Ukitegemea mwizi wa kura kuona aibu, utasubiri sana.Safari hii watapewa, kinachotakiwa ni wananchi kupiga kura nyingi kwa Cdm mpaka wezi wa kura waone aibu
Hivi wewe hata siku moja uliwahi kufikiria kuwa Samia, au Magufuli angeweza kuwa rais wa nchi hii?Ngoja kwanza twende taratibu,huyo Rais wa Chadema 2025 atakua nani,Lema au Chiba?
Ngoja kwanza twende taratibu,huyo Rais wa Chadema 2025 atakua nani,Lema au Chiba?
CCM itaondolewa madarakani kwa amani 2025 , hii ni kwa sababu ya Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi inayokuja , ccm bila Polisi hakuna kitu , hilo wewe unalijua vizuri sanaMkuu mzyond , kiukweli, kuonda ndoto za matumaini hewa ya mchana kweupe, rukhsa.
Endelea kuota!.
Usikute hao wasiomkubali Mama Samia, ni wale ambao, hawajiandikishagi kupiga kura, na wakijiandikisha ili tuu kupata kitambulisho, huwa hawapigi kura!.
Chadema ipi hiyo unayoizungumzia ya kuiondoa CCM?.
Ni Chadema ipi?
Ni Chadema hii HAPA!.
Au Chadema hii HAPA!
Au Chadema hii HAPA!.
Kiukweli kabisa, kwa Chadema hii, CCM itatawala milele!.
P
Ambao wengi wao wameshatangulia mbele za hakiBaadhi ya viongozi wastaafu ambao wamewahi kulitumikia hili taifa serikalini na kwenye taasisi kadha wa kadha.
swadaktaHuu uzi utunzwe kwa kumbukumbu. Hata Gavana hakuamini kama ipo siku atamkabidhi Nyerere hati ya Uhuru wa Tanganyika.
Eti kushinda uchaguzi....mshinde mara ngapi??Unaweza ukadhani niko ndotoni lakini huo ndio ukweli, 2025 Chama kikuu Cha upinzani Chadema kina nafasi nzuri zaidi ya kushinda uchaguzi, kuliko chaguzi zote zilizopita, sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Joseph Magufuli ambaye wakati wa uongozi wake alijijenga yeye badala ya kuimarisha taasisi za Chama na Serikali yeye akawa ndiye Halfa na Omega kwenye Chama na Serikali.
Baada ya kifo chake wananchi wengi hawamuamini Rais Samia kutokana na uongozi wake kuwa shirikishi tofauti na mtangulizi wake ambaye alikuwa anaongoza nchi kibabe na kuwabana matajiri na wananchi wengi walitafsiri ubabe huo kuwa ndio uthabiti wa kiongozi.
Utafiti mdogo niliofanya unaonesha kati wa wananchi 10, wananchi 8 hawamkubali Mama Samia, Sasa CCM itashindaje uchaguzi.
CHADEMA jipangeni vizuri 2025 mtaingia Ikulu.
Hakuna kitu kizuri kama kuukubali ukweli jinsi ulivyo,CCM itaondolewa madarakani kwa amani 2025 , hii ni kwa sababu ya Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi inayokuja , ccm bila Polisi hakuna kitu , hilo wewe unalijua vizuri sana
Hata Makonda hakuamini ipo siku ataishi kama digi digiHuu uzi utunzwe kwa kumbukumbu. Hata Gavana hakuamini kama ipo siku atamkabidhi Nyerere hati ya Uhuru wa Tanganyika.
🤣🤣🤣MayatimaMnafikiri chadema mkiendeleza vita vya kumkejeli na kumtukana marehemu Magufuli mtapata mafanikio kisiasa?
hakina hata kimojaHalafu chadema sio chama kikuu cha upinzani kina kiti kimoja bungeni hakina kambi rasmi ya upinzani msijimwambafai
Aisee. Wezi wa kura waone haya? 😅Safari hii watapewa, kinachotakiwa ni wananchi kupiga kura nyingi kwa Cdm mpaka wezi wa kura waone aibu
Mkuu Chadema itachukua nchi 2025 na hakuna atakayeleta fyokofyoko , hangaya hatogombea (nakung'ata sikio) , Ila wewe hautoshughulikiwa kwa unafiki wako , hivyo ondoa shaka , na wala chadema haitolipa kisasi kwa yeyoteHakuna kitu kizuri kama kuukubali ukweli jinsi ulivyo,
Kwanza kwa kazi nzuri anayoifanya Chief Hangaya, nani wa kushindana naye na kushinda?.
Pili, kuna chama gani cha upinzani cha kukabidhiwa nchi hiyo 2025?!.
PJe, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...www.jamiiforums.com