CHADEMA kuwasha moto nchi nzima

CHADEMA kuwasha moto nchi nzima

Hii inaweza kuwa strategy ya kujenga chama au kukimakizia kabisa!!
Sipati picha wananchi wakiwazomea kwa kuwatetea mafisadi!
Hapo ndipo mtajua Lowasa ni asset au liability!!!
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
 
Ikumbukwe kwamba chai ndio kinywaji namba 2 ambacho masikini anaweza kukimudu , kupiga marufuku sukari kutoka nje wakati hatuna sukari ya kutosha ni kulazimisha umaarufu wa bure .
tunakaribia kunywa chai na pipi sahiv
 
"chadema hatutaki siasa za matukio"-by dr mashinji.
 
Chonde Chonde. Katiba mpya ndilo suala la msingi jamani. Watto wetu wataishije????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Nimetupia jicho kikaratasi cha Mashinji hiyo imo mkuu , shaka ondoa .
 
Siasa ni uhai , na njia pekee ya kuachana na uhai ni kifo , je uko tayari kujinyonga ?

Maji ni Uhai, nani alikuambia siasa ni uhai? huko nyuma watu waliishi bila siasa unawazungumziaje .
 
Kuna uzi humuhumu jf ulithibitisha waliojitokeza kupiga kura march 20 ni 58, 750 unguja na pemba , hiyo 299,000 ilitoka mfukoni mwa MTUKUFU SALIM JECHA .
Hata mimi niliuona lakini kuna watanzania wengine ambao ndiyo wengi zaidi hawakuuona huo uzi, tuliomo humu ni wachache sana
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.

Chanzo - Mwananchi .

WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari .

Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Chadema miaka 20 wanakemea mafisadi leo ndio watetezi wao wakubwa. Chama hakina mwelekeo chama kinaongozwa na watu watatu hakina demokrasia ndio maana niliondoka
 
Moto uliowashwa na cdm kufikia uchaguzi uliopita ulitutisha wengi. Mmoja tu hakutishika nao na kuuita moto wa mabua. Ni Kikwete. Nasubiria moto utakaowashwa safari hii ataubatiza moto wa aina gani.
 
Mashinji anatafuta travelling allowance hakuna kitu hapa Hana vision wala strategy anacopy vya Slaa ak Dr Mihogo.
Ajenge nguvu ya hoja sio hoja za nguvu ambazo ni mambo ya msimu.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.

Chanzo - Mwananchi .

WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari .

Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Ukawa hakuna mvuto tena, maana kama mmeshindwa kumuunga rais Magufuli katika kupambana na ufisadi mkabaki kuwatetea. hakuna mwananchi yoyote atakae wasupport zaidi ya wapiga viroba.
 
Mizuka ya Lumumba itaanza kuweweseka sasa maana wanafikiri Magufuli kamaliza kazi kumbe lengo la Chama chochote cha siasa ni kushika dola. Kupenda Chama ni kama kupenda dini
 
Back
Top Bottom