NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,536
- 17,487
Ndio màana anapaswa arudi tuijadili Rasimu KWA pamoja tupate leverage ya katiba Mpya inayopaswa kupigiwa kura!!nimemsiliza lissu akisema hata hiyo rasimu ya warioba bado ina mapungufu mengi sana.bado inatoa mamlaka makubwa kwa rais katika kufanya mambo.