CHADEMA, kwanini Dr. Slaa hachukuliwi hatua?

CHADEMA, kwanini Dr. Slaa hachukuliwi hatua?

Kwani ile operation chaos aliyotwambia kada wa CCM William Malecela (Le Mutuz) imekamilika? Au ndio hii inaendelea?

Mkuu, sasa huu umbumbumbu wako unaeneza ili iweje?

Nani hajui kuwa Zitto ajatimiza kigezo cha umri kama ambavyo rasimu ya katiba imependekeza?

Vile hakuna pingamizi kutoka kwenye vyama vya siasa na kwengineko kuhusu mapendekezo ya umri wa kugombea urais.

Zitto sio target acha kujidanganya.
 
Imefika wakati Chadema kujisafisha mbele ya jamii kuchukuwa maamuzi mazito.
Why are you guys so much concerned with CHADEMA? HAMY-D chadema haikuwahi kusema kiongozi wa CCM ajiuzulu au awajibishwe, kwa kuwa kiongozi wa CCM haihusu CHADEMA. CHADEMA imeshasema na inaendelea kusema viongozi wa serikali wanaolipwa mshahara na watanzania, ndiyo wawajibike. Na ninyi shughulikieni ya kwenu na ya viongozi wa serikali. Ya CHADEMA hayawahusu.
 
Last edited by a moderator:
Tunaomba haya yote uliyoandika weka evidence then tutachangia zaidi....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mchukulie kwanza hatu yule mbaka wanafunzi, ukimaliza hapo nenda kwa Lowassa kwa kuzaa na yule mkosa ubunge wa Arusha mjini, ukimaliza uende kwa Mwigulu kwa kuzini wakati ana mke wake, halafu husisahau kupitia kwa Sitta maana alinyanyasa yule mke wake wa ndoa mpaka mauti yanamfikia, halafu husisahau yule aliyetoka kufiwa na kajukuu kake mitaani kwetu. pia pitia kwa "theki yuu vere machi, muulize wale watoto babao ni nani pia muulize na mama yake na Nape atwambie nani baba wa Nape.. list ni ndefu ukishamaliza hao njoo kwa Dk Slaa.

mkuu umenena mambo mazitooo!!! Nimeipenda hii
 
Mababu zetu Tanganyika waliyeyusha Mawe kirahisi sana, itakuwa leo hii?

751


Bio-archaeometallurgy, Technology, and Spatial Organization of Ironworking at Mjimwema, Njombe Tanzania | Lyaya | Papers from the Institute of Archaeology
Ni ngumu sana, kuliko hata kuyeyusha jiwe
 
Mkuu, wewe una kompyuta na keyboard yako ipo sawa, kwanini usianzishe thread kuhusu mada ulizozitaja?

Mimi nachofahamu wahusika wote wenye hizo tuhuma walijiuzuru, sasa niweke thread ya nini?

Huyu Dr Slaa ambae mpaka sasa ni katibu mkuu wa CDM ingawa tuhuma kibao zina mkabili ndio yapaswa kuhoji!
Ama kweli ukiwa CCM akili yako inafanana na ile ya panya!Mnaendelea kuimba wimbo uliokwisha chuja wa dhana ya 'mke' wa mtu, wakati huu hata baada ya mahakama kuamua hakuna kesi!
Ingekuwa propaganda yenu hii ina mshiko JK wenu asingelazimika kutumia TISS, Polisi na majeshi kuiba kura ili amzidi Dr. Slaa!
Ni uwajibikaji upi mnaoutaka? mnahangaika na habari nyepesi nyepesi wakati nchi iko katika msiba wa kiuchumi kwa kuongozwa na majangili kina Kinana ambaye hajajiuzulu licha ya kukiri kuhusika kwa meli zake kusafirisha tani za meno ya tembo? Kuna uwajibikaji hapo?
Matokeo ya ujangili unaoratibiwa na CCM sasa tembo waliokuwa zaidi ya laki mbili na nusu miaka kumi tu iliyopita sasa wamepungua hadi makumi ya elfu! Na sasa mmehamia kuwamaliza simba baada ya hiyohiyo CCM kuwafuta faru kwenye ramani ya nchi na kuwauza twiga na pundamilia wazima wazima uarabuni ili mabwana zenu wakawafanye kitoweo na wengine wawafuge ili wapunguze "bughudha" za kufunga safari ili kuwaona wakiwa Mabyara, Ngorongoro au Mikumi!
Uwajibikaji si sera wala lugha ya kiCCM! hebu angalia; wauaji wa raia wasio na hatia kama Kamuhanda na yule mtekaji wa Dr. Ulimboka walivyotunukiwa vyeo! Mmoja sasa ni RPC wa Simiyu! na Kamuhanda ni DCP!
Bila shaka RPC wa Arusha karibuni atapewa cheo kikubwa kwa kuratibu na kutekeleza aliyoyatekeleza kwa maelekezo ya chama chake CCM.
Chini ya CCM ni unafiki kwa kwenda mbele na hakuna hata chembe ya kinachoitwa "uwajibikaji"
Ingekuwa CCM ni wawajibikaji Mwenyekiti wao angeshaunda tume ya kimahakama, inayoshirikisha wanasheria wa pande zote za vyama vya siasa na asasi za kutetea haki za binadamu kuchunguza utekaji nyara, kushambuliwa na kuuwawa kwa raia wasio na hatia Zanzibar, Morogoro, Iringa, Songea, Arusha na kwingine ambako serikali yenu ya CCM imetuhumiwa kuhusika!
Mnashindwa kuzungumzia uwajibikaji wa kwelikweli na kutubabaisha na ishu binafsi tena zilizo x-pire za 'mke' wa mtu ambazo viongozi wa CCM na serikali ndiyo sera zao na hawaishi kukamatwa ugoni au kupatikana na masahibu ya kuibiwa na malaya gesti; na yote hayo hupita bila ya wito wa kuwataka wajiuzulu! Badala yake, Rais ambaye ni "msikivu" kwa makada wake watembea ovyo huwapandisha vyeo na kuwapongeza.
Shame on you CCM! Your death is imminent.
 
Huyu dada HAMY-D tulikuwa naye kitchen party jana mpaka saa nne usiku nafikiri zile savvana nne alizokunywa zimemlewesha
 
Last edited by a moderator:
Why are you guys so much concerned with CHADEMA? HAMY-D chadema haikuwahi kusema kiongozi wa CCM ajiuzulu au awajibishwe, kwa kuwa kiongozi wa CCM haihusu CHADEMA. CHADEMA imeshasema na inaendelea kusema viongozi wa serikali wanaolipwa mshahara na watanzania, ndiyo wawajibike. Na ninyi shughulikieni ya kwenu na ya viongozi wa serikali. Ya CHADEMA hayawahusu.

Lukolo,

Mishahara ya serikali? CHADEMA inatengenezeza hela zake yenyewe? wewe hujui kwamba serikali hiyo hiyo inatoa kiasi cha Tshs. 200 milion kila mwezi?

Ndio maana uwa mnakuwa wakali eti kwanini tunaongelea CDM, basi jibu umeshapata. CDM inapokea pesa za walipa kodi kwa namna ya ruzuku, mimi kama mlipa kodi nipo concern na huyo anaepewa pesa ya serikali.

Dr Slaa ni kiongozi wa kitaifa kwa sasa, mimi nina ndugu na jamaa ambao ni wanachama wa CDM lakini sauti zao haziwezi kusikika ingawa tuhuma dhidi ya Dr Slaa wamezisikia na wamekiri zinashusha hadhi ya chama. Kwanini mimi mwenye uwezo wa kuwika nisiwike kwa ajili yao?

Kama ulitaka ufanye siri basi ndio hivyo tena.
 
Last edited by a moderator:
Slaa ndani ya chadema ni hakimu na nimahakama kwa hiyo hakuna mtu wa kumgusa ila yeye akimwalia mtu lazima ataondoka.

mfano zito kwa sasa utadhani mkimbizi ndani ya chadema yote ni mpango wa slaa.
 
Huyu dada HAMY-D tulikuwa naye kitchen party jana mpaka saa nne usiku nafikiri zile savvana nne alizokunywa zimemlewesha
Wewe waliko kulaza unadhani kila mtu kalazwa huko we kama unamhitaji hamy-d mtumie pm akusaidie shida uliyonayo mama.
 
Huyu dada HAMY-D tulikuwa naye kitchen party jana mpaka saa nne usiku nafikiri zile savvana nne alizokunywa zimemlewesha

Waulize kwa nini Mama Salma ana vyeo ccm baada ya kujipigia kampeni huko Lindi kwa kodi zetu na alimpigia kampeni mumewe uchaguzi wa 2010? JK KWANZA AWAJIBIKE KWA HILO.Nyani haoni -----_le
 
Last edited by a moderator:
ikichafuka chadema nyie ina wauma nini, au dr kumuoa chonza kama taifa inatuhusu nini, tuzungumzie wauwaji wa binadamu, tembo ili mpate meno yao sijui meno ya ulimboka, kibanda, mwangosi mmeuza bei gani, acha wanyama mnaowafafirisha wakiwa hai, madini mnawauzia akina bush na waarabu kisha mnahongwa neti na suti eti rais...
 
wewee acha kuhangaika na slaa..waulize waliokutuma kwamba vile viwanda..ndege atc rail na mshirika yote kila mkama shirecu na nk achalia mbali sukita nani wamekula
 
Makubwa hayo.

Msameheni bure kwani hamjui kuwa mwenzenu alichelewa kuoa sababu alikuwa kazini?
 
Mkuu, wewe una kompyuta na keyboard yako ipo sawa, kwanini usianzishe thread kuhusu mada ulizozitaja?

Mimi nachofahamu wahusika wote wenye hizo tuhuma walijiuzuru, sasa niweke thread ya nini?

Huyu Dr Slaa ambae mpaka sasa ni katibu mkuu wa CDM ingawa tuhuma kibao zina mkabili ndio yapaswa kuhoji!
HAMMY sikufahamu lakini nimekuwa nikifuatilia post zako hapa jamvini.
Kama mtu ambaye inaelekea una mapenzi makubwa na CCM naamini ya kuwa kuna wakati post zako zinawapa shida wapinzani wako.Ni propoganda nzuri kwani kila wakati unawaweka adui zako katika kujibu na kuna mahali wanajibu kwa jazba mpaka wanakuwa offtrack.
Kwa wana mageuzi wa kweli na ambao wako focused naamini hawajisumbui sana kujibu thread zako.
Leo naomba nikushauri wewe na Lukosi mamabo machache,
  1. Wewe uko CCM na una serikali pamoja na vyombo vyote hivyo jitofautishe na mtu aliyeko Chama cha Upinzani,una maswali mengi unayotakiwa kujibu kuliko ilivyo kwa mtu aliyeko upinzani.
  2. Jambo la pili ni kuwa kuingiza mambo ya binafsi katika propaganda hizi kunawaweka viongozi wako wakuu katika target.Mfano mzuri ni kuwa Mwenyekiti (sijataja kama ni wa wilaya au mkoa) wako ana watoto wa nje na kwa imani ya dini nyingi hiyo ni certificate ya kuhitimu Uzinifu.Hivyo wapinzani watakapokosa uvumilivu na wakaanza kumshambulia mwenyekiti wako tutaona vyombo vya dola vikiingilia kati na amani ikaitoweka.
  3. Kufa au kudhoofika kwa CDM haina maana ya kuwa ni kuimarika kwa CCM.Utakuwa unajidanganya sana kila kikidhoofika CHAMA kimoja kinazuka kingine kilichokuwa na nguvu zaidi lakini kuna uwezekanao mkubwa kuja kwa kundi ambalo litakuwa halijadiliani ndani ya bunge tena au kwenye mikutano ya hadhara,hilo litakuwa ni kundi la kufanya kwa vitendo (Mwenyezi Mungu aepushie mbali).
  4. La mwisho ni kuwa ni lazima muelewe ya kuwa upinzani unasaidia kuimarisha CCM kwani inawasaidia kujikosoa.Hebu chukua mfano huu mdogo kuhusu JK na Lowasa,kwa uarfiki wao na kwa jinsi walivyoshirikiana pamoja ni vigumu kwa hali ya kawaida kwa JK kumkemea EL na hili anasaidiwa na wapinzani na watu waliokuwa nje ya CCM.
Naomba uwe unatafakari repurcussion ya kila thread unayoweka,inawezekana ukawa unabomoa zaidi ya kujenga.
 
WanaJF!

Dhana hii ya kuwajibika na kuwajibishwa imekuwa ikielekezwa upande mmoja tu, nako ni CCM na serikali yake. Tena mara kwa mara mashinikizo yamekuwa yakitokea CHADEMA, kuwa serikali iwawajibishe viongozi wenye kasoro.

Lakini kama ilivyo ada, CHADEMA imesahau kwa makusudi kabisa katika kuwawajibisha viongozi wake hasa wale wenye muelekeo wa kukichafua chama.

Kwa mfululizo wa matukio haya yaliyo muandama Dr Slaa, kama CHADEMA kingekuwa chama makini basi kingemchukulia hatua Dr Slaa za kinidhamu kwa lengo la kulinda hadhi ya chama.

Mfululizo wa matukio yenyewe ni kama ifuatavyo;

1. TUHUMA YA KUKWAPUA MKE WA MTU. Hii tuhuma sio tu kwamba imemchafua Dr Slaa na Josephine, bali imechafua CHADEMA kwa kiasi kikubwa sana mbele ya jamii ya watu wenye heshima na wastaarabu.

2. TUHUMA YA KUMPA JOSEPHINE MAMLAKA NDANI YA CHADEMA. Hii pia imeshusha heshima ya CHADEMA kwani watanzania kwa sasa wanaona CHADEMA ni kama chama cha familia.

Haiwezekani mchumba wa katibu mkuu kupewa fedha za chama kwa ajili ya ziara za mikoani. Josephine ni nani mpaka akakague uhai wa chama mikoani?

3. TUHUMA YA KUJIKOPESHA FEDHA YA CHAMA. Hii tuhuma tangu imetolewa haijawahi kupatiwa maelezo, zaidi ya kupiga piga chenga. Hali iliyo pelekea CHADEMA kuonekana kama sio chama cha siasa bali ni 'saccoss' ya watu wachache.

Kwa tuhuma hizo na nyingine nyingi dhidi ya Dr Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA, ingekuwa ni vyema kama chama kingechukua hatua za kinidhamu dhidi yake, hata kwa kumuondoa kwenye nafasi hiyo ili chama kiweze kurejesha hadhi yake kwenye jamii, ambayo kimsingi kwa sasa hadhi ya CHADEMA imeshuka sana kutokana na matukio haya ya aibu.

4. matumizi ya fedha za Chama kwa safari binafsi yeye na Mchumba wake, JOSEPHINE kwenda Israel, Ujerumani, Japan.
kwenye namba (1) itakuwa vigumu kwa vile kukwapua mke wa mtu hakuna tofauti na kumsaliti mke wako. Hii ni tabia ya viongozi wa chama hiki kwa hiyo ni vigumu kunyoosheana vidole. Kuna MBUNGE mmoja hivi sasa kajifungua ujauzito wa kiongozi wa juu kabisa wa chama hicho ambaye ana familia yake.
 
Sijui chadema ushauri wao wanategemea kwa kitila tu.

SLAA na MBOWE wanaogopwa sana wewe. Mashujaa pekee wanaoweza kukabiliana nao ni wale wanaoamua kuondokana na utumwa na kuhama chama kama akina SHONZA, MWAMPAMBA na wengine.
 
Makubwa hayo.

Msameheni bure kwani hamjui kuwa mwenzenu alichelewa kuoa sababu alikuwa kazini?

kwa uzoefu wangu , Laana kubwa ambayo Mungu hutoa kwa watu walioasi wito(MAPDRE, MASISTER, WACHUNGAJI, MASHEHE n.k) ni ngono kwa sana, kwa hiyo sishangai. Hebu angalia tangu SLAA aache upadre tayari kishakuwa na wanawake watatu(CECILIA PARESO, ROSE KAMILI na JOSEPHINE MSHUMBUZI), hao ni wanaojulikana.
 
wewee acha kuhangaika na slaa..waulize waliokutuma kwamba vile viwanda..ndege atc rail na mshirika yote kila mkama shirecu na nk achalia mbali sukita nani wamekula

Leta mada tuhangaike nao, kwa sasa mada iliyoko hewani ni ujangili wa SLAA lazima ujadiliwe.
 
Back
Top Bottom