chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,012
- 20,685
Nimemfuatilia sana Upendo Peneza. Ni kiongozi anayetumia akili sana, na amekuwa tofauti na Chadema wengi wanaokurupuka.
Ni msomi wa haja, madigirii yamejaa kichwani, ana hekima kubwa sana.
Natamani mama ampe majukumu makubwa sana serikalini. Pamoja na hayo, kama anapenda siasa, apewe nafasi afanye siasa.
Ila ninamuona kama anapenda kazi za kitaalamu, sio mpenda makelele.
Taifa limechelewa kupata utumishi wake, ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
Ni msomi wa haja, madigirii yamejaa kichwani, ana hekima kubwa sana.
Natamani mama ampe majukumu makubwa sana serikalini. Pamoja na hayo, kama anapenda siasa, apewe nafasi afanye siasa.
Ila ninamuona kama anapenda kazi za kitaalamu, sio mpenda makelele.
Taifa limechelewa kupata utumishi wake, ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi.