Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,664
- 272,496
- Thread starter
- #21
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .Hii inaweza kuwa strategy ya kujenga chama au kukimakizia kabisa!!
Sipati picha wananchi wakiwazomea kwa kuwatetea mafisadi!
Hapo ndipo mtajua Lowasa ni asset au liability!!!