hao wabaoitumia kauli hiyo hata kwenye thread nyingi humu ndani ya JF.
Yaani hasa wale wachangiaji wa mistari miwili miwili kutokea kule arusha ndio kabsaa.

Sasa miaka imeenda kidogo, trump anefanya ya kwake nchini kwake.

Dunia imenuelewa trump, lakini pia wamarekani wanemuelewa rais wao na mbinu aliyoitumia kuingia ikulu nayo imefichuka.

Idadi kubwa ya viongozi wenzake duniani nao ni kama hawamuelewi pia.
Ni jana tumemuona waziri wa ulinzi akitangaza kujiuzuru kwa kutofautiana sera na rais trump kwa uamuzi wa kuitoa marekani kijeshi katika syria na Afghanistan, nchi ambazo imeshiriki kuzivuruga kidemokrasia yao na kwa mauaji ya raia wasio na hatia , huyu Gen mattins anakuwa kiongozi mkuu mwandamizi wa tatu kuachia ngazi kutokana na kutoelewana na trump!.
Hayo yakijiri hata rais puttin wa urusi pia jana alitoa kauli ya kumshangaa trump na sera ya kujitoa kwenye ushirika wa udhibiti wa nyuklia duniani.
Puttin alitamka hayo katika hotuba yake kwa taifa kwa kila mwisho wa mwaka.

Sasa nawauliza wana chadema, mnapolia lia hapa nyumbani kuhusu demokrasia.
Je bado mko na Trump au la?

Kama mko na Trump je mna maoni gani na anachokifanya Donald trump huko marekani ikiwemo na hiyo racism yake dhidi ya black americans wanaopigwa risasi na polisi mitaani huko US!
Leteni hoja sio matusi. Ahsanteni na karibuni.
 
Hivi kwanini mtaa huo uliitwa jina la mwanaharakati maarufu Africa?Sio kwa upuuzi wa kiwango hiki!
 
..mbona hilo ni jambo la kawaida ktk siasa.

..siyo ajabu mgombea Uraisi kupoteza wafuasi wake, na hata kupata wafuasi wapya, mara anapoingia ktk uongozi.

..hali hiyo husababishwa na wagombea hao kubadili misimamo yao mara wanapoingia madarakani.

..kwa mfano, Trump aliahidi kujenga ukuta mpakani mwa Marekani na Mexico ana akawahakikishia wafuasi wake kwamba Mexico ndiyo itakayobeba gharama za ujenzi wa ukuta huo. Sasa hivi Trump amebadili kauli anataka walipa kodi wa Marekani wagharimie ujenzi wa ukuta. Matokeo yake ameanza kupingwa na wanachama wenzake wa Republican na wafuasi wake wakati wa kampeni.
 
Hebu igeuze hi stori yako iwe kwa hapa kwetu tz unaona tofauti gani??? Tumesahau tulisema JPM anafata nyayo za Trump humu humu kwamba hapangiwi na Ana misimamo au tumesahau???

Marekani hawekewi vikwazo ila anasemwa Mana anajiweza unadhani sisi kinatupata Ni kipi??

Viongozi waandamizi wanajiuzulu kulinda heshima yao hapa kwetu vip mpaka wakaitwa wapumbavu ila wamekomaa tu au unadhani wanafurahi system iliyopo??

Unadhani Prime minister kutafuta wateja wa zao Fulani na bado akaaibika mbele ya hadhira ingekua MAREKANI Nini kingetokea???

Nakuuliza mtoa mada ukipata majibu ya haya omba mods wakupige BAN mwenyewe ....
 
Chadema hawana akili mgando kama nyie miccm, kuna tofauti kubwa sana ya kifikra kati ya vijana wa Chadema na miccm, haimaanishi mtu akifanya vizuri ama jambo jema asipongezwe, kadhalika anapo kwenda kinyume na matarajio ya wengi huyo mtu atapingwa kwa kutotenda sawa hata kama aliungwa mkono na walio wengi.

Tatizo la miccm hawana uwezo wa kuhoji na kupambanua mambo kwa kina.
Mamlaka haimpi mtu uwezo wa kifikra zaidi ya wengine, huwezi kuwa na maamuzi yako binafsi upatapo nafasi ya kuongoza watu zaidi 55m, busara ni kusikiliza na kushirikisha unaowaongoza katika maswala yawahusuyo.
 
Kwaiyo una tushauri tuwe mashabiki WA diamond Kama spiker wenu
IMG-20181220-WA0049.jpeg
 
..mbona hilo ni jambo la kawaida ktk siasa.

..siyo ajabu mgombea Uraisi kupoteza wafuasi wake, na hata kupata wafuasi wapya, mara anapoingia ktk uongozi.

..hali hiyo husababishwa na wagombea hao kubadili misimamo yao mara wanapoingia madarakani.

..kwa mfano, Trump aliahidi kujenga ukuta mpakani mwa Marekani na Mexico ana akawahakikishia wafuasi wake kwamba Mexico ndiyo itakayobeba gharama za ujenzi wa ukuta huo. Sasa hivi Trump amebadili kauli anataka walipa kodi wa Marekani wagharimie ujenzi wa ukuta. Matokeo yake ameanza kupingwa na wanachama wenzake wa Republican na wafuasi wake wakati wa kampeni.
Na ana ugomvi na press media zoote marekani anasema ni fake, ndio maana ana tweet zaidi,amewamwagia wakimbizi kutoka venezuela maji ya kuwasha na mabomu ya machozi.
Amekosana karibu na marafiki zake muhimu katika kampeni za kumuweka madarakani.

Hasumbuliwi na mauaji ya wamarekani weusi wanaouwawa na polisi mitaani.
 
Salaam JF,
Kama kawaida yangu narudia, historia ni somo zuri kwa sababu halidanganyi.

Wakati wamarekani wanafanya uchaguzi wao, kulikuwa na kaushabiki kakubwa hapa nchini hasa wana chadema wakimfananisha Donald Trump na aliyekuwa mgombea wao wa urais nchini 2015,mzee Edward lowassa.
Na pale Trump aliposhinda uchaguzi ule wana chadema kwa idadi kubwa walikuwa wakijifariji kwa kauli hii "MZEE KAWAGALAGAZA"
wakimaanisha mzee Trump, binafsi sikuwaelewa ni kwa nini hasa walipatwa na mihemuko ile, na hata Trump alivyoanza kuporomosha matusi kwa nchi MBALIMBALI duniani zikiwemo kauli zile za kuiita Africa shithole countries. Pia ni chadema hao hao wabaoitumia kauli hiyo hata kwenye thread nyingi humu ndani ya JF.
Yaani hasa wale wachangiaji wa mistari miwili miwili kutokea kule arusha ndio kabsaa.

Sasa miaka imeenda kidogo, trump anefanya ya kwake nchini kwake.

Dunia imenuelewa trump, lakini pia wamarekani wanemuelewa rais wao na mbinu aliyoitumia kuingia ikulu nayo imefichuka.

Idadi kubwa ya viongozi wenzake duniani nao ni kama hawamuelewi pia.
Ni jana tumemuona waziri wa ulinzi akitangaza kujiuzuru kwa kutofautiana sera na rais trump kwa uamuzi wa kuitoa marekani kijeshi katika syria na Afghanistan, nchi ambazo imeshiriki kuzivuruga kidemokrasia yao na kwa mauaji ya raia wasio na hatia , huyu Gen mattins anakuwa kiongozi mkuu mwandamizi wa tatu kuachia ngazi kutokana na kutoelewana na trump!.
Hayo yakijiri hata rais puttin wa urusi pia jana alitoa kauli ya kumshangaa trump na sera ya kujitoa kwenye ushirika wa udhibiti wa nyuklia duniani.
Puttin alitamka hayo katika hotuba yake kwa taifa kwa kila mwisho wa mwaka.

Sasa nawauliza wana chadema, mnapolia lia hapa nyumbani kuhusu demokrasia.
Je bado mko na Trump au la?

Kama mko na Trump je mna maoni gani na anachokifanya Donald trump huko marekani ikiwemo na hiyo racism yake dhidi ya black americans wanaopigwa risasi na polisi mitaani huko US!
Leteni hoja sio matusi. Ahsanteni na karibuni.
Rubbish
 
MwanaCHADEMA yupi alikuambia yeye ni Trump die hard shabiki?Hivi ukisoma maandiko ysnayoponda Magufuli na udhalimu wowote ndiyo huwa unaenda kumuambia mkeo kuwa JF yote ni CHADEMA?You have to get your punky head examined, chap!Kuna watu humu wakiachia id fake na ukawajua vema utajamba cheche wiki nzima kwa kutoamini.Tulia.
 
Hebu igeuze hi stori yako iwe kwa hapa kwetu tz unaona tofauti gani??? Tumesahau tulisema JPM anafata nyayo za Trump humu humu kwamba hapangiwi na Ana misimamo au tumesahau???

Marekani hawekewi vikwazo ila anasemwa Mana anajiweza unadhani sisi kinatupata Ni kipi??

Viongozi waandamizi wanajiuzulu kulinda heshima yao hapa kwetu vip mpaka wakaitwa wapumbavu ila wamekomaa tu au unadhani wanafurahi system iliyopo??

Unadhani Prime minister kutafuta wateja wa zao Fulani na bado akaaibika mbele ya hadhira ingekua MAREKANI Nini kingetokea???

Nakuuliza mtoa mada ukipata majibu ya haya omba mods wakupige BAN mwenyewe ....
Swali langu hujajibu, bali umeongezea yako.
Na kama kumbukumbu vizuri,

Tatizo hapa ni viongozi wateuliwa kuwa walizowea kuishi na kufanya kazi kwa mazowea zaidi kuliko kulitumikia taifa.

Ilikuwa unamsaidia mgombea kupata urais au ubunge halafu mnaanza kugawana cake.
Sasa kwa JPM kuja na kwenda tofauti na system ndio imekuwa nongwa,
Watu mmejigeuza vipofu,mnajifanya kwenu demokrasia ndio kila kitu.
Hivi kwanza huyu demokrasia...mwanakijiji wa kijijini anamsaidia nini kuliko hospitali,umeme, maji safi na salama,elimu bora na bure pamoja na miundombinu ya barabara.?
Hii domokrazia ni lenu wasakatonge na sio kero halisi ya mtanzania huru.
 
Back
Top Bottom