CHADEMA Kutingisha Morogoro

CHADEMA Kutingisha Morogoro

Hali inaonyesha kuwa vijana wengi na wazeee hasa wale waliokuwa vyama vya CCM na CUF wamehama vyama hivyo na kukiunga mkono CDM. Mfano mmoja wapo ni pale Tawi moja wapo lililokuwa na washabiki wa chama cha CUF karibu na BUSH BAR...SUA ROAD limebadilika na kuwa CDM.kama upo morogoro pita hapo utaona mwenyewe. Pia kwa mjibu wa kijana mmoja hivi yeye anakaa chamwino anadai kuwa nyumbani kwao kulikuwa na shina la CCM..hivo shina hilo nalo limebadilika na kuwa CDM. Jamani haya ni maneno ya kweli...Ngome ya CCM sasa inakwenda alijojo.....nawakilisha.
 
Bado sasa waje TABORA maana huku kuna Kichwa Ngumu.

Igunga walipata shule na wameshabadilika na sasa nina imani ndiyo itakuwa zaidi.

Wameshaamini kuwa WANAWEZA KUISHI BILA CCM.

SIKONGE inaita, SIKONGE inaita, M4C mpo wapi?
 
Dah, kiukweli kama madabiriko ndio yanakuja baasi neema hii njiani kuwajia wa Tanzania wenzangu, maana me huwa najiuliza kila baada ya chaguzi kwanini watu waamekuwa wanafiki maana kwenye vikao vya kampeni wanajaa hadi unaogopa lakini kwenye kura kiduchu je hawa watu hawana sifa za kupiga kura au ndio wanatunafikia wengine tulio kweli.
 
Magari ya M4C ndio yanazunguka Moro mjini yakitangaza utaratibu mzima, M Kiti Mbowe, Katibu Dr Silaa na wabunge wengi watakuwepo.
 
Mkuu
Mazishi ya CCM hapo Moro ni kesho au leo??
Magari ya M4C ndio yanazunguka Moro mjini yakitangaza utaratibu mzima, M Kiti Mbowe, Katibu Dr Silaa na wabunge wengi watakuwepo.
 
I wish I were in Morogoro this time.....Siku wakifika kwetu, shangwe kweli.....M4C Karibuni Mpanda, tunaisubiri hiyo siku kwa hamu kweli....Tumemiss kweli Kamanda Mbowe na Dr wa Ukweli....Peter Silaa. M4C for LIFE....
 
Magari ya M4C ndio yanazunguka Moro mjini yakitangaza utaratibu mzima, M Kiti Mbowe, Katibu Dr Silaa na wabunge wengi watakuwepo.
2wekane sawa mkuu Mbowe cyuko USA kwa hyo 2moro atakuepo 2juze mkuu
 
Duhh hii sijawahi kuona. Heri watuletee matumaini. Tumekata tamaa kabisa.

hakuna ugonjwa na kosa kubwa kama kukata tamaa pigana kwa kiasi na wajibu wako utakapoishia wengine wataendeleza wazee wetu walipigana na wakoloni wao wakitumia mawe mikuki na mishale wakoloni wakituimia bunduki na zana nzuri zaidi lakini hawakukata tamaa ndio maana tukapata uhuru wa kwanza sasa huu wa pili wa kumuondoa mkoloni katili zaidi CCM usikate tamaa pambana kitaeleweka tuu!!
 
Bado sasa waje TABORA maana huku kuna Kichwa Ngumu.

Igunga walipata shule na wameshabadilika na sasa nina imani ndiyo itakuwa zaidi.

Wameshaamini kuwa WANAWEZA KUISHI BILA CCM.

SIKONGE inaita, SIKONGE inaita, M4C mpo wapi?

M4C inatakiwa ianze ngazi za shina hivo nyie mlio Tabora anzisheni kuwapasha moto wananchi na kuwaelimisha taratibu ili viongozi wa kitaifa wakifika wakute mpo mmeiva sasa mkikaa tu mnasubiria viongozi wa kitaifa ni kosa anzeni sasa kulianzisha hilo M4C viongozi wa kata wilaya na mkoa jipangeni kuhamasisha namna hiyo ndio sera zitawaingia moyoni lakini wengine wakisikia slaa au mbowe au makamanda wengine wanakuja nao hufuata upepo tu wakiondoka yanaishia hapo!! jengeni msingi toka nyumba kumikumi hata ngazi za familia!!
 
2wekane sawa mkuu Mbowe cyuko USA kwa hyo 2moro atakuepo 2juze mkuu
Hakika Mbowe atakuwepo Morogoro, pasina shaka yeyote. Na helikopta itatinga Moro kuwasalimia wajukuu wa Chief Kingalu. Kumbuka Mtoto wa Kingalu alivyonyanyaswa na vijana wa TANU. Huu Mkutano utarudisha heshima ya Chief Patric Kunambi (RIP). Morogoro inakomboka sasa.
 
hakuna ugonjwa na kosa kubwa kama kukata tamaa pigana kwa kiasi na wajibu wako utakapoishia wengine wataendeleza wazee wetu walipigana na wakoloni wao wakitumia mawe mikuki na mishale wakoloni wakituimia bunduki na zana nzuri zaidi lakini hawakukata tamaa ndio maana tukapata uhuru wa kwanza sasa huu wa pili wa kumuondoa mkoloni katili zaidi CCM usikate tamaa pambana kitaeleweka tuu!!
Usiwe na shaka, niko front kinoma. Liwalo na Liwe.
 
Dah, kiukweli kama madabiriko ndio yanakuja baasi neema hii njiani kuwajia wa Tanzania wenzangu, maana me huwa najiuliza kila baada ya chaguzi kwanini watu waamekuwa wanafiki maana kwenye vikao vya kampeni wanajaa hadi unaogopa lakini kwenye kura kiduchu je hawa watu hawana sifa za kupiga kura au ndio wanatunafikia wengine tulio kweli.
Tunawawahi kable ya kuboresha daftari la kupiga kura. Lazima CCM wapegwe bao la kisigino.
 
Watu wanaweza wasitokee wengi maana wanaogopa kupigwa risasi na bunduki ambayo haijasajiliwa.
Hizo bunduki kama kweli zipo hawawezi kizitumia Moro, Maana watakuwa ni majambazi tu. na unajua majambazi hufanywa nini. Afadhali hata Mabwegamba.
 
Hizo bunduki kama kweli zipo hawawezi kizitumia Moro, Maana watakuwa ni majambazi tu. na unajua majambazi hufanywa nini. Afadhali hata Mabwegamba.

Wanataka mkongoto wa ffu. hawana upande hao. Watuache tufanye mkutano wetu kwa amani.
 
Back
Top Bottom