shokolo kobangashee
Member
- Apr 19, 2016
- 49
- 13
hilo ndo la maana , watuambie mafisadi ni akina nani?Watuambie kwa nini Lowassa si fisadi.
hilo ndo la maana , watuambie mafisadi ni akina nani?Watuambie kwa nini Lowassa si fisadi.
Uchaguzi ushapita kama mmesusa sawa, hakuna liloharibika ni mpaka 2020!!!!!! nchi lazima ikabidhiwe kwa the right political party. Serikali ya SUK haikujali minority yaani haikuwa ya haki sawa kwa wote kama mnavyoimba, lakini ya sasa imefanya mazuri,Uchaguzi unaotambulika duniani ni ule wa octoba 25 , ule mwingine uliohusisha AK - 47 na Manowari za kivita hautambuliki .
Miezi 6 ni muda mfupi sana. Mpk sasa JPM anajenga nidhamu serikalini. Bajeti yake ya kwanza ikishapitishwa. Ndipo tuanze kuangalia wapi wanakosea.Unaogopa nini wakati miezi 6 imeisha kukiwa hakuna lolote ?
![]()
![]()
ili?
Mioto mingapi imewashwa na hakuna lolote,ndio kwanza mnachukua mafisadiSubiri moto uwashwe kudadeki ! Hapo ndio utaitambua chadema ni nini ?
Subiri june ifike basi .Mioto mingapi imewashwa na hakuna lolote,ndio kwanza mnachukua mafisadi
Tumechoka na siasa za matukio,pangeni jambo lingine ili mtoke
Moto wa mabua huo kamanda mnaharibu tu ruzukuSubiri june ifike basi .
Unawaza nini mkuuHivi ile sheria ya kuweka ukomo wa shughuli za kisiasa bado haijatungwa tu?
Acha hilo kwa kina flani ni jinamizi hawataki hata kulisikia hivi wanaomba siku ziende Watanzania wasahau.Chonde Chonde. Katiba mpya ndilo suala la msingi jamani. Watto wetu wataishije
Hivi Lowassa anahudhuria vikao vya kamati kuu au halmashauri kuu ya Chadema kama nani? Au ni mmiliki wa chama?Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinatarajia kuanza mikutano ya hadhara na ya ndani nchi nzima ili kujenga na kuinua uhai wake kuanzia juni mwaka huu.
Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh Daktari Vicent Mashinji alipoongea na waandishi wa habari jiji Dar es salaam.
Chanzo - Mwananchi .
WITO - ni vema CHADEMA ikatumia mikutano hiyo Kuanika ukweli wote kuhusiana na sakata la sukari , Ajenda ya KATIBA YA WARIOBA na TUME HURU YA UCHAGUZI vishikiwe bango .
Mungu ibariki CHADEMA , Mungu ibariki UKAWA .
Chadema hakuna aliyesusa .Wafanye tu ili tujue uwezo wa Mashinji kuunganisha chama.
Hivi Salim Mwalimu na Mnyika wapo? Au wamemsusia Mashinji
Chama cha siasa ni mabarabarani na majukwaani - Jk Nyerere .mimi bado na shida na siasa ya vyama vyetu bila kujali ni chama gani ni kama chadema kupeleka mamia ya mamilion kwenye uchaguzi wa marudio wa CHALINZE ccm kupeleka mamilioni kwenye uchaguzi wa marudio wa ARUMERU way back .kuna vyama hawana hata makao makuu ya office wamepanga unaenda kutumia milion mia kadhaa sehemu ambayo unajua haushindi ?
Ni jambo nalifuatilia sana sipati sioni mantiki ya wanasiasa kusema wanajali raia
To be Honest...CHADEMA ishatuchosha
Ndio agenda yenu hiyo? Pole sana. Hivi unajua mtu anapopendwa?! Unajua wananchi wanajua kabisa wanajua nia nzuri ya Rais na nia chafu ya wafanya biashara. Sasa badala ya kuwalaumu wafanyabiashara mnataka eti kusambaza sumu kuwa serekali ndio imesababisha. Watanzania wa leo sio wa jana ndio manana wabunge wanawake huko wanahangaikai suala la baby!!!! Can you imagine. What type of wabunge we have jamani .Siku nzima wanapoteza muda na kodi zetu kwa suala la kitotoeti la baby. My Goid they are not serious! Kuna issue kubwa sana za kina mama. wanawake wangapi wanafariki kwa uzazi eti wanawake wanatoka bungeni kisa baby. Hopeless kabisa. na katiba ijayao tunataka ipige marufuku Wabunge wa kuteuliwa wanawake! Or else kuwe na interview watu waende kwa vigezo na sio ki-baby.Kodi zetu zinapotea tu bure!Enough is enough!Ikumbukwe kwamba chai ndio kinywaji namba 2 ambacho masikini anaweza kukimudu , kupiga marufuku sukari kutoka nje wakati hatuna sukari ya kutosha ni kulazimisha umaarufu wa bure .