Lukolo,
Mishahara ya serikali? CHADEMA inatengenezeza hela zake yenyewe? wewe hujui kwamba serikali hiyo hiyo inatoa kiasi cha Tshs. 200 milion kila mwezi?
Ndio maana uwa mnakuwa wakali eti kwanini tunaongelea CDM, basi jibu umeshapata. CDM inapokea pesa za walipa kodi kwa namna ya ruzuku, mimi kama mlipa kodi nipo concern na huyo anaepewa pesa ya serikali.
Dr Slaa ni kiongozi wa kitaifa kwa sasa, mimi nina ndugu na jamaa ambao ni wanachama wa CDM lakini sauti zao haziwezi kusikika ingawa tuhuma dhidi ya Dr Slaa wamezisikia na wamekiri zinashusha hadhi ya chama. Kwanini mimi mwenye uwezo wa kuwika nisiwike kwa ajili yao?
Kama ulitaka ufanye siri basi ndio hivyo tena.