Kuna sehemu vijijini wakienda watapigwa mawe.. Watu wana hasira dawa hazifiki,ela za maendeleo zimekuwa zikiliwa na wachache,.. JPM kaanza kutumbua majipu wanasimama bila aibu wakiongozwa na mzee wao mamvi,Lissu na wengine wanatetea majipu,Huo ndo upinzani?.. Watu hawadanganyiki tena,ndo maana mamvi alisema Upinzani ukishindwa 2015 itawachukua miaka 50 kuchukua nchi.. UKAWA bye bye
