Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,050
- 656
Nami nawaletea live si muda mrefu kutokea sasa.
Wapi hapo bado nahaa hapa
Nami nawaletea live si muda mrefu kutokea sasa.
Ngoja niende kutafuta vikao sasa vilipo nitawajuaza yanayojiri....maana sisi ndio wadau wa Moro! au kama kuna mwenye taarifa kwasasa wapo wapi ili nisiunguze mafuta.
mpotezee huyo si level yako.Hao ni wale waliovimbiwa dawa yao iko jikoni.Usijadiliane na mtu asiyejuwa mjadala ni wastage of time.Mpotezee dada-shemeji.You might be the definition of 'mnafiki'
unajua hiyo? jmushi1, njoo kaka-shemeji, i dont want stalkers!
mpotezee huyo si level yako.Hao ni wale waliovimbiwa dawa yao iko jikoni.Usijadiliane na mtu asiyejuwa mjadala ni wastage of time.Mpotezee dada-shemeji.
Nafikiri uko sawa kaka-shemeji. Huyu anatafuta umaarufu kwa kupitia mgongo wangu (source: wema sepetu).
natumaini uko na wknd nzuri. Msalimie nanihii.
Nafikiri uko sawa kaka-shemeji. Huyu anatafuta umaarufu kwa kupitia mgongo wangu (source: wema sepetu).
natumaini uko na wknd nzuri. Msalimie nanihii.
Wewe una umaarufu gani humu JF mie nitafute umaarufu kwako kweli kauzu ni zaidi ya dagaa...kwanza mie na wewe wapi na wapi.
"Ficha Upumbavu wako" Source Ivizibo.
Kweli hastahili.Salam zimefika.Na wewe fikisha za kwangu kwa uwapendao...
Morogoro kaskasini kwa wachaga.
hilo umenena la msingi ila usihofu katika ukombozi mapambano ni lazima.watu wanaweza wasitokee wengi maana wanaogopa kupigwa risasi na bunduki ambayo haijasajiliwa.
Wao watakuja na vitisho, sisi tuna Mungu. Kama Gandhi, Mandela, Luther NK.hilo umenena la msingi ila usihofu katika ukombozi mapambano ni lazima.