Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,533
- 1,936
mkuu hivi lile jengo pale ufipa la nan? isije kuwa la mmoja wa viongozi jamaa huwa anavuta pesa kila mwezi? halafu walisivyo na aibu wakapanga tena mbele , halafu leo wanakuja na swaga za kuwasha moto,...mimi bado na shida na siasa ya vyama vyetu bila kujali ni chama gani ni kama chadema kupeleka mamia ya mamilion kwenye uchaguzi wa marudio wa CHALINZE ccm kupeleka mamilioni kwenye uchaguzi wa marudio wa ARUMERU way back .kuna vyama hawana hata makao makuu ya office wamepanga unaenda kutumia milion mia kadhaa sehemu ambayo unajua haushindi ?
Ni jambo nalifuatilia sana sipati sioni mantiki ya wanasiasa kusema wanajali raia
siasa za mpira hzo waache....
na jambo ambalo najiuliza mpaka leo, edo wanamualika kwenye mkutano kama mwenyekiti, mjumbe, au mgombea wa cdm? kwel pesa yake iliwavuluga kabisa..
rejeen maneno ya duni mtaijua cdm ipoje....