Sikio la kufa halisikii dawa. Baada ya ulipo tulip, I thought wamejifunzaKila mtu anajua mpango wa kuivuruga Chadema unavyokwenda..
Sasa why Chadema Wana play na mchezo huo? Kwanini wasijifunze kucheza tofauti?..
Kama mpango ni kuwavuruga mfukuzane ..why msiamue 'hafukuzwi' mtu Kwa sasa?..
Muache anaetaka kutoka atoke Tu mwenyewe?..
Why kumjibu mtu kama Makonda?..
Kwanini Chadema wasicheze mchezo wa wa kukataa Ku react wanapokuwa provoked?..
After all imebaki miezi Tu uchaguzi uje .na wanafiki wote watahamia NCCR na kubaki kujipanga upya?Why uwape Kiki kuwa uliwafukuza?Why usiwaache kama huwaoni ..huku unachukua tahadhari kimyakimya?
Chadema inabidi wafikiri beyond horizon. Ilivyo ni kwamba serikali sasa hivi inatumia dola na fedha kuwafanya wapinzani wakate tamaa. Inachotakiwa kufanya Chadema ni kutumia mbinu za kijasusi. Iwaruhusu wabunge na mashabiki wake kuimba mapambio ya kumsifia Mr Zero IQ na kujiunga na harakati zake. Baadae wamlie timing na ku-pull triger wakati muafaka utakafika.Kila mtu anajua mpango wa kuivuruga Chadema unavyokwenda..
Sasa why Chadema Wana play na mchezo huo? Kwanini wasijifunze kucheza tofauti?..
Kama mpango ni kuwavuruga mfukuzane ..why msiamue 'hafukuzwi' mtu Kwa sasa?..
Muache anaetaka kutoka atoke Tu mwenyewe?..
Why kumjibu mtu kama Makonda?..
Kwanini Chadema wasicheze mchezo wa wa kukataa Ku react wanapokuwa provoked?..
After all imebaki miezi Tu uchaguzi uje .na wanafiki wote watahamia NCCR na kubaki kujipanga upya?Why uwape Kiki kuwa uliwafukuza?Why usiwaache kama huwaoni ..huku unachukua tahadhari kimyakimya?
Huu ni msimamo thabiti sana sisi watz ndio tunajua nani anatetea wananchi na nani anatetea serikali na posho
Kwanini wewe usiwe mwendawazimu?
Chadema inabidi wafikiri beyond horizon. Ilivyo ni kwamba serikali sasa hivi inatumia dola na fedha kuwafanya wapinzani wakate tamaa. Inachotakiwa kufanya Chadema ni kutumia mbinu za kijasusi. Iwaruhusu wabunge na mashabiki wake kuimba mapambio ya kumsifia Mr Zero IQ na kujiunga na harakati zake. Baadae wamlie timing na ku-pull triger wakati muafaka utakafika.
Uwezo wa kufikiri wa Chadema umefika ukingoni!
Msifie baba ako na mama ako aiseeMimi hata wanipe mabilioni kamwe siwezi kuisifia ccm
In God we Trust
Kada Mbowe anajua analofanyaKila mtu anajua mpango wa kuivuruga Chadema unavyokwenda..
Sasa why Chadema Wana play na mchezo huo? Kwanini wasijifunze kucheza tofauti?..
Kama mpango ni kuwavuruga mfukuzane ..why msiamue 'hafukuzwi' mtu Kwa sasa?..
Muache anaetaka kutoka atoke Tu mwenyewe?..
Why kumjibu mtu kama Makonda?..
Kwanini Chadema wasicheze mchezo wa wa kukataa Ku react wanapokuwa provoked?..
After all imebaki miezi Tu uchaguzi uje .na wanafiki wote watahamia NCCR na kubaki kujipanga upya?Why uwape Kiki kuwa uliwafukuza?Why usiwaache kama huwaoni ..huku unachukua tahadhari kimyakimya?
Endelea kurusha miguu kama farasi anayekata rohoUbongo wako ndiyo ulisha ganda lkn cdm bado inazidi kuimarika kuliko jana
In God we Trust