CHADEMA, kwanini Dr. Slaa hachukuliwi hatua?

CHADEMA, kwanini Dr. Slaa hachukuliwi hatua?

Mkuu, sasa huu umbumbumbu wako unaeneza ili iweje?

Nani hajui kuwa Zitto ajatimiza kigezo cha umri kama ambavyo rasimu ya katiba imependekeza?

Vile hakuna pingamizi kutoka kwenye vyama vya siasa na kwengineko kuhusu mapendekezo ya umri wa kugombea urais.

Zitto sio target acha kujidanganya.
Mkuu hayo ni maneno ya mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Bwana William Malecela, si maneno yangu.

Kama ni umbumbumbu ni umbumbumbu wa kiongozi wa CCM na ameubandika kwenye website yake

Blogu ya Wananchi: THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA GETTING DOWN ON POLITICS!!
.

Waliompa ujumbe mbumbumbu huyu wavumilie tu akipost umbumbumbu wake kwa niaba ya chama chake.
quote_icon.png
By Mtu wa Shamba

Kwani ile operation chaos aliyotwambia kada wa CCM William Malecela (Le Mutuz) imekamilika? Au ndio hii inaendelea?

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:

Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA

KIDUMU CCM!


KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!
Source: Blogu ya Wananchi: THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA GETTING DOWN ON POLITICS!!
 
Ahsante sana, naona le mutuz amehitimisha mnachokifanya nyie kina HAMY-D &CO. huku jf, fb, twitter na kwingineko lkn ninachowaonea huruma ni narrow vision&mind mliyonayo kwamba mnaweza mkamdanganya mtu kwenye haya mliyotumwa kuandika.
Al Saif alikuwa kama wewe Hamy-D kumbe watu walishamchungulia mpaka kwenye moyo wake jinsi unadunda kwa woga.
Jitahidi kupost angalau ujipatiepo kafinyango cha kutafuna hapo pembeni ya Lumumba.
 
Zamani tulikuwa na Malaria Sugu, akaja, akapotea; Ritz alikuwepo ndiye amebakibaki, tulikuwa na mdada mwingine sijui nani, akaja akapotea; leo tunaye Hamy-D; Tunamsubiri tumuone. Hawa walikuwa wakijionyesha kweli kunywa maji ya bendera ya Lumumba, sijui ni kale ka elfu 7? sina hakika. Isipokuwa angeandika ccm iwachukulie hatua viongozi wake ingependeza zaidi kwani yeye amejionyesha kivitendo kuwa anatumika/anatumiwa na Lumumba directly.

Imefika wakati Chadema kujisafisha mbele ya jamii kuchukuwa maamuzi mazito.
 
WanaJF!

Dhana hii ya kuwajibika na kuwajibishwa imekuwa ikielekezwa upande mmoja tu, nako ni CCM na serikali yake. Tena mara kwa mara mashinikizo yamekuwa yakitokea CHADEMA, kuwa serikali iwawajibishe viongozi wenye kasoro.

Lakini kama ilivyo ada, CHADEMA imesahau kwa makusudi kabisa katika kuwawajibisha viongozi wake hasa wale wenye muelekeo wa kukichafua chama.

Kwa mfululizo wa matukio haya yaliyo muandama Dr Slaa, kama CHADEMA kingekuwa chama makini basi kingemchukulia hatua Dr Slaa za kinidhamu kwa lengo la kulinda hadhi ya chama.

Mfululizo wa matukio yenyewe ni kama ifuatavyo;

1. TUHUMA YA KUKWAPUA MKE WA MTU. Hii tuhuma sio tu kwamba imemchafua Dr Slaa na Josephine, bali imechafua CHADEMA kwa kiasi kikubwa sana mbele ya jamii ya watu wenye heshima na wastaarabu.

2. TUHUMA YA KUMPA JOSEPHINE MAMLAKA NDANI YA CHADEMA. Hii pia imeshusha heshima ya CHADEMA kwani watanzania kwa sasa wanaona CHADEMA ni kama chama cha familia.

Haiwezekani mchumba wa katibu mkuu kupewa fedha za chama kwa ajili ya ziara za mikoani. Josephine ni nani mpaka akakague uhai wa chama mikoani?

3. TUHUMA YA KUJIKOPESHA FEDHA YA CHAMA. Hii tuhuma tangu imetolewa haijawahi kupatiwa maelezo, zaidi ya kupiga piga chenga. Hali iliyo pelekea CHADEMA kuonekana kama sio chama cha siasa bali ni 'saccoss' ya watu wachache.

Kwa tuhuma hizo na nyingine nyingi dhidi ya Dr Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA, ingekuwa ni vyema kama chama kingechukua hatua za kinidhamu dhidi yake, hata kwa kumuondoa kwenye nafasi hiyo ili chama kiweze kurejesha hadhi yake kwenye jamii, ambayo kimsingi kwa sasa hadhi ya CHADEMA imeshuka sana kutokana na matukio haya ya aibu.
Ukiona mtu hawezi kulala ni mpaka amtaje Dr.Slaa na Josephine ni kwamba alikuwa anamtaka Slaa akamkosa. Saa hasira za kukataliwa ndiyo hizo. Jenga chama chako acha kushughulika na nyumba ya jirani. Slaa hakutaki tafuta mpenzi mwingine. Inawezekana alikuacha kwa sababu unapenda sana kujishughulisha na mambo ya watu wengine. Ulilalamikia sana ile thread ya familia ya Lipumba na kushangazwa na level ya kisomo chake. Hizi post zako zinaportray level gani ya kisomo? Simple mind ....


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mwaka 2009 ndio hilo sakata liliibuliwa. Kesi ikaenda mahakamani na mahakama haikuona uhusika wake.

Na ukumbuke Msigwa anasema hayo bila kuwa na ushahidi wowote zaidi ya kutaka umaarufu wa lazima.

Jambo la faraja ni kwamba watanzania wamemshtukia Msigwa kuwa ni muongo na anapaswa kupuuzwa.

Kwa muktadha huu; CCM haiwezi kuchafuka kwa pumba anazo eneza Msigwa.

Na CHADEMA haiwezi kuchafuka kwa Pumba unazoeneza wewe na Manyang'au wenzako. Wewe huna tofauti na wale kina mama zetu wa huku uswahilini(sio wale wanaotumia muda wao vizuri kujishughulisha kwa ajili ya familia zao) ambao kuanzia asubuhi mpaka jioni ni kuhamisha mkeka kutafuta kivuli.
 
HAMY-D, wewe kazi yako ni kuchungulia tu DR. Slaa anaishije, pole sana kwani huku ndiko kufirisika ki - fikra. Tatizo wewe unafikiri watu wote hapa ni wajinga? Kumdhibiti DR. Slaa kwa poroja kama hizi ni ndoto tena ya mwendawazimu, yaani hata mjiunge wote ndani ya CCM yenu hamutakaa mumuweze na ukitaka kuhakikisha hili nalolisema wewe rudi ukazihesabu tena zile kura za urais 2010, then uje utoe ushuhuda hapa JF.
 
nimeshindwa hata huendelea kusoma upuuzi wako kwani nadhan kama kunajambo linakunyima ucngizi basi ni uhai wa dr slaa. naamini kabisa kama kuua lisingekuwa ni kosa kubwa la jinai basi nadhani ungeshaitoa roho yake. anakuuma sana huyu mtu. kama ni uchukua mke wa mtu mbona akina babu seya mpaka leo wanaozea gerezan ni nani alisababisaha? mwigulu alifanya nn igunga? leo mmeamua kupandikiza kesi ya ugid ili kuua soo la kutembea na mke wa mtu. unazungumzia pesa. mmeiiba kiasi gani
 
Zamani tulikuwa na Malaria Sugu, akaja, akapotea; Ritz alikuwepo ndiye amebakibaki, tulikuwa na mdada mwingine sijui nani, akaja akapotea; leo tunaye Hamy-D; Tunamsubiri tumuone. Hawa walikuwa wakijionyesha kweli kunywa maji ya bendera ya Lumumba, sijui ni kale ka elfu 7? sina hakika. Isipokuwa angeandika ccm iwachukulie hatua viongozi wake ingependeza zaidi kwani yeye amejionyesha kivitendo kuwa anatumika/anatumiwa na Lumumba directly.

Mkuu umemsahahu ZeMarcopolo nae sijui kafia wapi siku hizi
 
WanaJF!

Dhana hii ya kuwajibika na kuwajibishwa imekuwa ikielekezwa upande mmoja tu, nako ni CCM na serikali yake. Tena mara kwa mara mashinikizo yamekuwa yakitokea CHADEMA, kuwa serikali iwawajibishe viongozi wenye kasoro.

Lakini kama ilivyo ada, CHADEMA imesahau kwa makusudi kabisa katika kuwawajibisha viongozi wake hasa wale wenye muelekeo wa kukichafua chama.

Kwa mfululizo wa matukio haya yaliyo muandama Dr Slaa, kama CHADEMA kingekuwa chama makini basi kingemchukulia hatua Dr Slaa za kinidhamu kwa lengo la kulinda hadhi ya chama.

Mfululizo wa matukio yenyewe ni kama ifuatavyo;

1. TUHUMA YA KUKWAPUA MKE WA MTU. Hii tuhuma sio tu kwamba imemchafua Dr Slaa na Josephine, bali imechafua CHADEMA kwa kiasi kikubwa sana mbele ya jamii ya watu wenye heshima na wastaarabu.

2. TUHUMA YA KUMPA JOSEPHINE MAMLAKA NDANI YA CHADEMA. Hii pia imeshusha heshima ya CHADEMA kwani watanzania kwa sasa wanaona CHADEMA ni kama chama cha familia.

Haiwezekani mchumba wa katibu mkuu kupewa fedha za chama kwa ajili ya ziara za mikoani. Josephine ni nani mpaka akakague uhai wa chama mikoani?

3. TUHUMA YA KUJIKOPESHA FEDHA YA CHAMA. Hii tuhuma tangu imetolewa haijawahi kupatiwa maelezo, zaidi ya kupiga piga chenga. Hali iliyo pelekea CHADEMA kuonekana kama sio chama cha siasa bali ni 'saccoss' ya watu wachache.

Kwa tuhuma hizo na nyingine nyingi dhidi ya Dr Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA, ingekuwa ni vyema kama chama kingechukua hatua za kinidhamu dhidi yake, hata kwa kumuondoa kwenye nafasi hiyo ili chama kiweze kurejesha hadhi yake kwenye jamii, ambayo kimsingi kwa sasa hadhi ya CHADEMA imeshuka sana kutokana na matukio haya ya aibu.

Mtu huwajibishwa kwa TUHUMA toka lini? Naona mnajipa like double double

zomba and zomba like this.

 
Mkuu, sasa huu umbumbumbu wako unaeneza ili iweje?

Nani hajui kuwa Zitto ajatimiza kigezo cha umri kama ambavyo rasimu ya katiba imependekeza?

Vile hakuna pingamizi kutoka kwenye vyama vya siasa na kwengineko kuhusu mapendekezo ya umri wa kugombea urais.

Zitto sio target acha kujidanganya.

Umesema RASIMU YA KATIBA na sio KATIBA, wewe MBUMBUMBU hujui kuwa yaliyomo kwenye rasimu yanaweza kubadilika?? :A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
 
WanaJF!

Dhana hii ya kuwajibika na kuwajibishwa imekuwa ikielekezwa upande mmoja tu, nako ni CCM na serikali yake. Tena mara kwa mara mashinikizo yamekuwa yakitokea CHADEMA, kuwa serikali iwawajibishe viongozi wenye kasoro.

Lakini kama ilivyo ada, CHADEMA imesahau kwa makusudi kabisa katika kuwawajibisha viongozi wake hasa wale wenye muelekeo wa kukichafua chama.

Kwa mfululizo wa matukio haya yaliyo muandama Dr Slaa, kama CHADEMA kingekuwa chama makini basi kingemchukulia hatua Dr Slaa za kinidhamu kwa lengo la kulinda hadhi ya chama.

Mfululizo wa matukio yenyewe ni kama ifuatavyo;

1. TUHUMA YA KUKWAPUA MKE WA MTU. Hii tuhuma sio tu kwamba imemchafua Dr Slaa na Josephine, bali imechafua CHADEMA kwa kiasi kikubwa sana mbele ya jamii ya watu wenye heshima na wastaarabu.

2. TUHUMA YA KUMPA JOSEPHINE MAMLAKA NDANI YA CHADEMA. Hii pia imeshusha heshima ya CHADEMA kwani watanzania kwa sasa wanaona CHADEMA ni kama chama cha familia.

Haiwezekani mchumba wa katibu mkuu kupewa fedha za chama kwa ajili ya ziara za mikoani. Josephine ni nani mpaka akakague uhai wa chama mikoani?

3. TUHUMA YA KUJIKOPESHA FEDHA YA CHAMA. Hii tuhuma tangu imetolewa haijawahi kupatiwa maelezo, zaidi ya kupiga piga chenga. Hali iliyo pelekea CHADEMA kuonekana kama sio chama cha siasa bali ni 'saccoss' ya watu wachache.

Kwa tuhuma hizo na nyingine nyingi dhidi ya Dr Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA, ingekuwa ni vyema kama chama kingechukua hatua za kinidhamu dhidi yake, hata kwa kumuondoa kwenye nafasi hiyo ili chama kiweze kurejesha hadhi yake kwenye jamii, ambayo kimsingi kwa sasa hadhi ya CHADEMA imeshuka sana kutokana na matukio haya ya aibu.
kwa point hizo ndivyo mnavyoendelea kuonyesha kwamba hamna hoja zenye tija na mnazidi kuidhalilisha ccm na kuonyesha wazi kwamba mmechoka kimawazo. point hiyo haina tofauti ya yule kiongozi wenu aliyekuwa anawaambia wapiga kura wa Arusha eti watu waichague ccm kwa kuwa rangi ya bendera yake ni kijani na miti yote dunia nzima ina rangi ya kijani wakamcheka sana lakini hakutambua kosa lake,yeye watu walipocheka akaona kwamba wamemuunga mkono
 
Lukolo,

Mishahara ya serikali? CHADEMA inatengenezeza hela zake yenyewe? wewe hujui kwamba serikali hiyo hiyo inatoa kiasi cha Tshs. 200 milion kila mwezi?

Ndio maana uwa mnakuwa wakali eti kwanini tunaongelea CDM, basi jibu umeshapata. CDM inapokea pesa za walipa kodi kwa namna ya ruzuku, mimi kama mlipa kodi nipo concern na huyo anaepewa pesa ya serikali.

Dr Slaa ni kiongozi wa kitaifa kwa sasa, mimi nina ndugu na jamaa ambao ni wanachama wa CDM lakini sauti zao haziwezi kusikika ingawa tuhuma dhidi ya Dr Slaa wamezisikia na wamekiri zinashusha hadhi ya chama. Kwanini mimi mwenye uwezo wa kuwika nisiwike kwa ajili yao?

Kama ulitaka ufanye siri basi ndio hivyo tena.

Wewe ni mlipa kodi kweli!!? Hujafanania walipa kodi, wewe utakuwa mmojawapo wa wanahisa wa ile kampuni inayoongoza kwa kukwepa kodi (Nyumbani Shopping Center)
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, wewe una kompyuta na keyboard yako ipo sawa, kwanini usianzishe thread kuhusu mada ulizozitaja?

Mimi nachofahamu wahusika wote wenye hizo tuhuma walijiuzuru, sasa niweke thread ya nini?

Huyu Dr Slaa ambae mpaka sasa ni katibu mkuu wa CDM ingawa tuhuma kibao zina mkabili ndio yapaswa kuhoji!


Mkuu, ebu tuweke unafki na uzandiki pembeni. Ni watuhumiwa wepi na kwenye kashfa ipi WALIOJIUZURU? Wale mliowapa mda wa kujivua magamba? Walijivua?

#Tafadhali , nijibu hilo#

Umepewa ushauri mzuri. Jenga chama chako. Sidhani km utakuwa sahihi kwa kudhania kwamba ccm imara na thabiti itajengwa kwa kuibomoa CHADEMA.

Trust me <nishawahi kukwambia na leo nakuambia>,

* Hata itokee jamii ya Tanzania tukakubaliana na propaganda zako ambazo nathubutu kuziita teta ama za kitoto, haiwezi kuwa ticket ya chama chako kukubalika tena. TUMEWACHOKA NA HATUWATAKI

*Ni maoni yangu pia, kwako na wana-ccm wenzio, pray hard CHADEMA kisisaliti jamii ya waTanzania tuliokiamini kwa sababu sidhani km tutakuwa na muda wa kuamini chama kingine kwa miaka kadhaa. Ni ndani ya hiyo miaka kadhaa, u know what will happen,( NI/U/TU/ )TAHITAJI KUJIONGOZA. Hapo Tanzania haitokuwa salama tena, kwako, kwangu na kwetu pia kiujumla.

But hali itakuwa mbaya zaidi kwa watu jamii yako. Wasaliti, wanyonyaji, wezi wa mali za umma na kila aina ya majina mnayostahili kuitwa. Hamtokuwa na sehem ya kujificha. Mbele ya macho ya waTanzania tuloumia kwa udhalimu wenu. Hakika itakuwa ni kilio na kusaga meno kwenu.

Mungu bariki Tanzania.
 
Toka kwa kada wa CCM

attachment.php


Ndicho anachofanyia kazi hamy-D kwa sasa.
 
Toka kwa kada wa CCM

attachment.php


Ndicho anachofanyia kazi hamy-D kwa sasa.
Kwa kweli naona ni OPERATION CHAOS kabisa.

But it is interesting to evaluate whether there is THE CHAOS EFFECT of this very operation on CCM itself.
 
Lukolo,

Mishahara ya serikali? CHADEMA inatengenezeza hela zake yenyewe? wewe hujui kwamba serikali hiyo hiyo inatoa kiasi cha Tshs. 200 milion kila mwezi?

Ndio maana uwa mnakuwa wakali eti kwanini tunaongelea CDM, basi jibu umeshapata. CDM inapokea pesa za walipa kodi kwa namna ya ruzuku, mimi kama mlipa kodi nipo concern na huyo anaepewa pesa ya serikali.

Dr Slaa ni kiongozi wa kitaifa kwa sasa, mimi nina ndugu na jamaa ambao ni wanachama wa CDM lakini sauti zao haziwezi kusikika ingawa tuhuma dhidi ya Dr Slaa wamezisikia na wamekiri zinashusha hadhi ya chama. Kwanini mimi mwenye uwezo wa kuwika nisiwike kwa ajili yao?

Kama ulitaka ufanye siri basi ndio hivyo tena.
Wewe HAMY-D acha mbwembwe, kama ni ruzuku vinapewa vyama vyote vya siasa ikiwemo na CCM mbona sisi hatuulizi juu ya utendaji wa CCM? Na kwanini usihoji utendaji wa CUF ambayo inazidi kupoteza mwelekeo hivi sasa au utendaji wa TLP ambayo mtu mmoja ndiye ameshikilia chama? Kwani wewe umeiona CHADEMA tu? Kwanini usiihangaikie CCM ambayo inazidi kuporomoka hivi sasa?

Ninachoelewa mimi kama ni suala la hela, kuna maodita wa serikali wanaoditi hizi hela. Sasa nikuulize wewe ulishawahi kuona report chafu ya matumizi ya hela za chadema? Kama maodita wenu hawajaona hayo matumizi mabaya ya pesa ya serikali, wewe umetoa wapi huo uwezo wa kuhoji hayo?
 
  • Thanks
Reactions: Pai
Mchukulie kwanza hatu yule mbaka wanafunzi, ukimaliza hapo nenda kwa Lowassa kwa kuzaa na yule mkosa ubunge wa Arusha mjini, ukimaliza uende kwa Mwigulu kwa kuzini wakati ana mke wake, halafu husisahau kupitia kwa Sitta maana alinyanyasa yule mke wake wa ndoa mpaka mauti yanamfikia, halafu husisahau yule aliyetoka kufiwa na kajukuu kake mitaani kwetu. pia pitia kwa "theki yuu vere machi, muulize wale watoto babao ni nani pia muulize na mama yake na Nape atwambie nani baba wa Nape.. list ni ndefu ukishamaliza hao njoo kwa Dk Slaa.
Hayo ndio majibu ya wenye akili za kushikiwa


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
ivi wewe mleta mada ulitaka dr slaa akuoe wewe mbona una muandama sana huyu mzee unampenda nini angalia ana mke huyo
 
slaa ni janga chdma. akiwa Israel na Josephine. akiwa na rose kamili aliekua akizini nae huku akiwa padri
 
Back
Top Bottom