CHADEMA, kwanini Dr. Slaa hachukuliwi hatua?

CHADEMA, kwanini Dr. Slaa hachukuliwi hatua?

Ndugu Hamidu , Dr Slaa hachafuliki , utazeeka bure kwa kuchokonoa usiyoyaweza , wasira alijaribu alichoambulia ni uhakika wa kupoteza jimbo 2015 , nape hivi sasa yuko mtaa wa ufipa anapiga goti apokelewe cdm , sembuse wewe mjumbe wa nyumba 10 !
 
Mkuu HAMY-D, Amani iwe Nawe,

Vp Chai Umekunywa lakini ???


Unazikumbuka hizi

"Kina mama pia endeleeni kuzaa wasichana wazuri kwani katika miaka hii miwili hata kwenye mashindano ya urembo duniani tumetamba."

"Ikiwa tutaruhusu wasichana waliojifungua kurudi mashuleni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa darasani"

Hivi Huyu Mtu alitakiwa afanywe nini kwa Hizo Kauli ?????
 
Last edited by a moderator:
CCM es un cojone, su puta madre. hatudanganyiki na unafiki wenu, kiama chenu kimekaribia wasaliti wakubwa nyie
 
Imefika wakati CHADEMA kujisafisha mbele ya jamii kuchukuwa maamuzi mazito.

....Mwambie baba ako kwanza achukue maamuzi magumu kuisafisha serikali yake DHAIFU,then ndo uje na pumba zako kwa CDM.
 
Kashifa nzito zaidi.

Kumtuma Ben Wa Saanane kumuwekea sumu Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Hamidu , Dr Slaa hachafuliki , utazeeka bure kwa kuchokonoa usiyoyaweza , wasira alijaribu alichoambulia ni uhakika wa kupoteza jimbo 2015 , nape hivi sasa yuko mtaa wa ufipa anapiga goti apokelewe cdm , sembuse wewe mjumbe wa nyumba 10 !

slaa haitaji kuchafua yeye ni mchafu toka zamani akiwa kanisani kabla hata hajaingia kwenye siasa.

Uchafu wa slaa ni mkongwe marehebu babayake na slaa anajua kuwa mwanaye ni mchafu.
 
Nilichojifunza kuhusu HAMY-D ni kitu kimoja tu, thread zake zote hapa JF utazikuta kule Facebook kwenye magroup ya kisiasa zikiwa zimewekwa na Mtela Mwampamba.

Huitaji hata kuhudhuria kozi ya ushushushu kuconnect the dots, wenye akili timamu kazi kwenu au jiridhisheni wenyewe muuone ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Mchukulie kwanza hatu yule mbaka wanafunzi, ukimaliza hapo nenda kwa Lowassa kwa kuzaa na yule mkosa ubunge wa Arusha mjini, ukimaliza uende kwa Mwigulu kwa kuzini wakati ana mke wake, halafu husisahau kupitia kwa Sitta maana alinyanyasa yule mke wake wa ndoa mpaka mauti yanamfikia, halafu husisahau yule aliyetoka kufiwa na kajukuu kake mitaani kwetu. pia pitia kwa "theki yuu vere machi, muulize wale watoto babao ni nani pia muulize na mama yake na Nape atwambie nani baba wa Nape.. list ni ndefu ukishamaliza hao njoo kwa Dk Slaa.

Na wewe umetoa hoja au majungu? Tatizo lenu cdm mnaiga madudu yanayofanywa na ccm. Wao wameboronga nyie rekebisheni.
 
ni utumwa na ujinga kila siku kupost mada zinazohusu chadema
wewe uko CCM post mada zinazohusu chama chako
yako mengi humo,ufisadi,uuwaji,ugaidi,wizi,rushwa,ukiukwaji wa haki za binadamu,
kuhonga makanisani na misikitini, madawa ya kulevya, mikataba mibovu inayotuathiri sote,uuzwaji wa rasilimali zetu,
ugawaji hovyo wa vitalu, nk, hayo huyaoni eehhh?
ya chadema waachie chadema na ya CCM tuwaachie wenyewe.
wewe sio msemaji wao ndio maana kila chama kina msemaji wao.
its shame kwa kijana kama wewe kila siku kutumika badala ya kuitumika nchi yako

Hujui kama cdm wanapost kuhusu ccm.
 
Je magufuli alieoa rafi ki wa binti yake ambae ni kama mwanae na akamfanya kama nyumba mdogo!!!!!! Ccm uozo mtup.
 
Hivi Pilipili ya shamba yakuwashia nini???

Kwa nini usilete thread za CCM zinazolezea wakichokifanikisha kwa kipindi chote hiki ili watu waweze kutanabaisha ukweli na either kukipa shavu au lah.

Acheni kupoteza muda wenu na mambo ya Slaa na tuhuma zenu.

Hili jukwaa sasa mmelifanya la mipasho! I wonder, if these fallacious comments are coming from the so called GTs!!!
HAMY-D , Chris Lukosi and Ritz
 
Hujui kama cdm wanapost kuhusu ccm.

Mkuu, kumbuka "Two wrongs cannot make it right".

Kwa hiyo mwenzio akifanya upuuzi na wewe unafanya upuuzi kisa mwenzio kafanya???

Ni ujinga kwa CDM au CCM kila kukicha ku post mada za mwenzake, ni ujinga tu.


Njaa vijana itawaua, mnapigana vijembe wenzenu wanakula tu!

MJITAMBUE

cc Chris Lukosi
 
Threads za kojinga na kipumbavu kabisa, zimekusanya vipande vya habari mfu na kurecycle

inanisikitisha kuona ccm, chama makini na kongwe kuliko chama chochote kinatumia wapumbavu wasio hata na upeo wala utashi kuwatetea kwa jamii kwa njia maamuma kama hizi

taifa linapotea kwa short-timers kama hamyD... Ambaye si ajabu ni mwanaharamu tu a hata ni jamvi la wageni
 
Mkuu, kumbuka "Two wrongs cannot make it right".

Kwa hiyo mwenzio akifanya upuuzi na wewe unafanya upuuzi kisa mwenzio kafanya???

Ni ujinga kwa CDM au CCM kila kukicha ku post mada za mwenzake, ni ujinga tu.


Njaa vijana itawaua, mnapigana vijembe wenzenu wanakula tu!

MJITAMBUE

cc Chris Lukosi
Well said

sijui kwanini tunaweka rehani maisha ya vizazi vjavyo kwa kutumia kama toilet papers au makopo ya chooni
 
WanaJF!

Dhana hii ya kuwajibika na kuwajibishwa imekuwa ikielekezwa upande mmoja tu, nako ni CCM na serikali yake. Tena mara kwa mara mashinikizo yamekuwa yakitokea CHADEMA, kuwa serikali iwawajibishe viongozi wenye kasoro.

Lakini kama ilivyo ada, CHADEMA imesahau kwa makusudi kabisa katika kuwawajibisha viongozi wake hasa wale wenye muelekeo wa kukichafua chama.

Kwa mfululizo wa matukio haya yaliyo muandama Dr Slaa, kama CHADEMA kingekuwa chama makini basi kingemchukulia hatua Dr Slaa za kinidhamu kwa lengo la kulinda hadhi ya chama.

Mfululizo wa matukio yenyewe ni kama ifuatavyo;

1. TUHUMA YA KUKWAPUA MKE WA MTU. Hii tuhuma sio tu kwamba imemchafua Dr Slaa na Josephine, bali imechafua CHADEMA kwa kiasi kikubwa sana mbele ya jamii ya watu wenye heshima na wastaarabu.

2. TUHUMA YA KUMPA JOSEPHINE MAMLAKA NDANI YA CHADEMA. Hii pia imeshusha heshima ya CHADEMA kwani watanzania kwa sasa wanaona CHADEMA ni kama chama cha familia.

Haiwezekani mchumba wa katibu mkuu kupewa fedha za chama kwa ajili ya ziara za mikoani. Josephine ni nani mpaka akakague uhai wa chama mikoani?

3. TUHUMA YA KUJIKOPESHA FEDHA YA CHAMA. Hii tuhuma tangu imetolewa haijawahi kupatiwa maelezo, zaidi ya kupiga piga chenga. Hali iliyo pelekea CHADEMA kuonekana kama sio chama cha siasa bali ni 'saccoss' ya watu wachache.

Kwa tuhuma hizo na nyingine nyingi dhidi ya Dr Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA, ingekuwa ni vyema kama chama kingechukua hatua za kinidhamu dhidi yake, hata kwa kumuondoa kwenye nafasi hiyo ili chama kiweze kurejesha hadhi yake kwenye jamii, ambayo kimsingi kwa sasa hadhi ya CHADEMA imeshuka sana kutokana na matukio haya ya aibu.

Unataka nini zaidi wakati wewe umeshamchukulia hatua, mwombe Mungu amchukulie hatu maana vilivyoshindikana kwa binadamu kwa mungu havitashindikana.....
 
mwaka 2009 ndio hilo sakata liliibuliwa. Kesi ikaenda mahakamani na mahakama haikuona uhusika wake.

Na ukumbuke msigwa anasema hayo bila kuwa na ushahidi wowote zaidi ya kutaka umaarufu wa lazima.

Jambo la faraja ni kwamba watanzania wamemshtukia msigwa kuwa ni muongo na anapaswa kupuuzwa.

Kwa muktadha huu; ccm haiwezi kuchafuka kwa pumba anazo eneza msigwa.

ccm tumewachoka hamna maana mmejaa dhuluma na mikono yenu inanuka damu.....
 
slaa haitaji kuchafua yeye ni mchafu toka zamani akiwa kanisani kabla hata hajaingia kwenye siasa.

Uchafu wa slaa ni mkongwe marehebu babayake na slaa anajua kuwa mwanaye ni mchafu.

umeandika nini mkuu ! Mbona huruma , kama na wewe unapewa posho nakushauri urudishe .
 
Nashukuru xana kwa kuweka wazi kuwa yooote uliyo ya ainisha hapa ni TUHUMA tu, kwani ninahakika HAZIJA THIBITISHWA kuwa ndio UKWELI wa mambo ulivyo.

Tuhuma zikiachwa bila kukanushwa zinakuwa ukweli mkuu. Soma vizuri thread.
 
Back
Top Bottom