Unaweza ukadhani niko ndotoni lakini huo ndio ukweli, 2025 Chama kikuu Cha upinzani Chadema kina nafasi nzuri zaidi ya kushinda uchaguzi, kuliko chaguzi zote zilizopita,
Sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Joseph Magufuli ambaye wakati wa uongozi wake alijijenga yeye badala ya kuimarisha taasisi za Chama na Serikali yeye akawa ndiye Halfa na Omega kwenye Chama na Serikali.
Baada ya kifo chake wananchi wengi hawamuamini Rais Samia kutokana na uongozi wake kuwa shirikishi tofauti na mtangulizi wake ambaye alikuwa anaongoza nchi kibabe na kuwabana matajiri na wananchi wengi walitafsiri ubabe huo kuwa ndio uthabiti wa kiongozi.
Utafiti mdogo niliofanya unaonesha kati wa wananchi 10, wananchi 8 hawamkubali Mama Samia, Sasa CCM itashindaje uchaguzi.
CHADEMA jipangeni vizuri 2025 mtaingia Ikulu.
Sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Joseph Magufuli ambaye wakati wa uongozi wake alijijenga yeye badala ya kuimarisha taasisi za Chama na Serikali yeye akawa ndiye Halfa na Omega kwenye Chama na Serikali.
Baada ya kifo chake wananchi wengi hawamuamini Rais Samia kutokana na uongozi wake kuwa shirikishi tofauti na mtangulizi wake ambaye alikuwa anaongoza nchi kibabe na kuwabana matajiri na wananchi wengi walitafsiri ubabe huo kuwa ndio uthabiti wa kiongozi.
Utafiti mdogo niliofanya unaonesha kati wa wananchi 10, wananchi 8 hawamkubali Mama Samia, Sasa CCM itashindaje uchaguzi.
CHADEMA jipangeni vizuri 2025 mtaingia Ikulu.