Mpaka ninayejua ameondoka kwa maandalizi ya mashambulizi ya Iringa ni Mbunge wa Iringa. Lakini subiri.poa kaka kwani huyo bwa mdogo namjua ni jembe sana,ningependa nimsikilize ana lipi jipya na anatuambiaje cc vjana wenzie kuhusu magamba ukizingatia kabla ya kuja huku wa majembe sie alikuwa huko
CDM ina vichwa vingi sana, hivi tu tumeshatoka kuvua gamba mtu mkubwa wa CCM hapa Morogoro. Sijui kama Muda utatosha. Yaani kuna watu wengi wa CCM wanarudisha mikadi ya gambaz.aaaaaaah,mchungaji msigwa,daaaaa,kitawaka mjini,jamaa anaongea kwa points vibaya,magamba yameshikwa vibaya,magari yenye machata ya M4C yanawachanganya sana hapa mjini,cjui mbunge wao abood atakuwa na hali gani
Kesho tarehe 27 August 2012, Jumatatu, saa tano na kuendelea, tutaanza kwa maandamano, halafu mkutano mkubwa. Umenielewa mkuu.
Mtu asipokua makini hatoweza kwenda sambamba na JF.
Leo kwa mara ya kwanza Magamba walikuwa wanakula kona hata wakiona skafu CDM tu. Jamani sisi si wagomvi, nimeshangaa sana.People power ni kubwa kuliko sisi wachache tunaochapa jalamba katika mitandao; hali ni tete kabisa kwa magamba sio kawaida; they are fully locked up
Usiwe na shaka, niko front kinoma. Liwalo na Liwe.
Kumekucha, tuendelee kujuzana yanayojili.
Hapa najiandaa kwenye Msamvu kwa maandamano japo habari zilizopo ni kuwa maandamano yamepigwa marufuku.....nitawajuza yatakayojiri. Picha mnielekeze tu jinsi ya kutupia camera inachargiwa hapa. Hakika hamasa ni kubwa mno .......Abood leo ndio atajua kuwa M4C ni nomaa