Dah... nani kapiga marufuku?Ikumbukwe kwamba chai ndio kinywaji namba 2 ambacho masikini anaweza kukimudu , kupiga marufuku sukari kutoka nje wakati hatuna sukari ya kutosha ni kulazimisha umaarufu wa bure .

Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.
Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.
Chanzo - Mwananchi .
WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari .
Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Kwa akili yako suala la sukari bado ni mongwa? Kweli kazo ipo nchi hii kwani watu hawafuatilii matulio.Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.
Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.
Chanzo - Mwananchi .
WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari .
Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Nashauri wajikite vijijin mikutano yao ili wajulikane zaidi. Mjin hakuna noma muda huuChama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.
Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.
Chanzo - Mwananchi .
WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari .
Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Acheni kwenda na matukio, vipi kama swala la sukari litakuwa limekawa sawa hadi Juni, je mikutano hiyo itumike kufanya nini?Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.
Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.
Chanzo - Mwananchi .
WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari .
Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Chadema ni maigizo na SACCOS ya wajanja wachache, wengi wanafikiri chadema wanaweza kuleta maisha bora.. Kitu ambacho hakipo kabsaMoto uliowashwa na cdm kufikia uchaguzi uliopita ulitutisha wengi. Mmoja tu hakutishika nao na kuuita moto wa mabua. Ni Kikwete. Nasubiria moto utakaowashwa safari hii ataubatiza moto wa aina gani. Je aliyedai ccm imeishiwa pumzi atakuwepo? Au ndo yeye kaishiwa pumzi? Na comedian Duni Haji atakuwepo? Au ndo kaishia mazima? Tunawasubiri tuwashangae.
HIVI HILI GENGE BADO LINA EXIST! kambare katika ubora wao!Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.
Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.
Chanzo - Mwananchi .
WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari .
Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Ulitia shaka bure tu , ccm haijawahi kubadilika na wala haitakuja kubadilika .niwe mkweli:
a)mimi kama mwanasiasa,nasema magufuli alikuwa na pigo la mwisho la kuiua ukawa na hasa chadema,ila ameremba sana,mwishowe alipo amua kuwa piga chadema wamekwepa na juni wanaanza kuinuka!
b)niwe,mkweli upinzani ulikuwa mahuti,iliktwa ni kazi kidogo ya magufuli,kuuchomoa mpira oksijeni na hivyo kuwa futilia mbali upinzani,ila mpira ummeteleza wakati anauvuta na mgonjwa kazinduka na juni anaanza kukimbia tz nzima!
c)isinge kuwa sukari,upinzani nguvu hii wangeitoa wapi?
d)hivi isingekuwa blunder la nape,upinzani wangeongea nini?
e)isingekuwa lugumi,egma,kesi ya kitlya and others,upinzani ungekuma historia!
Magufuli Ameichezea SARAFU,ACHA IDONDOKEE CHOONI!
MPAKA TAREHE 27/02/16 UKAWA WALISHA POTEANA!LUGUMI,WANANCHI HAIWAGUSI MOJA KWA MOJA,ILA 28/02/16 MPAKA LEO,NDIO IMEWAPA NGUVU UKAWA,KWANI SUKARI IMEMUGUSA HATA MPIKA GONGO...
Magufuli:Jilaumu Mwenyewe!