CHADEMA kuwasha moto nchi nzima

CHADEMA kuwasha moto nchi nzima

Haahaaha Chadema wanakumbuka shuka asubuhi kumekucha na makucha yake.. Hapa kazi tu
 
Sasa hivi wamekosa sera,wamebaki kupinga kila kitu,muda sio mrefu wataanza kuishi Kwa kutegemea matukio,. Ndo maana wanakomalia sukari,Hata walipoambiwa imeletwa Jana wanasema sio kweli.,ili wazunguke nchi nzima kuongelea kitu ka sukari.. UKAWA gone with the wind
 
Chadema achaneni na siasa za matukio jengeni chama chenu, kwa hiyo sasa hivi mnataka kutoka na single ya sugar.

Teh teh teh
 
Chadema hongereni, maana nyie ndio chombo pekee cha kuikosoa serekali na pia nyie ndio chombo cha kuusemea umma. Chadema ni Bunge la wananch
 
Wastage of resources eti waanike ukweli kuhusu sukari sijui uchaguzi oooh bunge poor people. badilisheni strategy zile zama za kudanganya wabongo zishapitwa na wakati
akili za lumumba ambapo ndo amefikia ukomo wa kufikiria
 


Piga ua CCM ndiye baba, CCM ndiye mama; hakuna mtu atakayejimilikishia chama huo msimamo auhami leo wala kesho kwa maslahi mapana na atakaye amini vinginevyo atapigwa tu awe nani (hiki sio chama cha mtu au group, bali chama cha watu).
 
Mbowe atutolee video ya shambulizi la bomu kwenye mkutano wa chadema alilodai kua lilifanywa na polisi kule Arusha.

Kama hana basi atafute namna ya kujijipima kwa kuudanganya umma .
 
Mbowe atutolee video ya shambulizi la bomu kwenye mkutano wa chadema alilodai kua lilifanywa na polisi kule Arusha.

Kama hana basi atafute namna ya kujijipima kwa kuudanganya umma .
Aitoe wapi CCM oyee
 
Hivi kesi ya Lugumi imeishia wapi??
Nitakupa mfano wa kuku........
Ukimfungulia kwenye banda,utamrushia punje ataidaka,ukirusha nyingine ataiacha hii na kuifuata ile......ndivyo tulivyo kwa sasa tupo kwenye sukari.halafu baadae tutaingie kwenye issue nyingine kadiri tutakavyo jaaliwa.
 
Chadema wakae chini wabadilishe mfumo wa chama hicho ndo cha muhimu
 
Wajiandae kwa kipigo pia cha polisi, maana hakuna namna zaidi ya kuwaadabisha iwapo wataleta uchochezi wa kutaka kuvuruga amani yetu
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.

Chanzo - Mwananchi .

WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari , Ajenda ya KATIBA YA WARIOBA na TUME HURU YA UCHAGUZI vishikiwe bango .

Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Hakuna jipya hapo
 
Aitoe wapi CCM oyee
Wenzio akina kisena , lugumi etc wanapiga hela za bure , wewe masikini wa Mungu umebaki kuvishwa fulana za kiwango cha chini kutoka jamhuri ya watu wa china ! Unatumikishwa bila hata kujua .
 
Nawatakia kila la kher wanachama wote wa chadema na Nina iman tutapokea wanachama Wengi sana kutoka ccm. Mungu ibariki chadema, Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom