CHADEMA Kususa Mwenge na sherehe za miaka 50 ya UHURU ni KUKOSA UZALENDO

Mwenge umeleta nini maji, umeme, elimu bora, tiba nzuri? Mnao fagilia mwenge mafisadi nyangumi na mapapa.
 
Hii inakupa picha ya wapi tunaenda
 

Attachments

  • GDB Growth.pdf
    417.5 KB · Views: 31
...kikwetu Mafilili maana yake makalio. Yaelekea nawe mtoa maada haufikirii kwa kutumia kichwa,bali unafikiri kwa kutumia makalio a.k.a. masaburi. Kuna faida gani kutumia mamilioni ya pesa za wananchi kukimbiza mwenge huku nchi ikiwa gizani bila umeme?
 
Waungana katika pitapita zangu nimegundua wana CDM hawafurahi TZ kusheherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Dalili zimejoinyesha;-

1. Viongozi wao katika ngazi zote kutoshiriki vikao vya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru
2. Viongozi wao kushindwa kushiriki kuukimbiza mwenge ulipofika katika maeneo yao; mfano Ubungo (mhe.Mnyika) na Kawe (mhe. Mdee ).
3. Wabunge wao wameshindwa kushiriki katika vikao vya maandalizi ya miak 50 ya uhuru pasipo kutoa udhuru.


Watanzania inabidi tutumia akili ya mbaimbawi tuwahukumu CDM katika masanduku ya kura kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2012 na tuwape kichapo kikubwa uchaguzi mkuu 2015. Hawa wamekosa uzalendo, wamebaki kushabikia sera za Mfadhili wao David Cameroon.
Wenge una faida gani kwa mtanzania? halafu ni miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bara au Tanganyika maana CCM hawataki kabisa kusikia jina Tanganyika sijui imekuwaje wewe umethubutu kuandika neno Tanganyika....
 
...kikwetu Mafilili maana yake makalio. Yaelekea nawe mtoa maada haufikirii kwa kutumia kichwa,bali unafikiri kwa kutumia makalio a.k.a. masaburi. Kuna faida gani kutumia mamilioni ya pesa za wananchi kukimbiza mwenge huku nchi ikiwa gizani bila umeme?
hahahahaa...mafilili yake yana muwasha...
 
Hii ni fursa pekee kwa watz kujiuliza, kutafakari pale tulipojikwa na kupata mkakati wa kitaifa, TUZIDI kusonga mbele.

Mwaka 1961, graduate walikuwa 12, leo wapo mitaani hawana idadi wengine wanatumika pasipo kujitambua kushiriki maandamano ya CDM; tuwe waungwana tujitambue maendeleo yamepatikana.

Leo watoka Mwanza hadi DSM siku moja.

UDOM ni ishara ya maendeleo katika elimu

Powertillers kwa wakulima walioingia katika KILIMO KWANZA

Wewe kweli hujui maana ya maendeleo ni nini?? Hivi hujui kuwa mwaka 1961 Tanzania ilikuwa Tajiri kuliko Malasiya. Leo hii tuko wapi?? Hiyo elimu ya kusoma na kuandika nayo ni elimu?? Kenya ilipata uhuru baada yetu kwa sasa utawalinganisha na sis kielimu?? Wanatoka magraduate ten quality mara 10 zaidi yetu!! Ukitaka ujue kipimo cha elimu yetu nenda kaangalie huko mtaani ni magazeti gani amabayo yanauzika sana ................ kama hutakuta ya kina Shigongo!!

Nchi iko gizani mwaka mzima, wanafunzi migomo kila siku mpaka private Universities wanaandamana halafu leo unatuambia tuapriciate maendeleo... maendeleo gani hayo?? Labda kijijini kwenu kama mliwahi kutoa rais au waziri!!
 
Majibu ya kuboresha miundombinu ya elimu yameshapatikana. Chenji za rada zinaenda kutatua matatizo ya elimu ikiwepo kununua madawati na ujenzi wa nyumba za walimu. Shime tujiunge pamoja watz tuondoe tofauti za vyama TWENDE KUSHEREKEA MIAKA 50 YA UHURU KUENZI kazi iliyofanywa na waasisi wa nchi!!!

ndiyo chanji imerudi, walimu wanadai bilion 40 na uchafu juu, kwenye hyo chenji imebaki sh. Ngapi acha upuuzi wewe ku2ropokea hapa.
 
Kwenye michezo tumesonga mbele:
Serikali ya CCM imefanikisha ujenzi wa Uwanja wa Taifa

Kili Stars inazidi kumeremeta!!!
 
Miaka hamsini ni kwako mkuu unayefaidi keki ya uhuru, sisi wengine bado tunatafuta uhuru wa kweli na si uhuru wa bendera! Haingilii akilini mnasherekea miaka hamsini ya uhuru huku umasikini, ujinga na maradhi vinazidi kutuundama na waandaaji wa sherehe hizo wanaficha uozo kwa kuupaka perfume!

Unakaa sehemu gani ya Tanzania wewe? CDM kutoenda ni haki kabisa, huwezi kupoteza billions of money wakati akina mama wanajifungulia chini, watoto wanakalia mawe, 12km kutoka magogoni hamna maji ya bomba, miundombinu duni na rasirimali za nchi zikiporwa eti mnasherekea miaka hamsini ya uhuru! Inabidi tuomboleze maana miaka hamsini ya uhuru taifa linazidi kujichimbia kaburi chini ya wakoloni weusi ccm! Heri yako usiyoyaona haya!

Kaka hapo kwenye red umenifuraisha sana mkuu, ukweli mtupu. mind yako ipo sawa kinoma.
 
Hii ni fursa pekee kwa watz kujiuliza, kutafakari pale tulipojikwa na kupata mkakati wa kitaifa, TUZIDI kusonga mbele.

Mwaka 1961, graduate walikuwa 12, leo wapo mitaani hawana idadi wengine wanatumika pasipo kujitambua kushiriki maandamano ya CDM; tuwe waungwana tujitambue maendeleo yamepatikana.

Leo watoka Mwanza hadi DSM siku moja.

UDOM ni ishara ya maendeleo katika elimu

Powertillers kwa wakulima walioingia katika KILIMO KWANZA


Zingatia kwenye RED.
Lakini kwa nini watanzania wahamasishwe kusherehekea miaka 50 ya KIFISADI? aaaa.. sorry UHURU? yangekuwa MAENDELEO yanaonekana watu wangehamasika wenyewe bali kutumia NGUVU/MATANGAZO yote haya.

Watz wamejiuliza wakatafakari wakaona hakuna haja ya kupoteza muda kwa sababu hakuna chochote TANGIBLE cha KUSHEREHEKEA kinacholingana na miaka hiyo 50. Na hawa ndio tunaowaona CDM wako right.

How come tulipata Uhuru tukiwa sawa ECONOMICALY na baadhi ya nchi za ASIA kama vile Malyasia, Singapore lkn leo TUKO WAPI?
Hicho ndicho Watz wengi tunachokiuliza, kwamba miaka 50 ya UFISAAAA......aah sorry UHURU hayalingani na MAENDELEO tulionayo. Leo hata SOUTH AFRICA na nchi zingine nyingi kama KENYA hatukalibiani nazo, halafu unasema nini?... wewe mtoto wa Fisaadi kweli.

Kuhusu graduates kuwa mitaani, kwanza acha kuwatukana/kututukana please, why. Kwanza graduates bado wako wachache sana ndg yangu kulinganisha na 50 yrs yako hiyo. Have u ever been in Nigeria o hata hapa Uganda ama Kenya tu.
For your information Nigeria graduates are almost everywhere in the Cities n Villages, hawa ndio wameitangaza NIGERIA MOVIE INDUSTRY duniani, bcoz inafanywa na Directors, Actors, Actresses mostly ni graduates na hata PhD holders......what about us TZ 50 yrs ni Equivalent na haya hapo juu.....pumbavu! So kwanini wasomi wasiungane na CDM kuandamana?


Ati Mwz Dsm siku moja, shenzi type hiyo Barabara si ndio imekamilika mwaka juzi tu na hata mikoa mingine bado haijawa conected na mikoa mingine?!! ....... 50 yrz tungetakiwa tuwe angalau na Fast o Electric trains.....basi hata uchumi ungekuwa mzuri basi tuafford ndege kwenda mikoani na hata hizo ndege zingekuwa nyingi tu ndg yangu.

Foleni tu zimetushinda aisee!....... halafu nenda Rwanda uone Mabasi yaendayo kwa kasi yaliyo shushwa hapa bandari yetu DSM du!

Ati UDOM... kwanza how many Lectuerers are there,... Profs?...kisha jiulize ni kwa nini? na jijibu mwenyewe kuwa nini CCM na MAFISADI wake na jiwekee TIKI KUBWA sana!
For these 50 yrs we were supposed to have a University in every Region/mkoa atleast....!

Then jiulize how many DOCTORS, LAWYERS do we have here in TZ compared with KENYA o UGANDA......why
Je sisi na hizi nchi wepi waliotangulia kupata UHURU? Leo Uganda wanao WALIMU tena GRADUATES in EXCESS! sio VodaFasta wa Tz.
Acha mbali RATIO ya Madaktari na Wanasheria.

We nae eti Powertillers, yapi haya? haujui mliingizwa mkenge na wafanya biashara, na hujui kuna maeneo mengi tu hapa Tz haya powertillers zenu feki HAZIWEZI KULIMA KABISA kulingana na ardhi husika? Kama wewe sio mkulima nenda huko kawasikilize,
Maeneo za Kanda ya Ziwa na za Nyanda za Juu haziwezi kupaform effectivelly kama maeneo machache ya nchi yenye udongo wa tifutifu kama vile Dodoma, Singida.

please ALWAYS THINK CRITICALLY.
 
Dont argue with fools bse people wil fail to distinguish who is a fool among them....wana jf huyu atataka watu tule ban ya maisha kwa hí post yake ya kic**p! Silence is a weapon guys!
 
Mwenge wa uhuru una manufaa gani kwetu sisi watanzania? Kama CHADEMA wameugomea nawaunga mkono..!
 
Hii ni fursa pekee kwa watz kujiuliza, kutafakari pale tulipojikwa na kupata mkakati wa kitaifa, TUZIDI kusonga mbele.

Mwaka 1961, graduate walikuwa 12, leo wapo mitaani hawana idadi wengine wanatumika pasipo kujitambua kushiriki maandamano ya CDM; tuwe waungwana tujitambue maendeleo yamepatikana.

Leo watoka Mwanza hadi DSM siku moja.

UDOM ni ishara ya maendeleo katika elimu

Powertillers kwa wakulima walioingia katika KILIMO KWANZA
Naona umejipanga kutojibu hoja!!!!!!!!!!!!!!
Unaulizwa hili unaeleza lile nani kasema hasafiri siku moja kutoka Mwanza mpaka Dar? Tungependa tusafiri kwa masaa machache zaidi na kutokuwa na ajali za kizembe kama ilivyo sasa.
Hatuhitaji kusimuliwa tena kwa sababu tunajua kila kitu kilichotokea vipo kwenye documents unaweza kugoogle ukasoma au ukaenda maktaba ukasoma pia tuna akili za kuevaluate mambo.
Tulitakiwa tuwe mbali sana lakini kutokana na rulling party kucheza mchezo mchafu hatujafika huko bado. kwahiyo acha kutufundisha kitu tunachokijua.
 
Kifupi ni kwamba tumewaambieni hivyo kesho msije sema hatukusema. Haya ni makosa makubwa kwa Chadema na hakika ni kama mnamtukana Nyerere ambaye nashindwa kuelewa kwa nini mnamsifia ikiwa jambo moja kubwa aloweza kufanikisha mnaliona halina maana.
 
maneno yako unaonyesha aidha ni mrundi ama una hasira za kukosa kuingia jumba la magogoni mwaka jana. Wewe kama ni mtz, utatembea kifua mbele kutokana na mafanikio ya miaka 50, sikulaumu sana kwa vile umri wako ni mdogo yaliyotokea baada uhuru huoni ni ya kujivunia.

Jaribu kukaa kitako na mama yako muulize kabla ya uhuru wao walizalishwa maeneo gani. Wewe hauna shukrani, umezaliwa zahanati, umeshoma shule ya msingi na sekondari bora.

Tujipongeze watz, tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele!!!

tumetia,tutatia na tutatia mbele.
 
Waungana katika pitapita zangu nimegundua wana CDM hawafurahi TZ kusheherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Dalili zimejoinyesha;-

1. Viongozi wao katika ngazi zote kutoshiriki vikao vya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru
2. Viongozi wao kushindwa kushiriki kuukimbiza mwenge ulipofika katika maeneo yao; mfano Ubungo (mhe.Mnyika) na Kawe (mhe. Mdee ).
3. Wabunge wao wameshindwa kushiriki katika vikao vya maandalizi ya miak 50 ya uhuru pasipo kutoa udhuru.


Watanzania inabidi tutumia akili ya mbaimbawi tuwahukumu CDM katika masanduku ya kura kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2012 na tuwape kichapo kikubwa uchaguzi mkuu 2015. Hawa wamekosa uzalendo, wamebaki kushabikia sera za Mfadhili wao David Cameroon.

Miaka haiitaji juhudi kufika ,hata mia inaweza fika lakini kusiwe na cha maana kusheherekea,
Ni sawa sawa na kujilazimisha kusheherekea div 4 kwa sababu mwenzio kapata zero,
 
dah! mwenge wenyewe unapolala huwa ndo maambukizi ya virusi vya ukimwi na watoto wasiokuwa na baba zao uongezeka, hivyo walichofanya chadema ni sahihi kabisa watanzania wenzangu tufunguke macho 2pinge upuuz huu.
 
Aliye leta hii hoja ANAKAMERUNIWA na wanao kesha kwenye huo mwenge kum.......
 
stupid, hivi 50 ndo nini? kwanini sio 70? kwani kuna malengo tulijiekea ili tujipime baada ya 50 yrs?. kwani nchi ikifika 50yrs ndo inahamia mars?
 
Back
Top Bottom